jabata kitwala
Member
- Jul 13, 2019
- 34
- 24
Una pumbu kichwani sio bureee.Ni kweli ni hoja ya kipumbavu kwa mpumbavu lakin hii nchi si mali ya ccm na wajinga kama ww wakati umekaribia sn kuondoka madarakani kwa nguvu ama kwa kura hata KANU hawakuwahi kuwa na upeo kwamba ipo sku wakenya watawakataa hivyo hata ccm mko njia moja
Kuthibitisha hilo angalia kampeni za mwaka jana mwendazake alivyohaha kwa lissu mnayemtukana kila kukicha humu mara msaliti lakin ndiye alimtikisa mwendazake akiwa hana bango wala tv wala wasanii pch hiyo inathibtsha ni swala la muda mfupi mtaondoka haraka sn
Hoja ni ya kipumbavu maana hampo kwaajili ya maslahi ya watz bali maslahi yenu na ccm.
"Mama anaupiga mwingi"imekuaje tena?
Mbona ghafla mnamugeuka mama.