Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Sawa love 😍Mbaga ebu tulia 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa love 😍Mbaga ebu tulia 😂😂
Unaweza kuwa na 73 halafu umejishindilia kama kamtungi la gesi ka oryx...... Lazima uwe chibonge....Ma mshuza kasema kuanzia kg 40-60 ndo vibanio mi niko zangu na 73
Vitu gn hvy loveWakiombwa visivyoombwa wanalalamika
Jishikirie kwa mikono yote mkuu usijepanda mnazi🤣Aisee
Yani mtu kuota matako ndo hana wazazi, sasa ayapeleke wapi Mkuu?fanya wewe ni baba utaelewa
Wapi nimesema hayoUtaimwagia mara kadhaa utachoka utataka BJ utachoka pia, utairuka ukuta utachoka pia utatafuta mpya, Wanawake ni vyombo vya stareh tu huwez tembelea mbuga moja au kuogelea beach moja maisha yote.
kwa mume wakeYani mtu kuota matako ndo hana wazazi, sasa ayapeleke wapi Mkuu?
Ukiangalia sana hy picha unaweza kupatwa na tukio la ajabu 😂 Mm Imebidi niangalie kwa jicho moja.Jishikirie kwa mikono yote mkuu usijepanda mnazi🤣
Bora kuliko ukibanioUnaweza kuwa na 73 halafu umejishindilia kama kamtungi la gesi ka oryx...... Lazima uwe chibonge....
Bila hata kuwa na chembe ya akili, ataishia tu kuwa jamvi la wageni😀, halafu kwa nini atusemee mabaharia?Minyama tu yaani minyama tu
Huyoo yupoo sahihi...unakuta mwinginee mpk anakushikaa kaliooo...et au leo umevaa kigodoro...kumbe maskini ni majaliwa ya Allah tuu😄😄😄..Dunia ya saizi wanawake wasio na makalio wanakosa Sana confidence...tako limekuwaover rated kwa kweli😄🙌chanzo ni nyie wanaumeeeHii nshawah kumuuliza demu fln hv mwembamba, akasema roho hua inamuuma sana mpaka anatamani asiwe anakutana na waliomzidi mwili
Ah Mm nimeridhika na nyash dogo la babe wangu Lamomy hvy mm sijawahi kuwa chanzo 😂Huyoo yupoo sahihi...unakuta mwinginee mpk anakushikaa kaliooo...et au leo umevaa kigodoro...kumbe maskini ni majaliwa ya Allah tuu😄😄😄..Dunia ya saizi wanawake wasio na makalio wanakosa Sana confidence...tako limekuwaover rated kwa kweli😄🙌chanzo ni nyie wanaumeee
Bora kibanio kuliko kuwa mnyooo.....Bora kuliko ukibanio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nashukuru Mungu, baby wangu ananipenda na kitambi changu [emoji23]
Hongeraa Kama umeridhikaa na la baby wakoo😄😄😄nyama ni ile ile tuuuAh Mm nimeridhika na nyash dogo la babe wangu Lamomy hvy mm sijawahi kuwa chanzo 😂
Ila mwanamke wa namna hy awekwe karibu na watoa ushauri maana anaweza hata kujitoa uhai kwa stress 😂
Huu uzi umekaa "kimkakati"Awe na Tako awe na kiuno awe na bastola. Hutaki kajisaidie....mi nshakutana na wanaume wanasema napenda mwanamke namba moja....
Nyooooh...namba moja my ass. Wengi ambao ni vibamia wanaogopa kuyafakamia matinginya sababu hawafiki ndani au hawajui style mujarabu.
Unabisha aangalia insta wanawake gani wana wafuasi wengi. Wanaume wengi wakikosa ndo husema sizitaki mbichi hizi. Nyie viwanawake kau kau mna gubu nyieeee....khaaaah.walalamishi, mna husda,roho mbaya, washakunaku na hamjiamini.
Ni nadra sana mwanaume kugeuka kumwangalia mwanamke namba 1 au kaukau.lakini sisi namba 8 weeeeeeeh....watu wanapata mpaka ajali.na wanaume wanasema hawataki kutuoa sababu ni pasua kichwa.tunapendwa na kutamaniwa na wengi.
Humu JF ukisoma tu unajua hiki ni chembamba kimekosa nyama na roho, utakiona tu comments zake.hakijiamini, kinaweweseka na kikorofi.sisi wanene watamu..akhaaaaaaah....kama mwanaume hueleweki pita kule kaka tusitiane hashua ya papa.
Wanaume weak hukimbilia vinamke vidogo dogo sisi wenye trailers tunaogopwa. Nami siogopi kusema.kama hutaki kalia misumali .we vipi UNANTAKA? Akhuuuu....kajitafute.na uwe na afya yako.mwanaume chini ya kgs 80 huyo ni cha upepo aende huko asilete ubabaifu.
Mwanaume unatakiwa ukaze,uwe na uzito na nguvu.ndo maana mnabaki kuvuonea vidada vina uzito wa kgs 40 mpaka 60. Mimi mwenzenu nina above 90 kgs so mwanaume wangu naye ameshiba na likifua, mamikono hayo.unasema eeeeh....nmeshikiliwa.siyo kamtu kanapepesuka..
NDO NISHASEMA.SIJALI WALA NINI.
Umesema utaoa eeh🤣Wapi nimesema hayo
Anajiendekeza, ujitoe uhai sababu ya nyash??Ah Mm nimeridhika na nyash dogo la babe wangu Lamomy hvy mm sijawahi kuwa chanzo 😂
Ila mwanamke wa namna hy awekwe karibu na watoa ushauri maana anaweza hata kujitoa uhai kwa stress 😂