Ndege zilizonunuliwa na Hayati Dkt. Magufuli zina kazi gani?

Ndege zilizonunuliwa na Hayati Dkt. Magufuli zina kazi gani?

Habari wakuu,

Nauliza zile ndege zilizonunuliwa kwa mbwembwe na kejeli nyingi kwa wapinzani kwamba ni wapingaji

Ndege ambazo CAG alisema hazjawahi kuingza faida ila hasara tu maana yake znaendeshwa kwa pesa ya mlipa kodi wa miamala ya simu nk

Ndege hizi zmetengenezwa kwa matumizi ya kibiashara yaani kusafirisha abiria na si matumizi private.

Sa kinachonishangaza ndege ya Airbus ya abiria zaidi ya 200 inatumiwa na rais kufanyia route nje ya nchi wakati nakumbuka kuna ndege ya rais mwenda zake alisema iboreshwe iwe ya abiria maana yake haikutengenezwa kwaajili ya biashara kama hizi Airbus.

Hivi ni kweli ndege hizi za kibiashara zimekuwa za matumizi ya viongozi wakati hata kwa matumizi ya kibiashara zimeleta hasara kubwa sana toka zmenunuliwa.

Naomba wenye uelewa wanieleweshe povu na matusi ruksa [emoji135]

Utakuwa unaliwa kiboga.
 
Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu.
Kodi ya pembejeo za kilimo mara mbili
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)

Mnataka tuishije sasaa?
Nenda ukauze makalio.
 
Aisee nahisi kichwa chako kimejaa makamasi au mavi
Kuna mahali nmesema ndege hazpg route au hujaelewa hoja yng

Kwan ndege hiyo airbus ya abiria zaid ya 200 ni ndege ya abiria kibiashara au ni ndege ya rais kama ni ya abiria gharama ya kuitembeza ikiwa eti imebeba rais na wapambe wake tu ni hatari kwa uchumi wa taifa maskni kama hili aisee leo ndege ya abiria imekuwa ya rais mmmh.....

Hapa unaandka pumba ukute hata airport hujawai kufka ukute hata mlo mmoja tu shida maana majinga majinga kama ww ndo mtaji wa maccm

Uzuri viongoz wenu wanawajua hamna akili ndo maana wanachukua vjana wa chadema wanakuwa mpk mawaziri

Eti leo nape ni mbunge tu wakati katambi ex bavicha ni naibu waziri
Unaweza ukajiona unajua kumbe wewe ndio makamasi mpaka unapokalia. Ile ni dharula. Ndege ya Rais imesharudi juzi. Tatizo wabongo kila mtu unajidai expert wa kila eneo?!
 
Jamaa akiwa likizo ilikuwa inapark pale international chattle airport kumsubiri hadi amalize likizo
 
Unaweza ukajiona unajua kumbe wewe ndio makamasi mpaka unapokalia. Ile ni dharula. Ndege ya Rais imesharudi juzi. Tatizo wabongo kila mtu unajidai expert wa kila eneo?!
Huyu jamaa ni shoga anajiuza anatafuta mabwana Jf.
 
Unaweza ukajiona unajua kumbe wewe ndio makamasi mpaka unapokalia. Ile ni dharula. Ndege ya Rais imesharudi juzi. Tatizo wabongo kila mtu unajidai expert wa kila eneo?!
Imesharudi juzi ilikuwa imekwenda wapi hujui mwendazake alsema ifanyiwe matekebsho iwe ya abiria ili awe anaenda chato na hz airbus kwa ksngzio hana ndege
 
Unaweza ukajiona unajua kumbe wewe ndio makamasi mpaka unapokalia. Ile ni dharula. Ndege ya Rais imesharudi juzi. Tatizo wabongo kila mtu unajidai expert wa kila eneo?!
Kama mm nna makamasi basi ww una mavi na unaishi kwny shimo la choo msenge ww
Tuonyeshe hiyo ndege unayosema imekuja
 
Kama mm nna makamasi basi ww una mavi na unaishi kwny shimo la choo msenge ww
Tuonyeshe hiyo ndege unayosema imekuja
Utajua siku si nyingi . Najua hautarudi hapa kusema samahani baba. Watoto wa siku mna shida ila wakubwa zenu tuna uvumilivu. Punguzeni ujuaji!
 
