wanapigwa mtungo kama akina Faizafoxy [emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kama wanaume wakifika huko wananyaka bikra 72 kila mmoja na kuanza kutembeza NDIZI kama mchwa, je, wanawake wakifa na wakafika huko watakutana na madume ya mbegu mangapi?
mabomu yakifuata msiseme hatukuwaambia [emoji23][emoji23]Kuna kila dalili za mazayuni wameomba poo kimya kimya baada ya juzi wanajeshi wao 70 kuuliwa kwa mpigo. Tumeona jana 70% wakijiondowa Ghaza na leo mpaka saa hizi pamekuwa kimya sana pande zote mbili mpaka sasa.
Hiyo ni dalili ya mazayuni kuomba poo kimya kimya.
Tuombe salama na tuone yatakuwaje mpaka baadae.
mnaabudu shetan , mungu wa kwel ana hubiri amani na sio vitaInasemekana zaidi ya wanajeshi 900 wa kizayuni wameuliwa.Ama kweli usicheze na allah
Pole kijanaendelea kumuabudu shetan , muda utaongea
Hizi taarifa za uongo ndizo zinawafanya mfe kama panya.Jana maaskari 3000 wa US wamedonyolewa na wana muqawama
Israhell mwaka huu hakuna rangi ataacha kuonaIsrael are considering flooding the tunnels. Hii ya kumtoa nyoka pangoni naona kama itaondoka na mateka
π Nilikuiwa nadhani Gaza mmeiteka kumbe bado, nyie simlisema Israel kaichukua North Gaza yote.kinachowajia kichwan huwa mnalopoka , wapo ndan ya Israel , wapo mji gan wa Israel? kama wapo kwenye makaz ya waarabu wanawaua ndugu zao
Hapana dogo nyie simlisema Israel kaisha ichukua North Gaza au hamkusema π[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Huwa unatuongopea wazi wazi huku unajiamini kabisa
Alipiga mataifa ya kiarabu kwa kusaidiwa na America na Europe pamoja na Russia wakati ule warabu walikuwa wanatumia K45 na Mig 15Israhell mwaka huu hakuna rangi ataacha kuona
Kama anaweza ahamishe bahari yote hapo ukanda wa ghaza
Ila hataifuta hamas na wala hatakomboa magaidi wake hata mmoja
Watu pekee wanaoweza kuwaokoa magaidi walotekwa na hamas ni hamas wenyewe
Wengineo wooote lazma wakubali kukaa na hamas ili wapewe magaidi wao laa sivyo wanahangaika tuuu
Israhell ilopiga mataifa yote ya kiarabu kwa siku sita leo imefikia huko
Kwani ni Uongo, North Gaza iko mikononi mwa Israel kwa zaidi ya wiki mbili sasa. Dunia yote inajua hivyo, na Hamas wanakiri hivyo.π Nilikuiwa nadhani Gaza mmeiteka kumbe bado, nyie simlisema Israel kaichukua North Gaza yote.
Kuja kushtukia nikaona Hamasi kaipiga camp ya Israel pale Gaza , kwa hio mmekubali bado Gaza ipo chini ya Hamasi π
Sa nani muongo mimi au nyie, kule North Gaza naona wanakimbia, wanadhani kule South wataonyesha Hollywood film za ki Rambo π
MPumbavu , hujui maandiko wala huna maarifa ya historia na geopolitics .dini ya mashetan hiyo , amken , hata quran inasema siku za mwisho shetan atakuja na kulazimisha kila mtu awabudu usipofanya hivyo atakutesa hata kukuua , AMKENI
Umelishwa Matango pori ya propaganda Mainstream media za mazayuni cnn ,Reuters ,BBC nk mpaka kichwa kimeoza hicho .ujinga wako ni kuwa unasubir habari jamiiforums ili ubishane , nenda mitandao yote mikubwa kila siku yanaoneshwa mambo mapya , ENDELEA KUMUABUDU SHETANI
Na hicho kichwa chako kibovu ,unadhani ni mara ya kwanza IDF kufanya occupation Gaza ? , Unajua hayo mashoga ya Kizayuni yamefanya military occupation Kwa miaka mingapi kabla ya 2005 kutimua mbio kutoka Gaza ?IDF wamesuka mkakati wa kukalia pale muda mrefu, maana mpaka upasafishe inabidi kutumia mabavu kwa mwaka na zaidi.
