Ndoa hazivunjiki kwasababu ya kuoa mke bikira ila kwa kuchunguzana au kupelelezana period

Ndoa hazivunjiki kwasababu ya kuoa mke bikira ila kwa kuchunguzana au kupelelezana period

AISEE NGOJA NA MIM NISEME KIDOGO.

Kwanza kabisa naweza kusema kwa uwazi kabisa kuwa YES, Bikira inaweza ikawa chanzo kikubwa kabisa mahusiano kudumu.

Kwanini nasema hivyo,

1. Binti ambae mpaka unakuja kumuoa ni bikira anakuwa na mfumo wa akili ya kujitunza, yaani mfano umemuoa ana miaka 25 let say. This means that kwa miaka takribani 10+ amekuwa akiona huo "utandawazi" lakini bado kawa muaminifu kwenye mwili wake, hakujiachia mpaka kumpa mtu mwingine akauharibu, hii inaonesha dhahiri hata anapokua ndani ya ndoa ni rahisi kuendelea kutunza heshima yake na zaidi kumtunzia mume wake wa muda huo.

2. Kingine kwa mwanamke bikira, tunasema anakua hana idea ya maumbile tofauti na mume wake, hii imekaaje.
Chukulia mfano mwanamke ambae toka ujana wake ameshaonja maumbile tofauti tofauti, nchi 4, 5, 6 mpaka 7, sasa huyu mwanamke, anakua na hamu ya mapenzi kutokana na maumbile ambayo yameshawai kumkuna zaidi,

Hivyo kama mume nichukulie mfano akawa na maumbile ambayo sio makubwa au ya utundu kama ambayo ameshawai kuyatumia, hupelekea kutopata haki yake stahiki, maana kichwani anajua kuna mashine bora au kubwa zaidi ya hii anayokutana nayo kwenye ndoa.
Hivi hujiulizi kwanin wanaume sasa hivi wanatafuta sana njia au dawa za kuongeza maumbile yao, sabab moja wapo ni kuwaridhisha hawa wanawake ambao maumbile yao yameshakuwa makubwa kwa kutumika sana, ama kutumia mashine ambazo ni kubwa zaidi.

3. Ndio naelewa utandawazi umekuwa chanzo kikubwa kwa maadili kuvunjika ama wanandoa kutotulia na ndoa moja, ila tuongelee psychologically, its believed mwili au akili ya binadamu ikizoea kufanya kitu flani kwa muda wa zaidi ya mwaka au nusu mwaka, inakuwa ni tabia halisi kabisa. Sasa njoo kwa binti ambae to anabalehe ameshajizoesha kukwepa vishawishi vya wanaume na utandawazi kwa ujumla, unafikiri akiingia kwenye ndoa ndio tabia itabadilika?
Lakini vip kwa binti ambae ameshazoe ku-give in kwenye changamoto ambazo anakutanazo za wanaume na utandawazi, vip akifika kwenye ndoa unafikiri atakuwa anajizuia sana?

4. Kwanin swala la ubikira wa binti unakua point sana kwenye swala la ndoa, ni kwasabab ukichunguza ndoa nyingi huvunjika au kuyumba kwa tatizo kuu la unyumba,
Sasa hapa kuna mengine yanafata pia kwa upande wa pili, kuna kiburi, kuna hekima, kuna matunzo na kulelewa, hivyo bikira pekee haifanyi ndoa yako idumu muda mrefu, vipi ukiwa na bikira halafu sio mtiiifu, hujipendi, una kiburi, mchafu, mvivu n.k,

So niseme tuu bikira inatoa nafasi kubwa kwa mwanamke kuaminika ndani ya jamii na kwa mume wake, kwa upande wa unyumba ndio rahisi zaidi kwa kuwa mwanaume anakua na uhakika mke wake kutokutumika kabla. Ila vipi kuhusu maswala mengine ya kijamii kama, uchumi, imani na mapokeo.

Niishie kusema bikira sio kigezo kikuu cha ndoa kudumu, bali ni yale ambayo mwanamke na mwanaume wanapaswa kuwa nayo yakiwa yamefundishwa na kufanywa inavopaswa, ikiwepo na bikira yenyewe.
 
