Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Hapana love, hvy ulivyo ndivyo moyo wangu umekudondokea, ukiongezeka sitofurahi afadhali upungueUnanijaza sifa za uongo sasa 🤣🤣🤣🤣
Usiseme hivyo unanifanya nione unanikejeli ujue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana love, hvy ulivyo ndivyo moyo wangu umekudondokea, ukiongezeka sitofurahi afadhali upungueUnanijaza sifa za uongo sasa 🤣🤣🤣🤣
Usiseme hivyo unanifanya nione unanikejeli ujue
Hy n mindset yako tuu love, ila ww kiboko😂😂😂😂 mfyuuu.!! Wakati hata nikijigusa sioni kitu.
Sasa naongezeka wapi? Mwili wa betina huu naongezeka nini?? 🤣🤣🤣Hapana love, hvy ulivyo ndivyo moyo wangu umekudondokea, ukiongezeka sitofurahi afadhali upungue
Kweli 😍😍😍Hy n mindset yako tuu love, ila ww kiboko
Ndio ubaki hvy hvy mana ndio nmekupendea loveSasa naongezeka wapi? Mwili wa betina huu naongezeka nini?? 🤣🤣🤣
Yes loveKweli 😍😍😍
naskia mishale mna mashimoooooo😂😂😂😂🙌🏾Si ndio vizuri ukatusemee mishale wenzio 🤣🤣🤣
umeona sasa shida io😂😂😂 usiogope yutiyai faidi minyama ioDuh! Nimeenda nimeangalia ni hatari na nusu. Sema nini mishangazi kama hii haikosi UTI sugu 🤣🤣🤣🤣
🤭Yes love
Ndugu mwandishi Nyie mnaishiwa kuchezewa tu Hao namba moja ndo wanawekwa ndani😃😃😃 ..pia mwanamke mwenye akili hawezi kuja kujinadi huku kuhusu nyashi nyashi hata Kuku anayoAwe na Tako awe na kiuno awe na bastola. Hutaki kajisaidie....mi nshakutana na wanaume wanasema napenda mwanamke namba moja....
Nyooooh...namba moja my ass. Wengi ambao ni vibamia wanaogopa kuyafakamia matinginya sababu hawafiki ndani au hawajui style mujarabu.
Unabisha aangalia insta wanawake gani wana wafuasi wengi. Wanaume wengi wakikosa ndo husema sizitaki mbichi hizi. Nyie viwanawake kau kau mna gubu nyieeee....khaaaah.walalamishi, mna husda,roho mbaya, washakunaku na hamjiamini.
Ni nadra sana mwanaume kugeuka kumwangalia mwanamke namba 1 au kaukau.lakini sisi namba 8 weeeeeeeh....watu wanapata mpaka ajali.na wanaume wanasema hawataki kutuoa sababu ni pasua kichwa.tunapendwa na kutamaniwa na wengi.
Humu JF ukisoma tu unajua hiki ni chembamba kimekosa nyama na roho, utakiona tu comments zake.hakijiamini, kinaweweseka na kikorofi.sisi wanene watamu..akhaaaaaaah....kama mwanaume hueleweki pita kule kaka tusitiane hashua ya papa.
Wanaume weak hukimbilia vinamke vidogo dogo sisi wenye trailers tunaogopwa. Nami siogopi kusema.kama hutaki kalia misumali .we vipi UNANTAKA? Akhuuuu....kajitafute.na uwe na afya yako.mwanaume chini ya kgs 80 huyo ni cha upepo aende huko asilete ubabaifu.
Mwanaume unatakiwa ukaze,uwe na uzito na nguvu.ndo maana mnabaki kuvuonea vidada vina uzito wa kgs 40 mpaka 60. Mimi mwenzenu nina above 90 kgs so mwanaume wangu naye ameshiba na likifua, mamikono hayo.unasema eeeeh....nmeshikiliwa.siyo kamtu kanapepesuka..
NDO NISHASEMA.SIJALI WALA NINI.
Ndomana wanaume wanasemaga wanawake wenye kalio kubwa hawanaga Akili wengi waoKuna wale ambao si mabonge wala vimbao mbao unatuweka wapi ma mshuza
Mwanamke mwenye tako anajiamini kuliko mwenye masters
Ulijichungulia?? Hebu tuone sample ya shimo lako wifi 😂😂😂naskia mishale mna mashimoooooo😂😂😂😂🙌🏾
Akili zao ni matako yao,Ndomana wanaume wanasemaga wanawake wenye kalio kubwa hawanaga Akili wengi wao
Mwanamke anajisifia nyash badala ya maendeleo?? 😂😂😂Akili zao ni matako yao,
HioUlijichungulia?? Hebu tuone sample ya shimo lako wifi 😂😂😂
La muhimu ni nyash vibanio punguzeni makasiriko basiMwanamke anajisifia nyash badala ya maendeleo?? 😂😂😂
na yale manyama nyama ya kiunoni mpka rahanashukuru Mungu, baby wangu ananipenda na kitambi changu 😂