Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Huyu alitakiwa apewe nishani kabisaaaaaa!🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu alitakiwa apewe nishani kabisaaaaaa!🤣🤣
wenzio wameagiz nyinineHabari wakuu,
Nauliza zile ndege zilizonunuliwa kwa mbwembwe na kejeli nyingi kwa wapinzani kwamba ni wapingaji
Ndege ambazo CAG alisema hazjawahi kuingza faida ila hasara tu maana yake znaendeshwa kwa pesa ya mlipa kodi wa miamala ya simu nk
Ndege hizi zmetengenezwa kwa matumizi ya kibiashara yaani kusafirisha abiria na si matumizi private.
Sa kinachonishangaza ndege ya Airbus ya abiria zaidi ya 200 inatumiwa na rais kufanyia route nje ya nchi wakati nakumbuka kuna ndege ya rais mwenda zake alisema iboreshwe iwe ya abiria maana yake haikutengenezwa kwaajili ya biashara kama hizi Airbus.
Hivi ni kweli ndege hizi za kibiashara zimekuwa za matumizi ya viongozi wakati hata kwa matumizi ya kibiashara zimeleta hasara kubwa sana toka zmenunuliwa.
Naomba wenye uelewa wanieleweshe povu na matusi ruksa [emoji135]
Wacha waagze waje wazgawane kama zle alizoacha baba wa taifa maana haijulikan zko wp wala hazjadiliwi kbs kwaiyo hata hz uwenda washazgawana na idadi ya wagawanaji ni kubwa sa waagza zngn ili kila mnufaika apate yakewenzio wameagiz nyinine
tena alinunua ndege bila kuongoza tozo kwenye muamalaJPM kwa uthubutu aliofanya kununua ndege nampa ongera sana, yalikuwa maamuzi mazuri sana.
Roho yake ipumzike kwa Amani.
Kuna masangoma humu wanasema hz ni hoja za kipumbavu kabisaKuhusu huyu Swaumu kuchukua dege la abiria 200 dreamliner kwenye ziara ni big no.
Hata kama walipewa zile Focker Atcl si atumie tu kwenye safari zake.
Lile dude kulipiga moto tu linakula lita za kutosha
Mara ya mwisho kufika Airport pale JNIA lini?! Mbona sisi tunazipanda kama kawa.Kazi ipi mkuu,
Maana kazi yake ni kwaajili ya kusafirisha abiria kibiashara na si vingnevyo.
Ni sawa na ww ununue yutong ya abiria uanze kupga nalo route za kazini nyumbani ujue gharama ya kuliendesha na service ztakufanya uwe kuchaa kabisa.
Aisee nahisi kichwa chako kimejaa makamasi au maviMara ya mwisho kufika Airport pale JNIA lini?! Mbona sisi tunazipanda kama kawa.
Na kwa nini akodi wakati tulinunua ndege ya Rais ambayo Mramba alisema hata tukila nyasi lazima ndege inunuliwe?Kama anakodisha basi sawa lakini lakini narudia tena lakini haya
Sorry Mh sikujua uelewa wakoYaan anamlipa nani wakati ndege hzo si mali ya shirika
Hzo pesa za kukodi dege la abiria zaid ya 200 anaztoa mfukoni mwake?
Na ndo maana zkawepo ndege za marais na abiria kwann walinunua za abiria tu wakati si kaz yake kutumiwa na rais si wangetengeneza moja ya rais
Eti mama analipia kwaiyo analipia dege la abiria afanyie ziara eti kwan ye hzo pesa za kulipia ni zake za mfukon eti
[emoji3][emoji3]mbona walinunua ndege ya kishamba sana ,mi nlijua tuna Gulfstream bhanaNdo hiyo mzee
Alimtikisa Wapi?lissu alikuwa na mkono wa mabeberu vyombo vyote vya mabeberu vilikuwa upande wa Lissu na akina amstadam, lakini pamoja na hayo aliibuka na mbunge mmoja 😁😄😄,bila aibu unasema alintikisa MagufuriNi kweli ni hoja ya kipumbavu kwa mpumbavu lakin hii nchi si mali ya ccm na wajinga kama ww wakati umekaribia sn kuondoka madarakani kwa nguvu ama kwa kura hata KANU hawakuwahi kuwa na upeo kwamba ipo sku wakenya watawakataa hivyo hata ccm mko njia moja
Kuthibitisha hilo angalia kampeni za mwaka jana mwendazake alivyohaha kwa lissu mnayemtukana kila kukicha humu mara msaliti lakin ndiye alimtikisa mwendazake akiwa hana bango wala tv wala wasanii pch hiyo inathibtsha ni swala la muda mfupi mtaondoka haraka sn
Hoja ni ya kipumbavu maana hampo kwaajili ya maslahi ya watz bali maslahi yenu na ccm.
Hivi vituko nibonyeze ngapi kupata tenaAlimtikisa Wapi?lissu alikuwa na mkono wa mabeberu vyombo vyote vya mabeberu vilikuwa upande wa Lissu na akina amstadam, lakini pamoja na hayo aliibuka na mbunge mmoja [emoji16][emoji1][emoji1],bila aibu unasema alintikisa Magufuri
Tozo ya Mafuta juuAlimtikisa Wapi?lissu alikuwa na mkono wa mabeberu vyombo vyote vya mabeberu vilikuwa upande wa Lissu na akina amstadam, lakini pamoja na hayo aliibuka na mbunge mmoja [emoji16][emoji1][emoji1],bila aibu unasema alintikisa Magufuri