Ndo nimeajiriwa kwa huu mshahara, nipeni mbinu za kufanya nitoboe ndani ya huu mwaka

Ndo nimeajiriwa kwa huu mshahara, nipeni mbinu za kufanya nitoboe ndani ya huu mwaka

Wataalam wa Darisalaam nawasalim,

Ndo nmereport kazin apa na takehome ya 1M. Nipeni mbinu za kufanya ili kufikia mwisho wa mwaka huu nisiwe Tena mtegemezi wa mshahara.

Nipeni mbinu za kiasi gani Cha kusave, kuspend na kuinvest ili kijana wenu nisiwe napiga marktime.

Na kama nainvest nipeni ushauri noinvest katika biashara gani ambayo Haina risk sana kwa sisi tunafanya kazi za kuajiriwa.
Nipeni pia mbinu za kuhandle vizinga kutoka kwa wanawake,ndugu,jamaa na marafiki.

Natanguliza shukran.🙏
sahau kuhusu kutoboa kwa mshahara
 
Back
Top Bottom