Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu laiti bikra ingekua deal kiasi hicho, huko mitaani wanawake wasingewaacha waliowatoa bikra wakaanzisha mahusiano mengine.Mnataka kufanya mambo yawe magumu tu lakini ni suala ambalo lipo wazi kabisa. Tuachane na mambo ya kiimani hata kisaikolojia mchakato wa kutengeneza chemistry na mwanamke ambae kichwani ana flashback ya wanaume waliomtomba hauwezi kulinganisha na mwanamke ambae wewe ndie wa kwanza, na hapo inapokosekana iyo chemistry ndipo instict ya kucheat inapoanzia.
Ni sahihi, lakini katika mazingira haya ambayo wanaona ndoa sio issue unafikiri kutakuwa na motivation gani ya kuwafanya waitunze bikira kwa ajili ya kuolewa?Hawaolewi na wanaowatoa bikira kwasabau wengi huwa wanatolewa bikira na vijana ambao bado hawana uwezo wa kutunza familia, in most cases huwa ni wanafunzi wenzao pale miaka ya std 6 and 7 mpaka miaka ya olevel.
Tuwafundishe mabinti na wadogo zetu wa kike kujitunza na kuwaelekeza kwamba kijana ambae bado hawezi kujitegemea hawezi kukuoa pia, kuliko kuwapa uhuru wa kufanya ngono kwa kigezo kwamba bikira sio ishu linapokuja suala la kuolewa.
Binafsi naunga mkono hii kampeni ya kuoa bikira kwa sababu itawafanya wanawake kuwa accontable na ku-face consiquencies za maamuzi yao kotu ambacho kitaamsha fikra za kizazi kijacho cha mabinti na kutambua kwamba wanatakiwa kujitunza.
Kwa msingi wa hoja yako basi tuondoe katiba na sheria pia kila mtu aishi anavyotaka au sio? Lazima tukubali kwamba kuna watu hawawezi kujiongoza ivyo wenye huo uweze basi waweke misingi ya kuifuata. Masilahi ya ustawi wa jamii lazima yatangulizwe mbele ya masilahi na furaha ya mtu binafsi. Tumefika kwenye hatua hii ya kuwa na jamii ya ovyo ni kwa sababu ya kupuuza masuala muhimu kwenye mahusiano na ndoa.Nadhani kila mtu afanye kile kinacho mpa furaha.
Mtu akiona kuoa bikra ndo furaha yake maamuzi yake yaheshimiwe ,atakaye ona bikra sio ishu mawazo yake yaheshimiwe.
Zipo sababu nyingi sana zinazopelekea watu kuachana lakini mada umespecify hapo kwenye bikira.Mkuu laiti bikra ingekua deal kiasi hicho, huko mitaani wanawake wasingewaacha waliowatoa bikra wakaanzisha mahusiano mengine.
Ilipaswa wawavumilie hadi watakapoweza kujitegemea coz kwenu bikra ndo kigezo cha uaminifu.Hawaolewi na wanaowatoa bikira kwasabau wengi huwa wanatolewa bikira na vijana ambao bado hawana uwezo wa kutunza familia, in most cases huwa ni wanafunzi wenzao pale miaka ya std 6 and 7 mpaka miaka ya olevel.
Tuwafundishe mabinti na wadogo zetu wa kike kujitunza na kuwaelekeza kwamba kijana ambae bado hawezi kujitegemea hawezi kukuoa pia, kuliko kuwapa uhuru wa kufanya ngono kwa kigezo kwamba bikira sio ishu linapokuja suala la kuolewa.
Binafsi naunga mkono hii kampeni ya kuoa bikira kwa sababu itawafanya wanawake kuwa accountable na ku-face consequencies za maamuzi yao kotu ambacho kitaamsha fikra za kizazi kijacho cha mabinti na kutambua kwamba wanatakiwa kujitunza.
Masuala ya kupuuza mambo muhimu kwenye mahusiano na ndoa ikiwemo hicho kipengele cha bikira ndio yametufikisha hapa, kwamba vijana wanaona ndoa sio ishu tena.Ni sahihi, lakini katika mazingira haya ambayo wanaona ndoa sio issue unafikiri kutakuwa na motivation gani ya kuwafanya waitunze bikira kwa ajili ya kuolewa?
Binti wa primary au oleve hawezi kuwa na mawazo hayo so as men it's our responsibility to lead them and hold them accountable.Ilipaswa wawavumilie hadi watakapoweza kujitegemea coz kwenu bikra ndo kigezo cha uaminifu.
