alafu mkuu tuweke tu mambo sawa,Historia sawa,ule umoja uliovunjika miaka ya 70 sisi ndio tulikuwa chanzo, sisi chanzo kikubwa na wakenya chanzo kidogo,Amin hakuwa na kosa
alichokifanya Amin ni kwamba kwa mfano wewe usafiri alafu ukiwa safarini nyumba yako ivaniwe na majambazi ambao walipewa ushirikiano na jirani yako (kenya) so akavunja uhusiano na kenya na aliwategea na Bomu kwenye ndege ya mmoja wa viongozi wao akafa ,na kuhusu Tz ilifadhili uvamizi zaidi ya mara mbili huko Uganda kina museveni walipewa siraha na mafunzo huku ndio maana idd amin akatoa agizo watz na wakenya wote warudi kwao ndani ya masaa 48 na atakayebaki atakuwa kama amekalia moto