AnyWayZ
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 4,880
- 8,424
Ndio, sio kila mtu anayatumia wengine tunayaona tu ka hivi.kwa mume wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio, sio kila mtu anayatumia wengine tunayaona tu ka hivi.kwa mume wake
Usimsikilize huyo kavurugwa 😂😂😂Hongeraa Kama umeridhikaa na la baby wakoo😄😄😄nyama ni ile ile tuuu
Mungu alitoa kitu hapo, me sichoki kuiangalia.Ukiangalia sana hy picha unaweza kupatwa na tukio la ajabu 😂 Mm Imebidi niangalie kwa jicho moja
Nlikuwa Sina mpango wa kuandika chochote ila mwaisa Kuna watu wanakojolea pazuri
Sio pazuri tu sema wanakojolea panene.Nlikuwa Sina mpango wa kuandika chochote ila mwaisa Kuna watu wanakojolea pazuri
Najaribu tuu ku-appreciate namna ulivyoAnajiendekeza, ujitoe uhai sababu ya nyash??
Sijui mi niko tofauti?!! Yani sijawahi kuumizwa kichwa na hayo makitu, nawaza vitu vingine tofauti kabisaaa.!! Kuna muda nahisi nilitakiwa kuwa Mars huko 😂😂😂
Binti anakuwa mawazo sanaAnajiendekeza, ujitoe uhai sababu ya nyash??
Sijui mi niko tofauti?!! Yani sijawahi kuumizwa kichwa na hayo makitu, nawaza vitu vingine tofauti kabisaaa.!! Kuna muda nahisi nilitakiwa kuwa Mars huko 😂😂😂
Nyama ni tofauti my, nyama zenu hazijawahi kuwa sawaHongeraa Kama umeridhikaa na la baby wakoo😄😄😄nyama ni ile ile tuuu
Babe lina tunatokaUsimsikilize huyo kavurugwa 😂😂😂
Mm hapana aisee, sitaki mkono upate kazi ya kufanya 😂Mungu alitoa kitu hapo, me sichoki kuiangalia.
Mwambie aache ujinga, kuna vitu vingi vya kujivunia.! Sisi wenye hayo makitu tunafanya mazoezi yatoke hayana umuhimu. Ajitahidi kufocus na vitu vya maendeleo.Binti anakuwa mawazo sana
Tutoke tumekuwa wali wa kimakonde?Babe lina tunatoka
Umeamua kujiweka wazi, nilijua tuu pisi kali wangu lazima Sir God alitumia uzoefu wake wote kukutengeneza 😍Sisi wenye hayo makitu tunafanya mazoezi yatoke hayana umuhimu.
Usinifanyie hvy loveTutoke tumekuwa wali wa kimakonde?
Typing error 😂😂😂Umeamua kujiweka wazi, nilijua tuu pisi kali wangu lazima Sir God alitumia uzoefu wake wote kukutengeneza 😍
Sitaki kujua hilo 😂Typing error 😂😂😂
Kweli typing error mi na nyash wapi na wapi?Sitaki kujua hilo 😂
Hv n mpaka lini Ntaacha kukuambia uje pm 😔Kweli typing error mi na nyash wapi na wapi?
Pm kuna nini? Haya leo nakufungulia njoo, ila ukizingua nakulima block. 😂Hv n mpaka lini Ntaacha kukuambia uje pm 😔