Ndege za Tanzania zapigwa marufuku kutua viwanja vya Kenya kutokana na janga la Corona

Wamesema kenya tu. Hawajasema watu. Since kwenda kenya si lazima ndege. Kuna mabasi.. hata miguu.
So hawajazuia raia.

mkuu,nilikua nazungumzia usafiri wa Anga, kwa barabarani sikuwa najua,ahsante kwa ufafanuzi lakini
 
Mkuu ungeongea kwa kirefu kidogo ingependeza sana!
 
Mkuu,
Naona wachekeshaji zaidi ni sisi tusiotoa takwimu, tuliamu kuziweka chini ya mvungu halafu tukajitangazia kwamba tuko corona free! Bila ya takwimu ni mjinga peke yake ndie atakaeamini huu upuuzi!
Takwimu kwa ugonjwa upi?
Hata mitaani hauonekani
 
Haya mambo ya twitter kwa Bajabiri kuna haja ya kucopy!? basi jifunze walau kumpa credit jamaa
 
Wao walikuwa wamezuia ndege zetu kuingia nchini kwako, ilihali wao ndege zao walipanga kuanzia leo zianze kuja hapa kwetu,

Tena ndio nchi pekee EA wamepanga kurusha ndege mara nyingi kuliko nchi nyingine yeyote.

Hawa jamaa sijui wanafikiriaga vipi
 
Hata Malawi wameizuia KQ kwenda kwao. Sasa wewe endelea na kufikiria EAU badala ya kufikiria maslahi ya nchi yako zaidi.
 
Umesoma nilichoandika na kuelewa?! Hivi nimesema hakuna direct flights au nimesema hatuna direct flights nyingi compared to JKIA? Nimesema ni LAZIMA uende Nairobi au nimesema kwenda NCHI NYINGI tu mtu unalazimika kupitia Nairobi?!

Halafu angalia unavyojichanganya! Ukishatoka Dar kwa lengo la kwenda US, lakini ukapitia Dubai na hapo ukabadili ndege to US; hiyo haiitwi direct flight!! Ni kawaida sana unakuta mtu unaondoka Dar na ndege ya Qatar Airways, halafu ukifika Dubai au Doha, unabadilisha ndege na kuchukua nyingine to final destination!

Hata kama hiyo ndege nyingine ni ya Qatar, hiyo bado huwezi kuita direct flight!!
 
Mwenye uzi hapo juu nenda Kenya utuachie nch yetu ili tujue hatuna Mtu sisi wafia Nchi tuendelee na mapambano ya ujenzi wa Taifa letu Tanzania aslani hatuna mbadala.
 
KWANZA ONDOA UPUMBAVU WAKO WA TANGZAZO LAKO LA KIINGEREZA HAPA .SISI TUMEONA NA KUSIKIA KUTOKA KWENYE VYOMBO VYAO WENYEWE VYA HABARI KUHUSU NDEGE ZA TANZANIA KUTORUHUSIWA KUTUA KENYA. PILI, WEWE PEKE YAKO UNAWEZA UKAJUA HIYO LUGHA LAKINI USIDHANI WATANZANIA WENGINE WOTE WALIOBAKI NI WAJINGA,WANAWEZA KUYATAZAMA MAMBO NA KUSOMA KATIKATI YA MISTARI.
MASUALA YENYE MITIZAMO YA KIUCHUMI MARA KWA MARA HUWA NI MAGUMU KUYAELEWA NA HASA KWA WAJINGA WACHACHE AMBAO WANADHANI KUONGEA KIINGEREZA PEKE YAKE NDIYO UNAWEZA UKAENDELEA.HUU NI UJINGA WA KASUMBA TULIORITHISHWA NA WAKOLONI WETU AMBAO HATA BAADA YA KUONDOKA KWA ZAIDI YA MIAKA 50 ILIYOPITA BADO TUNAABUDU LUGHA YAO.
MWISHO, TUNAIMANI KUBWA KABISA KWAMBA JAMBO HILI LITATATULIWA NA NCHI HUSIKA KWA MAELEWANO NA KWA KUHESHIMIANA.
 
Wewe na mtoa mada wewe ndie umeonyesha kua ni mpumbavu. Herufi kubwa za nini? Unapayuka na kupiga kelele.
 
Mwenye uzi hapo juu nenda Kenya utuachie nch yetu ili tujue hatuna Mtu sisi wafia Nchi tuendelee na mapambano ya ujenzi wa Taifa letu Tanzania aslani hatuna mbadala.
Wewe mfia nchi au mfia utopolo wa watawala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…