Ndio naanza kupata picha kwanini HAMAS walishambulia, walijipanga sana, mahandaki 800

Ndio naanza kupata picha kwanini HAMAS walishambulia, walijipanga sana, mahandaki 800

Yemen maskini wakubwa hata sie tuna nafuu, hamna kitu pale.
Kasome historia waliwahi kukung'utwa na Israel hadi leo uchumi wao haujaweza kusimama...wale wamebaki kula mirungi tu.
Leta hio history tuione, navyo fahamu hakuna nchi iliopigana na Yemen ikatoka imeshinda, siku zote Yemen ndio mshindi.
 
Sasa kama wanaume wakifika huko wananyaka bikra 72 kila mmoja na kuanza kutembeza NDIZI kama mchwa, je, wanawake wakifa na wakafika huko watakutana na madume ya mbegu mangapi?
We unataka upewe madume mangapi yanakutosha!?
 
Mimi natazama habari za ukweli sio wewe unatazama cnn, bbc, na Israel channels au European channels hizo zote ni propoganda tu, kwa tarifa yako Hamasi wako ndani ya Israel wanazipiga huko

Afu wape hongera jeshi la America na Uingereza askari wao 180 wako Jahanamu tokea jana [emoji1]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Huwa unatuongopea wazi wazi huku unajiamini kabisa
 
Hahaha. Wameshindwa kwa miaka 75 wataweza sasa?

Sema sasa mwisho wao ndiyo unefika.

Wameshaond9kanhuko kwa malaki kukinbilia ulaya na USA.

Na kimeshaanza kunukishwa Tel Aviv, wanaagiziwa vitu kutokea mbali. Hawana raha huko.


Unajuwa hii ndiyo vita yao ndefu kuanzia mwaka 1948?

Unajuwa jana USA kadonyolewa meli zake tatu?
Huwa unaandika hizi comments huku unapiga kung fu na Karate kuonyesha ushupavu ulionao kwa medani za vita na hasa kinachoendelea hapo Gaza [emoji3]
 
Yemen maskini wakubwa hata sie tuna nafuu, hamna kitu pale.
Kasome historia waliwahi kukung'utwa na Israel hadi leo uchumi wao haujaweza kusimama...wale wamebaki kula mirungi tu.
Hahahaha ndiyo unavyojidanganya hao Wayemeni ndiyo matajiri hapo Tanzania kila siku wananunua majumba huko Tanzania njaa zenu mnawauzia😂
 
Hahahaha ndiyo unavyojidanganya hao Wayemeni ndiyo matajiri hapo Tanzania kila siku wananunua majumba huko Tanzania njaa zenu mnawauzia😂
Hata Dodoma wapo wengi tu maskini wakubwa wanajua kuzaliana tu kama panya.
Matajiri ni wachache sana, hasa wale walioishi bongo miaka mingi ambao mababu zao walijihusisha na biashara ya pembe za ndovu.
 
Mbona kidogo sana hayo, nijuavyo kuna mahandaki zaidi ya 5,000.

Ngoma ya kuwasambaratisha mazayuni haijaanza bado, hao Hamas wanachokonoa tu, hiyo ni bashraf tu mziki mkamili kwa wajomba wa mungu wako, wanaemkana, upo njiani.
Sawa.
 
Hata Dodoma wapo wengi tu maskini wakubwa wanajua kuzaliana tu kama panya.
Matajiri ni wachache sana, hasa wale walioishi bongo miaka mingi ambao mababu zao walijihusisha na biashara ya pembe za ndovu.
Kariakoo wanaimaliza😂
 
Hata Dodoma wapo wengi tu maskini wakubwa wanajua kuzaliana tu kama panya.
Matajiri ni wachache sana, hasa wale walioishi bongo miaka mingi ambao mababu zao walijihusisha na biashara ya pembe za ndovu.
Vidume vya mbegu.

Hilo ndilo limekuudhi kwao/ Unataka wawe kama wazee wa tec, no kuzaa?
 
Wasrael wajinga sana wanapomoa majengo na kuuwa watoto na wagonjwa, wamejichanganya eti wameweka matent walale 60 wamefekwa.
UNBELIEVABLE: Hamas published scenes showing their men monitoring the israeli army tents and positions at zero range, while booby-trapping & planting explosives around the place, followed by detonating them.
 
Nilikua najiuliza kwanini HAMAS wafanye kitu ambacho kimekuja kuwaletea hasara mara mia na kusababisha wafutwe Gaza.....

Aisei hiki kilikua kiama kwa Israel, hawa jamaa walijiandaa kwa muda mrefu sana, mpaka sasa Israel imegundua mahandaki 800 na imefumua 500, bora ishikilie hapo hapo, safisha hiyo Gaza bila kuskliza kenge yeyote maana Israel ingefutika tukiiona hivi hivi.

