El ohinu
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 242
- 412
Habari wakuu,
Nauliza zile ndege zilizonunuliwa kwa mbwembwe na kejeli nyingi kwa wapinzani kwamba ni wapingaji
Ndege ambazo CAG alisema hazjawahi kuingza faida ila hasara tu maana yake znaendeshwa kwa pesa ya mlipa kodi wa miamala ya simu nk
Ndege hizi zmetengenezwa kwa matumizi ya kibiashara yaani kusafirisha abiria na si matumizi private.
Sa kinachonishangaza ndege ya Airbus ya abiria zaidi ya 200 inatumiwa na rais kufanyia route nje ya nchi wakati nakumbuka kuna ndege ya rais mwenda zake alisema iboreshwe iwe ya abiria maana yake haikutengenezwa kwaajili ya biashara kama hizi Airbus.
Hivi ni kweli ndege hizi za kibiashara zimekuwa za matumizi ya viongozi wakati hata kwa matumizi ya kibiashara zimeleta hasara kubwa sana toka zmenunuliwa.
Naomba wenye uelewa wanieleweshe povu na matusi ruksa [emoji135]
Nauliza zile ndege zilizonunuliwa kwa mbwembwe na kejeli nyingi kwa wapinzani kwamba ni wapingaji
Ndege ambazo CAG alisema hazjawahi kuingza faida ila hasara tu maana yake znaendeshwa kwa pesa ya mlipa kodi wa miamala ya simu nk
Ndege hizi zmetengenezwa kwa matumizi ya kibiashara yaani kusafirisha abiria na si matumizi private.
Sa kinachonishangaza ndege ya Airbus ya abiria zaidi ya 200 inatumiwa na rais kufanyia route nje ya nchi wakati nakumbuka kuna ndege ya rais mwenda zake alisema iboreshwe iwe ya abiria maana yake haikutengenezwa kwaajili ya biashara kama hizi Airbus.
Hivi ni kweli ndege hizi za kibiashara zimekuwa za matumizi ya viongozi wakati hata kwa matumizi ya kibiashara zimeleta hasara kubwa sana toka zmenunuliwa.
Naomba wenye uelewa wanieleweshe povu na matusi ruksa [emoji135]