Utajua siku si nyingi . Najua hautarudi hapa kusema samahani baba. Watoto wa siku mna shida ila wakubwa zenu tuna uvumilivu. Punguzeni ujuaji!
Tupunguze ujuaji ili majinga majinga kama ww mnaoshangilia kila kitu ambacho kinaumiza walipa kodi ili mradi kina maslahi kwenu na chama chenu muendelee kutupga kwny vitu vnavyoendesha maisha yetu kama miamala ya simu na kuchukua dege la abiria 200 kumtembeza rais na wapambe wake kwa gharama za mlipa kodi eti tahira ww
 
Aisee nahisi kichwa chako kimejaa makamasi au mavi
Kuna mahali nmesema ndege hazpg route au hujaelewa hoja yng

Kwan ndege hiyo airbus ya abiria zaid ya 200 ni ndege ya abiria kibiashara au ni ndege ya rais kama ni ya abiria gharama ya kuitembeza ikiwa eti imebeba rais na wapambe wake tu ni hatari kwa uchumi wa taifa maskni kama hili aisee leo ndege ya abiria imekuwa ya rais mmmh.....

Hapa unaandka pumba ukute hata airport hujawai kufka ukute hata mlo mmoja tu shida maana majinga majinga kama ww ndo mtaji wa maccm

Uzuri viongoz wenu wanawajua hamna akili ndo maana wanachukua vjana wa chadema wanakuwa mpk mawaziri

Eti leo nape ni mbunge tu wakati katambi ex bavicha ni naibu waziri
Kubali tu hujawahi kupanda ndege, na nyie ndio makelele kutwa, tunaosafiri tunajua kuwa hizi ndege ziko busy na hazitoshi.
 
Tunaonyesha namna gani wa Tz tulivyo wa hovyo kwaajili ya watu wachache yaani wakenya wavyosoma huu uzi wanaishia kutushangaa kweli kweli,katika usafiri wa anga kwa Tanzania mnyama twiga Air Tanzania anafanya vizuri sana katika utoaji wa huduma tofauti na mashirika mengine mimi ni mmoja wa watu ambao nimesafiri na hilo shirika hasa uhakika wa safar ukiambiwa ndege ya saa kumi masaa mawili kabla unavyoingia kwenye vituo vya ukaguzi twiga tayari yupo uwanjani wakati wengine muda umefika ndio kwanza ndege ipo Zanzibar iende Nairobi ndio ije Dar, pili baada ya kufufuliwa ATC watanzania wenzetu mamia wamepata ajira ndani ya shirika na kuweza kutunza familia zao na wengine wenye uhitaji. Changamoto ni katika uwepo wa COVID-19 pamoja na kurithi madeni ya zamani. Tukumbuke mwezi August ndege zingine zinakuja hivyo kuna wataopata fursa za ajira. Tuipende nchi yetu jamani.
Unapoteza muda tu na hawa wapiga kelele,
Halafu na wewe hao wakenya ni kina nani? Acha kuwa mjinga.
 
Imesharudi juzi ilikuwa imekwenda wapi hujui mwendazake alsema ifanyiwe matekebsho iwe ya abiria ili awe anaenda chato na hz airbus kwa ksngzio hana ndege
See this ignorant goon, hata mambo ya kawaida ya nchi yenu hamyajui ila kelele kutwa.
Unajua ni ndege ipi ilifanyiwa marekebisho, mnatia kinyaa.
 
JPM kwa uthubutu aliofanya kununua ndege nampa ongera sana, yalikuwa maamuzi mazuri sana.

Roho yake ipumzike kwa Amani.
🤣🤣🤣🤣🤣 ujinga ni MZIGO kama Zigo la MAVI.

Hivi wewe mtu unajua kazi ya AKILI??? 🤣🤣🤣🤣
 
Tupunguze ujuaji ili majinga majinga kama ww mnaoshangilia kila kitu ambacho kinaumiza walipa kodi ili mradi kina maslahi kwenu na chama chenu muendelee kutupga kwny vitu vnavyoendesha maisha yetu kama miamala ya simu na kuchukua dege la abiria 200 kumtembeza rais na wapambe wake kwa gharama za mlipa kodi eti tahira ww
Hata uandishi ni shida na bahati mbaya hamna wa kurudisha ada zilizolipwa. Weka full stops basi usomeke.
Hint..
Ukiona mtu kama wewe zama hizi anafikiri kumwaga mitusi ni ujanja ujue ni bogus tu na frustrated ..
Sasa umeingia hapa kupoza hasira za miamala?!
 
Back
Top Bottom