AISEE NGOJA NA MIM NISEME KIDOGO.

Kwanza kabisa naweza kusema kwa uwazi kabisa kuwa YES, Bikira inaweza ikawa chanzo kikubwa kabisa mahusiano kudumu.

Kwanini nasema hivyo,

1. Binti ambae mpaka unakuja kumuoa ni bikira anakuwa na mfumo wa akili ya kujitunza, yaani mfano umemuoa ana miaka 25 let say. This means that kwa miaka takribani 10+ amekuwa akiona huo "utandawazi" lakini bado kawa muaminifu kwenye mwili wake, hakujiachia mpaka kumpa mtu mwingine akauharibu, hii inaonesha dhahiri hata anapokua ndani ya ndoa ni rahisi kuendelea kutunza heshima yake na zaidi kumtunzia mume wake wa muda huo.

2. Kingine kwa mwanamke bikira, tunasema anakua hana idea ya maumbile tofauti na mume wake, hii imekaaje.
Chukulia mfano mwanamke ambae toka ujana wake ameshaonja maumbile tofauti tofauti, nchi 4, 5, 6 mpaka 7, sasa huyu mwanamke, anakua na hamu ya mapenzi kutokana na maumbile ambayo yameshawai kumkuna zaidi,

Hivyo kama mume nichukulie mfano akawa na maumbile ambayo sio makubwa au ya utundu kama ambayo ameshawai kuyatumia, hupelekea kutopata haki yake stahiki, maana kichwani anajua kuna mashine bora au kubwa zaidi ya hii anayokutana nayo kwenye ndoa.
Hivi hujiulizi kwanin wanaume sasa hivi wanatafuta sana njia au dawa za kuongeza maumbile yao, sabab moja wapo ni kuwaridhisha hawa wanawake ambao maumbile yao yameshakuwa makubwa kwa kutumika sana, ama kutumia mashine ambazo ni kubwa zaidi.

3. Ndio naelewa utandawazi umekuwa chanzo kikubwa kwa maadili kuvunjika ama wanandoa kutotulia na ndoa moja, ila tuongelee psychologically, its believed mwili au akili ya binadamu ikizoea kufanya kitu flani kwa muda wa zaidi ya mwaka au nusu mwaka, inakuwa ni tabia halisi kabisa. Sasa njoo kwa binti ambae to anabalehe ameshajizoesha kukwepa vishawishi vya wanaume na utandawazi kwa ujumla, unafikiri akiingia kwenye ndoa ndio tabia itabadilika?
Lakini vip kwa binti ambae ameshazoe ku-give in kwenye changamoto ambazo anakutanazo za wanaume na utandawazi, vip akifika kwenye ndoa unafikiri atakuwa anajizuia sana?

4. Kwanin swala la ubikira wa binti unakua point sana kwenye swala la ndoa, ni kwasabab ukichunguza ndoa nyingi huvunjika au kuyumba kwa tatizo kuu la unyumba,
Sasa hapa kuna mengine yanafata pia kwa upande wa pili, kuna kiburi, kuna hekima, kuna matunzo na kulelewa, hivyo bikira pekee haifanyi ndoa yako idumu muda mrefu, vipi ukiwa na bikira halafu sio mtiiifu, hujipendi, una kiburi, mchafu, mvivu n.k,

So niseme tuu bikira inatoa nafasi kubwa kwa mwanamke kuaminika ndani ya jamii na kwa mume wake, kwa upande wa unyumba ndio rahisi zaidi kwa kuwa mwanaume anakua na uhakika mke wake kutokutumika kabla. Ila vipi kuhusu maswala mengine ya kijamii kama, uchumi, imani na mapokeo.

