Ndege zilizonunuliwa na Hayati Dkt. Magufuli zina kazi gani?

Utakuwa unaliwa kiboga.
 
Tozo ya Mafuta juu
Tozo ya Fedha mitandaoni juu
Tozo ya kiwanja kwa luku
Makato ya kwenye vocha juu.
Kodi ya pembejeo za kilimo mara mbili
Nauli mabasi mikoani juu (bado daladala any time wanapandisha)

Mnataka tuishije sasaa?
Nenda ukauze makalio.
 
Unaweza ukajiona unajua kumbe wewe ndio makamasi mpaka unapokalia. Ile ni dharula. Ndege ya Rais imesharudi juzi. Tatizo wabongo kila mtu unajidai expert wa kila eneo?!
 
Jamaa akiwa likizo ilikuwa inapark pale international chattle airport kumsubiri hadi amalize likizo
 
Unaweza ukajiona unajua kumbe wewe ndio makamasi mpaka unapokalia. Ile ni dharula. Ndege ya Rais imesharudi juzi. Tatizo wabongo kila mtu unajidai expert wa kila eneo?!
Huyu jamaa ni shoga anajiuza anatafuta mabwana Jf.
 
Unaweza ukajiona unajua kumbe wewe ndio makamasi mpaka unapokalia. Ile ni dharula. Ndege ya Rais imesharudi juzi. Tatizo wabongo kila mtu unajidai expert wa kila eneo?!
Imesharudi juzi ilikuwa imekwenda wapi hujui mwendazake alsema ifanyiwe matekebsho iwe ya abiria ili awe anaenda chato na hz airbus kwa ksngzio hana ndege
 
Unaweza ukajiona unajua kumbe wewe ndio makamasi mpaka unapokalia. Ile ni dharula. Ndege ya Rais imesharudi juzi. Tatizo wabongo kila mtu unajidai expert wa kila eneo?!
Kama mm nna makamasi basi ww una mavi na unaishi kwny shimo la choo msenge ww
Tuonyeshe hiyo ndege unayosema imekuja
 
Kama mm nna makamasi basi ww una mavi na unaishi kwny shimo la choo msenge ww
Tuonyeshe hiyo ndege unayosema imekuja
Utajua siku si nyingi . Najua hautarudi hapa kusema samahani baba. Watoto wa siku mna shida ila wakubwa zenu tuna uvumilivu. Punguzeni ujuaji!
 
Utajua siku si nyingi . Najua hautarudi hapa kusema samahani baba. Watoto wa siku mna shida ila wakubwa zenu tuna uvumilivu. Punguzeni ujuaji!
Tupunguze ujuaji ili majinga majinga kama ww mnaoshangilia kila kitu ambacho kinaumiza walipa kodi ili mradi kina maslahi kwenu na chama chenu muendelee kutupga kwny vitu vnavyoendesha maisha yetu kama miamala ya simu na kuchukua dege la abiria 200 kumtembeza rais na wapambe wake kwa gharama za mlipa kodi eti tahira ww
 
Kubali tu hujawahi kupanda ndege, na nyie ndio makelele kutwa, tunaosafiri tunajua kuwa hizi ndege ziko busy na hazitoshi.
 
Unapoteza muda tu na hawa wapiga kelele,
Halafu na wewe hao wakenya ni kina nani? Acha kuwa mjinga.
 
Imesharudi juzi ilikuwa imekwenda wapi hujui mwendazake alsema ifanyiwe matekebsho iwe ya abiria ili awe anaenda chato na hz airbus kwa ksngzio hana ndege
See this ignorant goon, hata mambo ya kawaida ya nchi yenu hamyajui ila kelele kutwa.
Unajua ni ndege ipi ilifanyiwa marekebisho, mnatia kinyaa.
 
JPM kwa uthubutu aliofanya kununua ndege nampa ongera sana, yalikuwa maamuzi mazuri sana.

Roho yake ipumzike kwa Amani.
🤣🤣🤣🤣🤣 ujinga ni MZIGO kama Zigo la MAVI.

Hivi wewe mtu unajua kazi ya AKILI??? 🤣🤣🤣🤣
 
Hata uandishi ni shida na bahati mbaya hamna wa kurudisha ada zilizolipwa. Weka full stops basi usomeke.
Hint..
Ukiona mtu kama wewe zama hizi anafikiri kumwaga mitusi ni ujanja ujue ni bogus tu na frustrated ..
Sasa umeingia hapa kupoza hasira za miamala?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…