Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 mfyuuuu!!Hapana love, nyash ikiwa kubwa utakuwa mvivu ku-ride farasi wako 😎
Asante sanaUniambii kitu kwa ke type ya mange kimambi, mishale hoyee, nyie wengine matinginya sijui matinganya liwakute lolote.
Tumekuchagua wewe wifi utusemee 🤣🤣🤣🤣ipo siku nasie wembamba tutapata mtetezi wetu😥
Amini hvy love 😍🤣🤣🤣 mfyuuuu!!
Thitakiiii naenda mloganzila 😂😂😂Amini hvy love 😍
🤣🤣🤣🤣🤣🙌 AloooBaada ya kukimbizwa ubungo riverside naona mmekuja na mbinu mpya🤒 sema una akili sana ya biashara utafika mbali.
hakuna mkinga mwembamba weweeeeeeeee unanisanifu tu😂😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾Tumekuchagua wewe wifi utusemee 🤣🤣🤣🤣
Habari bila picha hainogi.Awe na Tako awe na kiuno awe na bastola. Hutaki kajisaidie....mi nshakutana na wanaume wanasema napenda mwanamke namba moja....
Nyooooh...namba moja my ass. Wengi ambao ni vibamia wanaogopa kuyafakamia matinginya sababu hawafiki ndani au hawajui style mujarabu.
Unabisha aangalia insta wanawake gani wana wafuasi wengi. Wanaume wengi wakikosa ndo husema sizitaki mbichi hizi. Nyie viwanawake kau kau mna gubu nyieeee....khaaaah.walalamishi, mna husda,roho mbaya, washakunaku na hamjiamini.
Ni nadra sana mwanaume kugeuka kumwangalia mwanamke namba 1 au kaukau.lakini sisi namba 8 weeeeeeeh....watu wanapata mpaka ajali.na wanaume wanasema hawataki kutuoa sababu ni pasua kichwa.tunapendwa na kutamaniwa na wengi.
Humu JF ukisoma tu unajua hiki ni chembamba kimekosa nyama na roho, utakiona tu comments zake.hakijiamini, kinaweweseka na kikorofi.sisi wanene watamu..akhaaaaaaah....kama mwanaume hueleweki pita kule kaka tusitiane hashua ya papa.
Wanaume weak hukimbilia vinamke vidogo dogo sisi wenye trailers tunaogopwa. Nami siogopi kusema.kama hutaki kalia misumali .we vipi UNANTAKA? Akhuuuu....kajitafute.na uwe na afya yako.mwanaume chini ya kgs 80 huyo ni cha upepo aende huko asilete ubabaifu.
Mwanaume unatakiwa ukaze,uwe na uzito na nguvu.ndo maana mnabaki kuvuonea vidada vina uzito wa kgs 40 mpaka 60. Mimi mwenzenu nina above 90 kgs so mwanaume wangu naye ameshiba na likifua, mamikono hayo.unasema eeeeh....nmeshikiliwa.siyo kamtu kanapepesuka..
NDO NISHASEMA.SIJALI WALA NINI.
😭😭😭🤣🤣🤣🤣Kuna wale wana tako + hips ila wana maziwa madogo 😍 dah hua nafurahia sana kumwangalia demu wa Namna hy.
Tembelea avatar yake mkuu kwa picha kamili.Habari bila picha hainogi.
😂😂😂😂 Kweli wifi, kuwa muwakilishi wetu ukatusemee hili. Nimelia sana 😭😭😂😂😂hakuna mkinga mwembamba weweeeeeeeee unanisanifu tu😂😂😂😂😂🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
ila mimi ni mwembamba jaman 😥😥😥sasa tutafanyaje😂😂😂😂 Kweli wifi, kuwa muwakilishi wetu ukatusemee hili. Nimelia sana 😭😭😂😂😂
Si ndio vizuri ukatusemee mishale wenzio 🤣🤣🤣ila mimi ni mwembamba jaman 😥😥😥sasa tutafanyaje
Duh! Nimeenda nimeangalia ni hatari na nusu. Sema nini mishangazi kama hii haikosi UTI sugu 🤣🤣🤣🤣Tembelea avatar yake mkuu kwa picha kamili.
Yani hizo sifa hapo ww ndio unazo😭😭😭🤣🤣🤣🤣
Naenda mloganzila
La sanch hata silipendi, nataka lako ndio limekaa unyamaThitakiiii naenda mloganzila 😂😂😂
Tena nataka km la Sanch
Unanijaza sifa za uongo sasa 🤣🤣🤣🤣Yani hizo sifa hapo ww ndio unazo
una tako heavy mpaka unashindwa kuweka pesa mfuko wa nyuma + hips la kuchana suruali + maziwa flani hv amazing ya kunifanya mm na mwanangu mtarajiwa kwenye uzao wako kufurahia hapo kifuani 😍
😂😂😂😂 mfyuuu.!! Wakati hata nikijigusa sioni kitu.La sanch hata silipendi, nataka lako ndio limekaa unyama