The dumb Professor
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 852
- 1,978
Ndo hiyo mkuu🙏Ndiyo hiyo kazi uliyounganishiwa na yule jamaa anayekunyanyasa?
DumbproffessorDumbfuc
Vichenji tu ivo, ila nataka nivitumie kutafuta Helawatu mna hela wakuu🥹🥹
Waganga tena? Bora akamtolee Mungu fungu la kumiKula bata mshahara wa lwanxa wote sema hujalipwa .mshahara wa pili kaawape nusu wagaanga wangaarishe nyota nusu .nusu kula bia
Dah 700k kwa mwezi?Save at least 700k kwa mwezi, save fixed au UTT
Biashara angalia sehemu uliyopo, usifungue duka la rejareja au kununua bajaji na pikipiki,
M30 basic, M1 takehomeWewe jamaa ni mwongo uliyekubuhu na usiye na kumbukumbu. Majuzi ulisema jamaa yako kaku-connect kazi ya milioni 30 kwa mwaka. Leo unakuja na kazi ya 1m kwa mwezi..!!!! UMECHANGANYIKIWA?
Mbona kama unanipa plan za kutajirisha waganga sio za kutajirika Mimi?Kula bata mshahara wa lwanxa wote sema hujalipwa .mshahara wa pili kaawape nusu wagaanga wangaarishe nyota nusu .nusu kula bia
Huyu ni Yule Don Namilison anayejichangamsha a- trend humu JFWewe jamaa ni mwongo uliyekubuhu na usiye na kumbukumbu. Majuzi ulisema jamaa yako kaku-connect kazi ya milioni 30 kwa mwaka. Leo unakuja na kazi ya 1m kwa mwezi..!!!! UMECHANGANYIKIWA?
Bado sion hizi zitanisaidiaje kutoboa mwaka huu?Kama mcha mungu wa kwanza nunua misosi ya 2 month .ya pili peleka nusu kwa yatima wa unapoishi wambie sio ww umeletewa na mungu wale wa chini kabisa.na wasikufate inbox kawape wahitaji chini sana wa jiran
Nimeweka wote mm sitalaa nije inboxMbona kama unanipa plan za kutajirisha waganga sio za kutajirika Mimi?
Huwezi toboa mwaka ni kama kusema ndege kupaa dakika 1Bado sion hizi zitanisaidiaje kutoboa mwaka huu?