Niishie kusema bikira sio kigezo kikuu cha ndoa kudumu, bali ni yale ambayo mwanamke na mwanaume wanapaswa kuwa nayo yakiwa yamefundishwa na kufanywa inavopaswa, ikiwepo na bikira yenyewe.
Nashukuru kwa mchango wako mkubwa na.kwa jinsi ulivyodadavua maelezo yako

Ningependa kuchangia tu kwanini wanaume wanaamini kwamba maumbile makubwa ndio mpango mzima,ni kwakuwa haya wanayaona kwenye porn movies

Kwa wale ambao tumewahi kuangalia huu uchafu ni kawaida kuwaida kuwasikia wale actors wakisema "it's so big ooh my god i like it"

Sasa porn sex is not a real sex kwa maana wanataka kutuaminisha kwamba kuwa na maumbile makubwa ndio wanawake wanainjoy sex kitu ambacho si kweli

Ukija kwenye mitandao huku matangazo ya kuongeza ukubwa wa maumbile ni mengi sana hivyo kuwafanya vijana kuona kwamba hakika dushe kubwa ndio mpango mzima

Kiukweli ni asilimia ndogo sana ya wanawake wanapenda dushe kubwa lkn wengi ni wanapata maumivu sana na ni kero kwao

Kwahiyo wanaume wasiojiolewa watahangaika sana kukuza maombile na mwisho wa siku wataharibu afya yao ya uzazi
 
Nashukuru kwa mchango wako mkubwa na.kwa jinsi ulivyodadavua maelezo yako

Ningependa kuchangia tu kwanini wanaume wanaamini kwamba maumbile makubwa ndio mpango mzima,ni kwakuwa haya wanayaona kwenye porn movies

Kwa wale ambao tumewahi kuangalia huu uchafu ni kawaida kuwaida kuwasikia wale actors wakisema "it's so big ooh my god i like it"

Sasa porn sex is not a real sex kwa maana wanataka kutuaminisha kwamba kuwa na maumbile makubwa ndio wanawake wanainjoy sex kitu ambacho si kweli

Ukija kwenye mitandao huku matangazo ya kuongeza ukubwa wa maumbile ni mengi sana hivyo kuwafanya vijana kuona kwamba hakika dushe kubwa ndio mpango mzima

Kiukweli ni asilimia ndogo sana ya wanawake wanapenda dushe kubwa lkn wengi ni wanapata maumivu sana na ni kero kwao

Kwahiyo wanaume wasiojiolewa watahangaika sana kukuza maombile na mwisho wa siku wataharibu afya yao ya uzazi
Well said
 
Huu uzi naundika mahususi kwa kwasababu ya mdau mmoja ambaye anatupigia sana makelele hapa jukwaani kuhusiana na mwanamke bikira,kwa mtazamo wake anaona mwanamke bikira ndio sababu ya utengamano wa ndoa kitu ambacho si kweli kwa asilimia mia moja

Kwanza ieleweke sio kwamba hatupendi wanawake wajitunze mpaka siku ya ndoa laa! Tunapenda sana na kila mzazi angependa mabinti zake waolewe katika hali hiyo na hii inawezekana kama jamii ikiweka sana mkazo katika elimu ya dini na mila na desturi zikilindwa.

Mfano Lesotho sasa hivi kila mwaka wanafanya sherehe za kuwatunuku vyeti mabinti ambao wako bikira ambao wametimiza miaka 25,wanapimwa na kupewa vyeti rasmi,kwahiyo kumbe haya yakifanywa katika jamii inawezekana kabisa

Sasa tuje upande wa pili wa shilingi,kuoa mwanamke bikra hakukupi asilimia mia moja kwamba huyo mwenza wako atakuwa mwaminifu kwa asilimia mia,na hii ni kutokana na mfumo wa maisha ambao tunao sasa,hii sayansi na tekinolojia imekuja na faida na hasara zake

Vishawishi ni vingi mno huko mitandaoni,mambo ya chumbani sasa hivi yapo mitandaoni kwahiyo watu hupenda kujaribu mambo mapya,kwahiyo hata huyo bikira wako nae hajapona juu ya hili,maana naye anashawishiwa kula muogo wa shamba moja kila siku huchoki ebu jaribu bwana muhogo wa jang'ombe,je hapo hajaliwa?

