Ndoa hazivunjiki kwasababu ya kuoa mke bikira ila kwa kuchunguzana au kupelelezana period

Ndoa hazivunjiki kwasababu ya kuoa mke bikira ila kwa kuchunguzana au kupelelezana period

Kama kipimo chako cha ubora ni bikra basi kwa dunia ya leo utalizwa tu.

Kuna mtu ana watoto watatu na bado unamkuta na bikra. Bikra zinauzwa madukaniz shauri yako.

Wewe fanya uwafanyavyo ila kumbuka hata huyo atakaekuja kuwa mkeo nae kuna njemba zinamfirimba hivyo hivyo na bado utamkuta na bikra yake ya kununua.
Acha uongo wewe unajua hyme? Hio huwezi kuiunga ikiisha chanika
 
kuna harakati inasambaa sana mitandaoni siku hizi, inaitwa red pill

ni mambo ya wazungu wazungu

vijana wa kiume wanafundishwa kuchukia wanawake, wanashawishiwa kwamba chanzo kikubwa cha matatizo yao ni wanawake

tuseme ni kama feminism, lakini kwa wanaume

sasa vijana wengi wanatizama haya maudhui kwenye simu janja zao

nadhani ndo chanzo cha kero unayoizungumzia vijana humu kuwa walalamishi sana
Falsafa ya red pill huwezi apply kwa muktadha wa hapa bongo, wanawake wa ughaibuni Wana changamoto zao ambazo ingekuwa tunaishi nao huku murder case zingekua nyingi sana
 
Nilichumbia demu ambaye alikuwa bikra,nikaposa,nikalipa nusu ya mahali,nikazaa nae ,tunaanza taratibu za ndoa tu akaomba space,akala nyoya,bikra nyenyeee,mke ni mke tu kikubwa nidhamu
Jidanganye ila kumbukia yote unayoyafanya room kuna mamiamba zaidi yako yalimfanyia ipasavyo
 
Utengenezaji wa bidha viwandani huwa wanaweka kitu kinachoitwa SEAL. Bidha yenye SEAL maana yake ni mpya, haijaguswa na MTU yeyote.

Ukiona product haina SEAL, hiyo ni used, maana yake Imetumika.
Kikawaida bidha iliyotumika inakuwa sio bora na ni hatari sana Kuitumia. Kuna uwezekano mkubwa ukaingia gharama kubwa kwenye matumizi yake. Bidha mpya ni smooth Kuitumia. Haisumbuwi. Mfano, Nunua simu mpya dukani au Nunua simu used kwa MTU. Utaona simu used itakusumbuwa tu Kuitumia.

Sasa Mungu aliweka kitu kinachoitwa BIKRA kwa wanawake. BIKRA ni SEAL ya MWANAMKE. Ina maana sana, sana, sana.
 
MWANAMKE BIKRA ni bidha mpya. Ni bidha original kabisa. Matumizi ya bidha mpya ukiipata ni smooth sana. Unateleza tu.

Zifuatazo ni faida za kuoa BIKRA
1) MWANAMKE BIKRA hawezi kukusumbuwa. Anakuwa mti sana
2) MWANAMKE BIKRA hawezi kukusaliti hata kama unaisha naye mbali.
3) Watoto wako wanakuwa na afya ya kimwili na kiroho maana njia ya mkeo haijawahi kupitisha uchafu wowote
4)Mwanamke BIKRA anakujuwa wewe tu dunia nzima. Hamjui mwanamme mwingine, kwa hiyo ni rahisi kumuongoza. Mwanamke BIKRA amebarikiwa sana na Mungu. Huwezi kupata Magonjwa ya zinaa.

5) Mwanamke BIKRA ni mwaminifu ktk mambo ya fedha
Faida zipo nyingi.
Ukioa mwanamke ambayo sio BIKRA Mara nyingi inakuwa kinyume chake
 
Bikra unaoata kwa wale below 18yrs akiwa na 19 huyo tayari ashabanduliwa labda awe pisi mbovu pro max
 
Ungekuwa ulitoa bikra mwanamke uliemuoa(mkeo) ungekuwa na point ya kuzingatiwa ila kwakuwa kampeni yako ni uzinzi huna maana yeyote.
 
kuoa au kutokuoa mwanamke bikra siyo ishu tena karne hii mpya ya ma_YEBEBEE. wengi wenye kuumia na hili suala ni wale ambao hawajahi kumbikiri mwanamke yeyote maishani mwao. ukimtoa bikra binti hata usipomuoa, nawe ukaoa asiye nayo wala haiumi kabisa.
 
Back
Top Bottom