Ndege za Tanzania zapigwa marufuku kutua viwanja vya Kenya kutokana na janga la Corona

Wana hasira ya Tanzanite hao sasa hivi tuna matanzanite mengine tunabandika chini,kila mtu ashinde mechi zake wao watavua tu barakoa hakuna namna
 

Kwahiyo wao ndio wanakaribishwa? Ni kujisahau tu na mambo ya wanasiasa. We either fall apart or grow together. Ngoja tuone nani atakayepoteza
 
Ndiyo maana ya kwao pia iliyotaka kuwaleta viongozi msibani, anga ilikataa isitue Tz. Wasituletee strain mpya ya kirus 😀
 
Deep state said

Wagen wa kenya walikuja na ajenda ya si i ambayo ni kuambukisa viongozi covid 19
Ndiyo maana ilisitishwa kabla
 
Babu yako kafa juzi. Sababu unaijua? Na kilichowazuia kuja kuzika unakijua. Think critically. Wana lumumba bwana, pumba tupu
Kwaiyo Mkapa uliambiwa anaishi milele, aliyekimbilia kafa Kwa corona ninani? Ndio maana aliwaita Marofa na wapumbavu.
 
Hii imekaeje wadau, kenya wamezuia flights from Tz lkn ndege yao ukiingia mtandao wao bado wanakatisha ticket, au shida ni kutuhujumu tu ili dunia ijue tz sio salama?
 
Hii imekaeje wadau, kenya wamezuia flights from Tz lkn ndege yao ukiingia mtandao wao bado wanakatisha ticket, au shida ni kutuhujumu tu ili dunia ijue tz sio salama?
partner airlines applies
 
 
Wao wazuie ndege na sisi tuzuie malori ya vyakula toka Tanzania kwenda huko kwao.
Halafu tunaelewana tuu, kidogokidogo
 
Hivi kweli hanuna hata ufa mmoja tunaoeeza kuwafinya ili tuheshimiane,hawa jamaa wanatudharau sana, na Magu aliposema suala la chakula kwenda kwao kipindi kile, waziri wao wa kilimo na chakula alisema wakenya watanunua chakula toka mataifa mengine,sio lazima wanunue Tanzania. Wajinga sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…