Huko nyuma sio kwamba mababu zetu pamoja na kuoa mabikira sio kwamba hawaja chapiwa laa! Ila hakukuwa na nyenzo za kuchunguzana na kukamatana haraka kwakuwa mpaka umjue mgoni wako basi ufanye kazi kweli

Istoshe wazee wetu walijua haya mambo yapo lkn walijitahidi kadri ya uwezo wao kuepusha ndoa kuvunjika,wazee wakirudi nyumbani kutoka safari,basi hawaendi makwao moja kwa moja ila watatuma mtoto wa jirani apeleke koti nyumbani ikiwa na ishara kwamba amerudi,hivyo kama hapo kwake kuna sintofaahamu yoyote basi asiikute,naam ndio maana waliishi kwa amani na starehe

Sisi karne hii hizi simu ndio mvunjaji wa kwanza wa ndoa zetu,siku hizi tunafumaniana kupitia meseji,halafu cha ajabu eti meseji ndio inavunja ndoa,hivi tupo serious kweli? Yaan umetumia gharama kubwa kuoa,kumchagua mchumba,kumhudumia halafu siku moja tu inaingia meseji halafu ndoa inakuwa hakuna tena,ni aibu kubwa

Hivi kama tukiacha kuchunguzana katika simu unafikiri ndoa hazitadumu? Kwa maono yangu kuna sababu nyingi sana za watu kuchepuka,ukosefu wa mapenzi,kutopeana mda kumfanya mwenzio kuwa mpweke na hakuna kitu kibaya kama kuwa mpweke katika ndoa,kutokuwepo kwa maelewano na ugomvi kila mara,kutopeana haki ya tendo la ndoa na mambo kadha wa kadha

Kwahiyo tusijidanganye kuchepuka kutakuwepo tu iwe umeoa bikra au sio bikra,na bikra mzuri ni yule ambaye amejitunza mpaka ndoa,kama ulimtoa bikra kabla ya ndoa wala usijisifu kwakuwa sio mcha mungu,ni mcha mungu pekee ndio ana nafasi kubwa ya kutochepuka kwakuwa ana hofu ya Mungu,lakini bikra yake sio dhamana ya uaminifu wake,ingawa kidogo ana uhafadhali

Ukitaka kudumu katika ndoa mheshimiane yaani msitengenezeane mazingira ya kuwa na mashaka,muaminiane hiyo ndio silaha kubwa sana,mkiaminiana hata kuwekeana soft ware za kuchunguzana hamtafanya,ila mkitaka kuachana fasta endekezeni kupekuana simu zenu na kuwekeana hizo soft ware zenu nipo pale nawazoom mtaendelea kulialia mpaka kiama

Ni hayo tu!
100%
 
Kwanza ngoja nikuweke sawa linapokuja swala la kuzini jinsia zote zina hadhi sawa ndio maana kwa mujibu wa dini ya kiislamu mzinifu wa kike na wakiume ambao hawajaoana wote wanapigwa bakora mia moja

Na ikiwa wote wapo katika ndoa na.wamezini wanapigwa mawe mpaka kufa,sasa huenda uliona mwanamke mwenye ndoa kazini na mwanaume asiye katika ndoa,hapo mwanamke atawajibika kwa adhabu ya kuuwawa kwakuwa yeye ni mwanandoa

Ishu hapa ni bikira na uaminifu katika ndoa na sio sijui thamani ya mwanaume ni mali na.pesa noooo!
Sasa kuna uhusiano gani kati ya bikira na uaminifu kwenye ndoa
 
Huu uzi naundika mahususi kwa kwasababu ya mdau mmoja ambaye anatupigia sana makelele hapa jukwaani kuhusiana na mwanamke bikira,kwa mtazamo wake anaona mwanamke bikira ndio sababu ya utengamano wa ndoa kitu ambacho si kweli kwa asilimia mia moja

Kwanza ieleweke sio kwamba hatupendi wanawake wajitunze mpaka siku ya ndoa laa! Tunapenda sana na kila mzazi angependa mabinti zake waolewe katika hali hiyo na hii inawezekana kama jamii ikiweka sana mkazo katika elimu ya dini na mila na desturi zikilindwa.

