Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohh sorry bro mm yaa mwaka sinaBado sion hizi zitanisaidiaje kutoboa mwaka huu?
Kwenye ile kazi alisema thamani ya mshahara wake kwa mwaka ni million 30.Ndiyo hiyo kazi uliyounganishiwa na yule jamaa anayekunyanyasa?
Asante, kwhy unanishaur nifanye nn braza?Heshimu tu kuwa sitaki kukuibia
Una ya miaka mingap?Ohh sorry bro mm yaa mwaka sina
BasicKwenye ile kazi alisema thamani ya mshahara wake kwa mwaka ni million 30.
Hahaa amesema ndiyo hiyo mkuu, huenda alihesabia thamani ya Gross pay per year maana kama take home ni 1M per year ni 12MKwenye ile kazi alisema thamani ya mshahara wake kwa mwaka ni million 30.
Yep uko smart....Afu Wewe ni financial services kwann usinifanyie consultancy kwa hili?Hahaa amesema ndiyo hiyo mkuu, huenda alihesabia thamani ya Gross pay per year maana kama take home ni 1M per year ni 12M
Karibu mkuu, save as much amount as you can, tumia kidogo save zaidi, zile outings na yule jamaa aliyekuunganishia kazi punguza toa na sadaka utabarikiwa.Yep uko smart....Afu Wewe ni financial services kwann usinifanyie consultancy kwa hili?
M30M30 basic, M1 takehome
🙏....Please Naomba specific analysisKaribu mkuu, save as much amount as you can, tumia kidogo save zaidi, zile outings na yule jamaa aliyekuunganishia kazi punguza toa na sadaka utabarikiwa.
/Annum
Cha kwanza nitumie kama laki moja ili nikupe ushauri! Hutajutia laki yako!Wataalam wa Darisalaam,
Ndo nmereport kazin apa na takehome ya 1M. Nipeni mbinu za kufanya ili kufikia mwisho wa mwaka huu nisiwe Tena mtegemezi wa mshahara.
Nipeni mbinu za kiasi gani Cha kusave, kuspend na kuinvest ili kijana wenu nisiwe napiga marktime.
Na kama nainvest nipeni ushauri noinvest katika biashara gani ambayo Haina risk sana kwa sisi tunafanya kazi za kuajiriwa.
Nipeni pia mbinu za kuhandle vizinga kutoka kwa wanawake,ndugu,jamaa na marafiki.
Natanguliza shukran.🙏
Nishawishi kwanza huduma zako au testimonies zako. Laki kubwa ujueCha kwanza nitumie kama laki moja ili nikupe ushauri! Hutajutia laki yako!
Kazi ni ileileWe mwanangu kila cku unapata kazi mpya🤒
MlokoleWw dini gan