Tumbili wa mjini
JF-Expert Member
- Nov 2, 2024
- 1,125
- 2,233
Nimeoa BIKRA kwahiyo kama unaona unaumizwa na huu nyuzi JITAFAKARI SANAkuoa au kutokuoa mwanamke bikra siyo ishu tena karne hii mpya ya ma_YEBEBEE. wengi wenye kuumia na hili suala ni wale ambao hawajahi kumbikiri mwanamke yeyote maishani mwao. ukimtoa bikra binti hata usipomuoa, nawe ukaoa asiye nayo wala haiumi kabisa.