Mnakosea kuongelea kiujumla. Hata tunaotetea dhana ya kuoa bikira tunakubali kwamba kuna masuala mengine muhimu ya kuangalia mfano tabia, magonjwa ya kirithi n.k lakini mada imespecify hapo kwenye bikira.Kinachofanya ndoa ivunjike ni uaminifu,na tabia za mwanamke katika ndoa yenyewe basi, hayo ya bikra hayahusiani kabisa wazee walioa bikra lakin tabia za wake zao ziliwashinda wakawapa talaka.
Ndio maana wakaimba uzuri wa mwanamke sio urembooo ni tabiaaa, hawakuimba uzuri wa mwanamke ni bikiraaaa kwa sababu zamani suala la bikira lilikuwa sio issue mabikira walikuwepo wa kumwaga shida iko kwenye tabia, utaona mwanamke bikra lakini ni mchawi, mchafu, ana matusi hiyo ndoa itadumu???
Nadhani umeandika mada hii bila kuelewa msingi wa hoja ya bikira. Umekuja na uamuzi ambao wala sio suluhu ya kuvunjika kwa ndoa zaidi ya nadharia.Huu uzi naundika mahususi kwa kwasababu ya mdau mmoja ambaye anatupigia sana makelele hapa jukwaani kuhusiana na mwanamke bikira,kwa mtazamo wake anaona mwanamke bikira ndio sababu ya utengamano wa ndoa kitu ambacho si kweli kwa asilimia mia moja
Kwanza ieleweke sio kwamba hatupendi wanawake wajitunze mpaka siku ya ndoa laa! Tunapenda sana na kila mzazi angependa mabinti zake waolewe katika hali hiyo na hii inawezekana kama jamii ikiweka sana mkazo katika elimu ya dini na mila na desturi zikilindwa.
Mfano Lesotho sasa hivi kila mwaka wanafanya sherehe za kuwatunuku vyeti mabinti ambao wako bikira ambao wametimiza miaka 25,wanapimwa na kupewa vyeti rasmi,kwahiyo kumbe haya yakifanywa katika jamii inawezekana kabisa
Sasa tuje upande wa pili wa shilingi,kuoa mwanamke bikra hakukupi asilimia mia moja kwamba huyo mwenza wako atakuwa mwaminifu kwa asilimia mia,na hii ni kutokana na mfumo wa maisha ambao tunao sasa,hii sayansi na tekinolojia imekuja na faida na hasara zake
Vishawishi ni vingi mno huko mitandaoni,mambo ya chumbani sasa hivi yapo mitandaoni kwahiyo watu hupenda kujaribu mambo mapya,kwahiyo hata huyo bikira wako nae hajapona juu ya hili,maana naye anashawishiwa kula muogo wa shamba moja kila siku huchoki ebu jaribu bwana muhogo wa jang'ombe,je hapo hajaliwa?
Huko nyuma sio kwamba mababu zetu pamoja na kuoa mabikira sio kwamba hawaja chapiwa laa! Ila hakukuwa na nyenzo za kuchunguzana na kukamatana haraka kwakuwa mpaka umjue mgoni wako basi ufanye kazi kweli
Istoshe wazee wetu walijua haya mambo yapo lkn walijitahidi kadri ya uwezo wao kuepusha ndoa kuvunjika,wazee wakirudi nyumbani kutoka safari,basi hawaendi makwao moja kwa moja ila watatuma mtoto wa jirani apeleke koti nyumbani ikiwa na ishara kwamba amerudi,hivyo kama hapo kwake kuna sintofaahamu yoyote basi asiikute,naam ndio maana waliishi kwa amani na starehe
Sisi karne hii hizi simu ndio mvunjaji wa kwanza wa ndoa zetu,siku hizi tunafumaniana kupitia meseji,halafu cha ajabu eti meseji ndio inavunja ndoa,hivi tupo serious kweli? Yaan umetumia gharama kubwa kuoa,kumchagua mchumba,kumhudumia halafu siku moja tu inaingia meseji halafu ndoa inakuwa hakuna tena,ni aibu kubwa
Hivi kama tukiacha kuchunguzana katika simu unafikiri ndoa hazitadumu? Kwa maono yangu kuna sababu nyingi sana za watu kuchepuka,ukosefu wa mapenzi,kutopeana mda kumfanya mwenzio kuwa mpweke na hakuna kitu kibaya kama kuwa mpweke katika ndoa,kutokuwepo kwa maelewano na ugomvi kila mara,kutopeana haki ya tendo la ndoa na mambo kadha wa kadha
Kwahiyo tusijidanganye kuchepuka kutakuwepo tu iwe umeoa bikra au sio bikra,na bikra mzuri ni yule ambaye amejitunza mpaka ndoa,kama ulimtoa bikra kabla ya ndoa wala usijisifu kwakuwa sio mcha mungu,ni mcha mungu pekee ndio ana nafasi kubwa ya kutochepuka kwakuwa ana hofu ya Mungu,lakini bikra yake sio dhamana ya uaminifu wake,ingawa kidogo ana uhafadhali
Ukitaka kudumu katika ndoa mheshimiane yaani msitengenezeane mazingira ya kuwa na mashaka,muaminiane hiyo ndio silaha kubwa sana,mkiaminiana hata kuwekeana soft ware za kuchunguzana hamtafanya,ila mkitaka kuachana fasta endekezini kupekuana simu zenu na kuwekeana hizo soft ware zenu nipo pale nawazoom mtaendelea kulialia mpaka kiama
Ni hayo tu!