Inaonekana huu mpango ulikua umesukwa na mataifa yote ya ile dini, na ilikua HAMAS washambulie halafu hao wengine waje kwa kumalizia, ila Marekani wakaingiza dubwana la meli pale na kusema asiyependa maisha yake ajaribu kujikuna, wakaufyata wote ikiwemo kubwa la magaidi wa kidni Iran.
=========================

IDF says 800 tunnels discovered in Gaza op, 500 destroyed or sealed​

Military says hundreds of kilometers of tunnels, many of which link Hamas’s ‘strategic assets,’ eliminated; IDF Arabic spokesperson urges Shejaiya battalion to surrender​

The Israel Defense Forces said Sunday that troops have discovered more than 800 tunnel shafts in the Gaza Strip since the beginning of the ground offensive targeting the Hamas terror group that began in late October.

The military said that around 500 of them have already been destroyed, either by setting off large explosive charges inside or by sealing them.

According to the IDF, many of the tunnels connect Hamas’s “strategic assets.”
Mkuu hizi habari za vita usiwe unaziami kwa 100%,zimetiwa chumvi ya kila aina,hiyo ndiyo principle ya vita,unapopigana vita hutakiwi kuripoti ukweli,huo mfumo wa kuripoti uwongo kwenye vita ulianzishwa na taifa la china miaka ya zamani,kuna taifa fulani hapa duniani linaitwa USA,walipokuwa wakipigana vita kule Vietnam vita iliyoisha miaka ya 70,vyombo vyake vya habari viliamua kuripoti ukweli kuhusu vita hiyo,na wakaipelekea USA kushindwa vita hiyo.
Kwa hiyo hapo unaweza kuona uwongo ni moja ya silaha kubwa sana inayotumika kwenye vita,ni bora mtu kufuatilia habari za Yanga anavyofanya maandalizi yake dhidi ya timu ya Mediama ya Ghana ,au habari za Simba avyojiandaa kumwinda Wydad hapo kwa mkapa,kuliko kufuatilia habari ambazo zimejaa propaganda na magongo mengine,mfano picha nyingi unazoziona kwenye vyombo vya habari zinazohusu Gaza,zimebadilishwa kwenye teknolojia ya AI ili kukidhi interest za hao wanazozitumia kwenye vyombo vya habari.
 
Hahaha. Wameshindwa kwa miaka 75 wataweza sasa?

Sema sasa mwisho wao ndiyo unefika.

Wameshaond9kanhuko kwa malaki kukinbilia ulaya na USA.

Na kimeshaanza kunukishwa Tel Aviv, wanaagiziwa vitu kutokea mbali. Hawana raha huko.


Unajuwa hii ndiyo vita yao ndefu kuanzia mwaka 1948?

Unajuwa jana USA kadonyolewa meli zake tatu?
Unaandika kimipasho kama Mzee Yusufu..ila ndo zenu izo..mtachapwa hadi maji muite mmaa
 
Mimi natazama habari za ukweli sio wewe unatazama cnn, bbc, na Israel channels au European channels hizo zote ni propoganda tu, kwa tarifa yako Hamasi wako ndani ya Israel wanazipiga huko

Afu wape hongera jeshi la America na Uingereza askari wao 180 wako Jahanamu tokea jana [emoji1]
kinachowajia kichwan huwa mnalopoka , wapo ndan ya Israel , wapo mji gan wa Israel? kama wapo kwenye makaz ya waarabu wanawaua ndugu zao
 
Hahaha. Wameshindwa kwa miaka 75 wataweza sasa?

Sema sasa mwisho wao ndiyo unefika.

Wameshaond9kanhuko kwa malaki kukinbilia ulaya na USA.

Na kimeshaanza kunukishwa Tel Aviv, wanaagiziwa vitu kutokea mbali. Hawana raha huko.


Unajuwa hii ndiyo vita yao ndefu kuanzia mwaka 1948?

Unajuwa jana USA kadonyolewa meli zake tatu?
jifariji ila hatutak vilio
 
Mandiko ya kunyonya ulimi [emoji1] we unauhakika aliye andika hakuwa na akili kama zako? Vipi Mtume wenu Paulo kwanini alikuwa hapendi wanawake? Hivi kuna mwanaume yuko sawa akachukia wanawake? Hauoni kambukiza mpaa mapadri wengi ni mashoga kama yeye

Tazama Yemen anavyo mpelekea zawadi Israel
tupe maandiko yanayosema Mtume Paulo alichukia wanawake
 
Mkenya nakushangaa sana, unafikiri mazayuni wankutambuwa wewe? Wewe wa kutemewa makohozi tu.

Nakushangaa sana unashadadia watoto na wanawake kuuliwa na watu waliokuulia "mungu" wako.

Sema Mazayuni hawajala kichapo kama hiki toke wapewe hiyo ardhi na Muingereza 1948, jionee:

View attachment 2833492
kwan wapalestina wanakutambua ww?
 
Back
Top Bottom