Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Wasipooa wataolewa wao, we subiriSasa msipooa na kila mtu asipooa watoto wenu wa kike wataolewa na nani?
Angalieni madhara ya mlichokianzisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasipooa wataolewa wao, we subiriSasa msipooa na kila mtu asipooa watoto wenu wa kike wataolewa na nani?
Angalieni madhara ya mlichokianzisha
Ndo kifuatacho itvWasipooa wataolewa wao, we subiri
Na kifo piaKuoa na kupata watoto kama hujajipanga ni chanzo cha kutoendelea
Vipato vinatofautiana, kwake ni kubwaKamna cha blabla nyingi, sema wewe ni shoga tu. Mwanaume kamili anayajua majukumu yake haogopi kuoa. Milioni 2 ni hela ya kawaida tu ila wewe inakutoa ushuzi.
Hatuoi na hatuolewi, tumegomaWasipooa wataolewa wao, we subiri
Itakufukuza ikiwa hujamharibu binti yao ila wakigundua ana kidude wanarudisha majeshi kwa 5G!Ipo philosophy moja kuna rafiki yangu humu jf aliwahi kuniambia kwamba ukienda kutoa posa halafu utajiwe kutoa mahari kubwa hiyo huwa ni mbinu ya kukufukuza kama endapo familia haijakupenda
Kila weekend tunaserebuka na harusiHatuoi na hatuolewi, tumegoma
Hao ni wachache wanaokiuka miiko,Kila weekend tunaserebuka na harusi
Wataolewa na ma Beta males, wapo wengi tu, wale ambao wamekua labelled as "Yes Men"Sasa msipooa na kila mtu asipooa watoto wenu wa kike wataolewa na nani?
Angalieni madhara ya mlichokianzisha
Yeye mwenyewe bikira?Kama ni bikra sio pesa ila kma hakuna kitu achukue ata bure
Kama mpaka Muhenga umesema basi kwakweli maisha yasasa yana changamoto kibaoManeno yako hayapo mbali na uhalisia wa maisha ya nyakati tulizo nazo........
Mbona wapo wengi tu walioolewa, hao ni ridhaa yao na wala haishangazi kwa sasa, ndio Mashoga yenyewe hayo...!!!Ndo kifuatacho itv
Ukiuliza hawana hoja ya msingi....hoja kuu ukiwasikiliza ni Ubinafsi tu na kukwepa majukumu.
Wanaume wote ni Mabikira hata kama wametoka kusex robo saa zilizopitaYeye mwenyewe bikira?
wait when you hit 65yrs ndipo utajutia uamuzi wako wa kijingaNilikwenda kuchumbia mahali fulani...majibu yakatoka nikaambiwa nipeleke milioni mbili..,nimejitafakari aisee ni hapana sijajua wazazi wa Binti watanifikiria vipi ...ila watanisamehe tu.
Kwanza naenda kumnunua mtu...pesa inatoka hapo,pili natakiwa niwe namhudumia kwa kila kitu nikiwa naye nayo ni pesa hio,tatu Mwanamke atakuja kunibana aisee nishazoea kulala pekeangu,nne nahofia tukiachana nitapoteza hata hivi vichache nilivonavyo...mwisho kabisa Mwanamke nimemuona mtu wa lawamalawama sana...kwanza ni ngenye ndio zilisababisha harakaharaka nichumbie
Binafsi nikifikisha miaka 40 labda ndio nifikirie kuoa kwa saivi najitafuta kwanza nahitaji niimarike kiuchumi
Mikakati ninayokuja nayo
1.naacha pombe,sigara
2.nakuwa mtu wa ibada na kusoma vitabu.
3.nakuwa mchumi na mbahili lakini nataka nifanye kazi kwa bidii sana
4.naweka akiba
5.nakuwa mtu wa kujipenda na kupendeza kuvaa vizuri
6.mbinafsi.
Note:ndoa ni muhimu lakini sio lazima
Kwendraaaaaa unilishe chakula kibaya?Mimi sivuti sigara naomba kukuoa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwendraaaaaa unilishe chakula kibaya?