Na hicho kichwa chako kibovu ,unadhani ni mara ya kwanza IDF kufanya occupation Gaza ? , Unajua hayo mashoga ya Kizayuni yamefanya military occupation Kwa miaka mingapi kabla ya 2005 kutimua mbio kutoka Gaza ?
Na miaka yote hiyo wapo hapo Gaza ,Hamas walikuwepo wakiendelea na harakati za kuunda silaha na kujenga miundo mbinu ya chini ya ardhi
Ni mpumbavu pekee asiyejua historia ya huo mgogoro ndio anaweza kudhani Hamas wanaweza tokomezwa kindezi hivyo .
Mkuu hizi habari za vita usiwe unaziami kwa 100%,zimetiwa chumvi ya kila aina,hiyo ndiyo principle ya vita,unapopigana vita hutakiwi kuripoti ukweli,huo mfumo wa kuripoti uwongo kwenye vita ulianzishwa na taifa la china miaka ya zamani,kuna taifa fulani hapa duniani linaitwa USA,walipokuwa wakipigana vita kule Vietnam vita iliyoisha miaka ya 70,vyombo vyake vya habari viliamua kuripoti ukweli kuhusu vita hiyo,na wakaipelekea USA kushindwa vita hiyo.
Kwa hiyo hapo unaweza kuona uwongo ni moja ya silaha kubwa sana inayotumika kwenye vita,ni bora mtu kufuatilia habari za Yanga anavyofanya maandalizi yake dhidi ya timu ya Mediama ya Ghana ,au habari za Simba avyojiandaa kumwinda Wydad hapo kwa mkapa,kuliko kufuatilia habari ambazo zimejaa propaganda na magongo mengine,mfano picha nyingi unazoziona kwenye vyombo vya habari zinazohusu Gaza,zimebadilishwa kwenye teknolojia ya AI ili kukidhi interest za hao wanazozitumia kwenye vyombo vya habari.
Hivi ni kweli mwislam akibadili dini na kuwa mkristu basi adhabu yake ni kifo? nieleweshe kidogoMPumbavu , hujui maandiko wala huna maarifa ya historia na geopolitics .
Hao mashoga unawashabikia ndio wana sheria za kwamba asiye katika Judaism basi sio binadamu na mtu huyo anafaa kuuawa ,hamna kitu kama unachoandika hapa kwenye Uislamu , Uislamu unamtambua Kristo / jesus
Na actually waislamu na quran yenyewe ina kiri kwamba Christ atarudi na aliwahi kuexist ,hamna kitu kama hicho kwenye Judaism , wao wanatumia Talmud and Kaballah ,vitabu vya kishetani vinavyomtukana huyo christ na hata ukristo wenyewe , kwenye Talmud mkristo ni nguruwe na mnyama anayefaa kuuawa na kufanywa mtumwa na mazayuni .
Nchi nyingi hapo Middle east kuna wakristo karne na karne ,na ndio chimbuko la ukristo ,nchi kama Syria , Lebanon ,Jordan ,Egypt NK ,kuna jamii kubwa tu za wakristo na wana coexist vizuri na waislamu kwa maelfu ya miaka
Mfano wale Coptic Christians WA Misri , lile ni moja kati ya dhehebu kongwe kabisa katika ukristo .
Tatizo wapumbav kama wewe ,hamfuatilii mambo ,vichwa vyenu ni vitupu ,vimejaa propaganda na false hood za mainstream media zinazolisha propaganda watu Kwa minajili ya kutengeneza uadui ambao haupo kati ya ukristo na uislamu ( divide and rule )
Wewe ni mpumbavu ,huna hekima wala maarifa
Mxieew
Kwa hiyo channel za salama aleku ndo pekee zinaongea ukweli? Na una hakika kabsa Hamas watashinda hii vita?Mimi natazama habari za ukweli sio wewe unatazama cnn, bbc, na Israel channels au European channels hizo zote ni propoganda tu, kwa tarifa yako Hamasi wako ndani ya Israel wanazipiga huko
Afu wape hongera jeshi la America na Uingereza askari wao 180 wako Jahanamu tokea jana π