kubakwa ni suala jingine ambalo ni jinai lina namna zake za kushughulikiwa kisheria, infact it rare issue, tukikusanya non-virgin women 1000 nina uhakika waliopoteza bikira zao kwa kubakwa hawawezi kufika hata watano, there is exception in everything but exceptionality don't count when we make rules.Je kama binti alibakwa inamaana asiolewe kwa sababu alibakwa? Hoja yako ni muflisi. Angalia angle zote katika maisha. Kuna mambo yanatokea Involuntary/Voluntary!! Hivyo basi unataka kusema Mabinti yaliowakuta wasiolewe wakati wanaosababisha hayo ni sisi wanaume wenyewe!!
Tumewashtukia ndio maana tumeamua kuji-adjust kitalaamu kwenye mfumo. Ushawahi kusikia habari ya hakimi na mtalaka wake, fikiria kama mshkaji asingekaa kitaalamu nini kingemkuta?The red pill men. Sio wanaume kweli, wapo busy kushindana na wanawake. Wanajidai wanaume wa shoka wakidai wanataka wanawake wenye haiba ya kike wakati hawapo yaani they don't have what it takes kuishi na mwanamke wa aina hiyo
Hoja zenu ni soft kama lossion, huwa mnaluka luka mwishoe mnaishia hapo kwenye suala la ushoga mkifikiri iyo ndio defensive machenism ya kututoa kwenye mstar. Leta hoja ambayo inachoma kama tindikali hata mtu akiisoma anajua hii hoja imetoka kwenye kichwa cha motoTunapoelekea ni kubaya zaidi, inaonekana wengi kwa kukimbia majukumu yao watakuwa tayari watimiziwe wao badala ya wao wayatimize kwa wanawake!!
Baba yake Hakimi angefanya kazi nzuri, asingefika huko na mkewe. Na pia, ukishakuwa na status ni muhimu kujua na kuangalia nani wakuwa mama wa watoto wako, maana kuzaa tu sio shida. Malezi ni muhimu.Tumewashtukia ndio maana tumeamua kuji-adjust kitalaamu kwenye mfumo. Ushawahi kusikia habari ya hakimi na mtalaka wake, fikiria kama mshkaji asingekaa kitaalamu nini kingemkuta?
Sasa hivi kuna kesi ya mchezaji wa man city anaotwa walker, mkewe anataka talaka na kupewa nusu ya mali za walker kwa sababu walker alimcheat na kuzaa na mwanamke mwingine nje ya ndoa.
I don't support cheating but wherever the reason is, losing half pf your wealth to a woman who added nothing just in account of marriage that's not fair.
Let switch sides, is she is the one cheated on her husband will the law hold her accountable in this way?
Tunapoongelea haya masuala muwe mnakuja na hoja nzito sio hizi personal attacks na mizuka tu.
Hakika, Hii tuiite meninism.kuna harakati inasambaa sana mitandaoni siku hizi, inaitwa red pill
ni mambo ya wazungu wazungu
vijana wa kiume wanafundiahwa kuchukia wanawake, wanashawishiwa kwamba chanzo kikubwa cha matatizo yao ni wanawake
tuseme ni kama feminism, lakini kwa wanaume
sasa vijana wengi wanatizama haya maudhui kwenye simu janja zao
nadhani ndo chanzo cha kero unayoizungumzia vijana humu kuwa walalamishi sana