Mfano Lesotho sasa hivi kila mwaka wanafanya sherehe za kuwatunuku vyeti mabinti ambao wako bikira ambao wametimiza miaka 25,wanapimwa na kupewa vyeti rasmi,kwahiyo kumbe haya yakifanywa katika jamii inawezekana kabisa

Sasa tuje upande wa pili wa shilingi,kuoa mwanamke bikra hakukupi asilimia mia moja kwamba huyo mwenza wako atakuwa mwaminifu kwa asilimia mia,na hii ni kutokana na mfumo wa maisha ambao tunao sasa,hii sayansi na tekinolojia imekuja na faida na hasara zake

Vishawishi ni vingi mno huko mitandaoni,mambo ya chumbani sasa hivi yapo mitandaoni kwahiyo watu hupenda kujaribu mambo mapya,kwahiyo hata huyo bikira wako nae hajapona juu ya hili,maana naye anashawishiwa kula muogo wa shamba moja kila siku huchoki ebu jaribu bwana muhogo wa jang'ombe,je hapo hajaliwa?

Huko nyuma sio kwamba mababu zetu pamoja na kuoa mabikira sio kwamba hawaja chapiwa laa! Ila hakukuwa na nyenzo za kuchunguzana na kukamatana haraka kwakuwa mpaka umjue mgoni wako basi ufanye kazi kweli

Istoshe wazee wetu walijua haya mambo yapo lkn walijitahidi kadri ya uwezo wao kuepusha ndoa kuvunjika,wazee wakirudi nyumbani kutoka safari,basi hawaendi makwao moja kwa moja ila watatuma mtoto wa jirani apeleke koti nyumbani ikiwa na ishara kwamba amerudi,hivyo kama hapo kwake kuna sintofaahamu yoyote basi asiikute,naam ndio maana waliishi kwa amani na starehe

Sisi karne hii hizi simu ndio mvunjaji wa kwanza wa ndoa zetu,siku hizi tunafumaniana kupitia meseji,halafu cha ajabu eti meseji ndio inavunja ndoa,hivi tupo serious kweli? Yaan umetumia gharama kubwa kuoa,kumchagua mchumba,kumhudumia halafu siku moja tu inaingia meseji halafu ndoa inakuwa hakuna tena,ni aibu kubwa

Hivi kama tukiacha kuchunguzana katika simu unafikiri ndoa hazitadumu? Kwa maono yangu kuna sababu nyingi sana za watu kuchepuka,ukosefu wa mapenzi,kutopeana mda kumfanya mwenzio kuwa mpweke na hakuna kitu kibaya kama kuwa mpweke katika ndoa,kutokuwepo kwa maelewano na ugomvi kila mara,kutopeana haki ya tendo la ndoa na mambo kadha wa kadha

Kwahiyo tusijidanganye kuchepuka kutakuwepo tu iwe umeoa bikra au sio bikra,na bikra mzuri ni yule ambaye amejitunza mpaka ndoa,kama ulimtoa bikra kabla ya ndoa wala usijisifu kwakuwa sio mcha mungu,ni mcha mungu pekee ndio ana nafasi kubwa ya kutochepuka kwakuwa ana hofu ya Mungu,lakini bikra yake sio dhamana ya uaminifu wake,ingawa kidogo ana uhafadhali

Ukitaka kudumu katika ndoa mheshimiane yaani msitengenezeane mazingira ya kuwa na mashaka,muaminiane hiyo ndio silaha kubwa sana,mkiaminiana hata kuwekeana soft ware za kuchunguzana hamtafanya,ila mkitaka kuachana fasta endekezeni kupekuana simu zenu na kuwekeana hizo soft ware zenu nipo pale nawazoom mtaendelea kulialia mpaka kiama

Ni hayo tu!
Kungwi
 
kuna harakati inasambaa sana mitandaoni siku hizi, inaitwa red pill

ni mambo ya wazungu wazungu

vijana wa kiume wanafundishwa kuchukia wanawake, wanashawishiwa kwamba chanzo kikubwa cha matatizo yao ni wanawake

tuseme ni kama feminism, lakini kwa wanaume

sasa vijana wengi wanatizama haya maudhui kwenye simu janja zao

nadhani ndo chanzo cha kero unayoizungumzia vijana humu kuwa walalamishi sana
Chai
 
Back
Top Bottom