Ndoa hazivunjiki kwasababu ya kuoa mke bikira ila kwa kuchunguzana au kupelelezana period

Ndoa hazivunjiki kwasababu ya kuoa mke bikira ila kwa kuchunguzana au kupelelezana period

Narudia KAMA SIO BIKRA USIOE!
Kwa ninavyowafanya hawa nabaki nacheka sana kwa mafala watakao waoa, si hamsikiagi? Kama sio bikra usioe hujui amebeba siri na maovu mangapi
Hii ina ukweli mkuu. mtumba ni mtumba tu haijarishi umetoka german ama uk nk
Mke bikira ana raha yake kuoa ukijua kuwa Ally kapita sio sawa kwakweli
 
Kama kipimo chako cha ubora ni bikra basi kwa dunia ya leo utalizwa tu.

Kuna mtu ana watoto watatu na bado unamkuta na bikra. Bikra zinauzwa madukaniz shauri yako.

Wewe fanya uwafanyavyo ila kumbuka hata huyo atakaekuja kuwa mkeo nae kuna njemba zinamfirimba hivyo hivyo na bado utamkuta na bikra yake ya kununua.
 
Kama kipimo chako cha ubora ni bikra basi kwa dunia ya leo utalizwa tu.

Kuna mtu ana watoto watatu na bado unamkuta na bikra. Bikra zinauzwa madukaniz shauri yako.

Wewe fanya uwafanyavyo ila kumbuka hata huyo atakaekuja kuwa mkeo nae kuna njemba zinamfirimba hivyo hivyo na bado utamkuta na bikra yake ya kununua.
Duka gani mkuu au maneno ya kijiweni
 
Back
Top Bottom