Ndio naanza kupata picha kwanini HAMAS walishambulia, walijipanga sana, mahandaki 800

Yemen maskini wakubwa hata sie tuna nafuu, hamna kitu pale.
Kasome historia waliwahi kukung'utwa na Israel hadi leo uchumi wao haujaweza kusimama...wale wamebaki kula mirungi tu.
Leta hio history tuione, navyo fahamu hakuna nchi iliopigana na Yemen ikatoka imeshinda, siku zote Yemen ndio mshindi.
 
Sasa kama wanaume wakifika huko wananyaka bikra 72 kila mmoja na kuanza kutembeza NDIZI kama mchwa, je, wanawake wakifa na wakafika huko watakutana na madume ya mbegu mangapi?
We unataka upewe madume mangapi yanakutosha!?
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Huwa unatuongopea wazi wazi huku unajiamini kabisa
 
Huwa unaandika hizi comments huku unapiga kung fu na Karate kuonyesha ushupavu ulionao kwa medani za vita na hasa kinachoendelea hapo Gaza [emoji3]
 
Yemen maskini wakubwa hata sie tuna nafuu, hamna kitu pale.
Kasome historia waliwahi kukung'utwa na Israel hadi leo uchumi wao haujaweza kusimama...wale wamebaki kula mirungi tu.
Hahahaha ndiyo unavyojidanganya hao Wayemeni ndiyo matajiri hapo Tanzania kila siku wananunua majumba huko Tanzania njaa zenu mnawauzia😂
 
Hahahaha ndiyo unavyojidanganya hao Wayemeni ndiyo matajiri hapo Tanzania kila siku wananunua majumba huko Tanzania njaa zenu mnawauzia😂
Hata Dodoma wapo wengi tu maskini wakubwa wanajua kuzaliana tu kama panya.
Matajiri ni wachache sana, hasa wale walioishi bongo miaka mingi ambao mababu zao walijihusisha na biashara ya pembe za ndovu.
 
Mbona kidogo sana hayo, nijuavyo kuna mahandaki zaidi ya 5,000.

Ngoma ya kuwasambaratisha mazayuni haijaanza bado, hao Hamas wanachokonoa tu, hiyo ni bashraf tu mziki mkamili kwa wajomba wa mungu wako, wanaemkana, upo njiani.
Sawa.
 
Hata Dodoma wapo wengi tu maskini wakubwa wanajua kuzaliana tu kama panya.
Matajiri ni wachache sana, hasa wale walioishi bongo miaka mingi ambao mababu zao walijihusisha na biashara ya pembe za ndovu.
Kariakoo wanaimaliza😂
 
Hata Dodoma wapo wengi tu maskini wakubwa wanajua kuzaliana tu kama panya.
Matajiri ni wachache sana, hasa wale walioishi bongo miaka mingi ambao mababu zao walijihusisha na biashara ya pembe za ndovu.
Vidume vya mbegu.

Hilo ndilo limekuudhi kwao/ Unataka wawe kama wazee wa tec, no kuzaa?
 
Wasrael wajinga sana wanapomoa majengo na kuuwa watoto na wagonjwa, wamejichanganya eti wameweka matent walale 60 wamefekwa.
UNBELIEVABLE: Hamas published scenes showing their men monitoring the israeli army tents and positions at zero range, while booby-trapping & planting explosives around the place, followed by detonating them.
 
Mkuu hizi habari za vita usiwe unaziami kwa 100%,zimetiwa chumvi ya kila aina,hiyo ndiyo principle ya vita,unapopigana vita hutakiwi kuripoti ukweli,huo mfumo wa kuripoti uwongo kwenye vita ulianzishwa na taifa la china miaka ya zamani,kuna taifa fulani hapa duniani linaitwa USA,walipokuwa wakipigana vita kule Vietnam vita iliyoisha miaka ya 70,vyombo vyake vya habari viliamua kuripoti ukweli kuhusu vita hiyo,na wakaipelekea USA kushindwa vita hiyo.
Kwa hiyo hapo unaweza kuona uwongo ni moja ya silaha kubwa sana inayotumika kwenye vita,ni bora mtu kufuatilia habari za Yanga anavyofanya maandalizi yake dhidi ya timu ya Mediama ya Ghana ,au habari za Simba avyojiandaa kumwinda Wydad hapo kwa mkapa,kuliko kufuatilia habari ambazo zimejaa propaganda na magongo mengine,mfano picha nyingi unazoziona kwenye vyombo vya habari zinazohusu Gaza,zimebadilishwa kwenye teknolojia ya AI ili kukidhi interest za hao wanazozitumia kwenye vyombo vya habari.
 
Unaandika kimipasho kama Mzee Yusufu..ila ndo zenu izo..mtachapwa hadi maji muite mmaa
 
kinachowajia kichwan huwa mnalopoka , wapo ndan ya Israel , wapo mji gan wa Israel? kama wapo kwenye makaz ya waarabu wanawaua ndugu zao
 
Unajifurahisha au hauujuwi Uislam.

Wewe ni zayuni? Unamkana Yesu?
narudia tena hakuna mungu anamtuma mwanadamu amuue mwanadamu mwenzio , MNAABUDU SHETANI , AMKENI
 
jifariji ila hatutak vilio
 
tupe maandiko yanayosema Mtume Paulo alichukia wanawake
 
kwan wapalestina wanakutambua ww?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…