Ndoa hazivunjiki kwasababu ya kuoa mke bikira ila kwa kuchunguzana au kupelelezana period

Ndoa hazivunjiki kwasababu ya kuoa mke bikira ila kwa kuchunguzana au kupelelezana period

kubakwa ni suala jingine ambalo ni jinai lina namna zake za kushughulikiwa kisheria, infact it rare issue, tukikusanya non-virgin women 1000 nina uhakika waliopoteza bikira zao kwa kubakwa hawawezi kufika hata watano, there is exception in everything but exceptionality don't count when we make rules.

Thamani ya mwanaume ni mali na thamani ya mwanamke ni mwili wake. Upande wa wanawake kwenye suala la kuolewa kigezo wanachoangalia ni uwezo wa kifedha wa mwanaume, they are determined and ruthless, they don't settle for less. Lakini wanaume mmekubali kushusha standards zenu na kuoa makahaba wastaafu mkidanganywa watu wanabadili, past doesn't matter na blah blah zingine.

Huwa nasikitika sana nikiona tupo kwenye kizazi cha vijana wa kiume kama wewe ambao mmezidiwa akili na wanawake
Waweza kudhani uliyoandika yana ukweli kumbe pumba tupu, So kwahiyo mwanamke ndoa ni ajira kwake?!
Kwasisi waislamu tuna vigezo vinne kwa mwanamke kuolewa, mengine yote ni pumba tupu!
 
Ni ujinga kumkuta mwanaume mwenye kende zake mbili kama mimi kushadadia wanawake waolewe wakiwa bikira wakati yeye ndio huyo anaechangia kwenye kuzitoa bikira za watoto wa watu na anaowatoa hawaoi, au anategemea waolewe na nani!!
 
Waweza kudhani uliyoandika yana ukweli kumbe pumba tupu, So kwahiyo mwanamke ndoa ni ajira kwake?!
Kwasisi waislamu tuna vigezo vinne kwa mwanamke kuolewa, mengine yote ni pumba tupu!
Akili zenu zishakuwa brainwashed na izo dini na blah blah nyingine mnashindwa kuyaona mambo kayika uhalisia.

Sasa ndoa sio ajira kwa mwanamke? Kasome sheria ya ndoa halafu uje hapa kuangalia ujinga ulioandika
 
Boss hawa wanazingua sana ujue,kuna vibinti maskini kutokana na kazi ngumu bikra zinatoka,wengine kama hivyo kubakwa kama ulivyosema hlf wanatokea wapuuzi fulani wanavunja heshima ya hawa viumbe
Wako bikra bikra akisha Jua TikTok basii mzoa taka wake 🤣.........Tena Kuna mwingine Ali ulizaga mhhh mjue mm sija wahi kukojozwa watu weee ehee Yan mm na Mme nyenyeee awee akutane na kijana wa hovyo asquit kama ata mthamini uyo boya mpenda bikra
 
Huu uzi naundika mahususi kwa kwasababu ya mdau mmoja ambaye anatupigia sana makelele hapa jukwaani kuhusiana na mwanamke bikira,kwa mtazamo wake anaona mwanamke bikira ndio sababu ya utengamano wa ndoa kitu ambacho si kweli kwa asilimia mia moja

Kwanza ieleweke sio kwamba hatupendi wanawake wajitunze mpaka siku ya ndoa laa! Tunapenda sana na kila mzazi angependa mabinti zake waolewe katika hali hiyo na hii inawezekana kama jamii ikiweka sana mkazo katika elimu ya dini na mila na desturi zikilindwa.

Mfano Lesotho sasa hivi kila mwaka wanafanya sherehe za kuwatunuku vyeti mabinti ambao wako bikira ambao wametimiza miaka 25,wanapimwa na kupewa vyeti rasmi,kwahiyo kumbe haya yakifanywa katika jamii inawezekana kabisa

Sasa tuje upande wa pili wa shilingi,kuoa mwanamke bikra hakukupi asilimia mia moja kwamba huyo mwenza wako atakuwa mwaminifu kwa asilimia mia,na hii ni kutokana na mfumo wa maisha ambao tunao sasa,hii sayansi na tekinolojia imekuja na faida na hasara zake

Vishawishi ni vingi mno huko mitandaoni,mambo ya chumbani sasa hivi yapo mitandaoni kwahiyo watu hupenda kujaribu mambo mapya,kwahiyo hata huyo bikira wako nae hajapona juu ya hili,maana naye anashawishiwa kula muogo wa shamba moja kila siku huchoki ebu jaribu bwana muhogo wa jang'ombe,je hapo hajaliwa?

Huko nyuma sio kwamba mababu zetu pamoja na kuoa mabikira sio kwamba hawaja chapiwa laa! Ila hakukuwa na nyenzo za kuchunguzana na kukamatana haraka kwakuwa mpaka umjue mgoni wako basi ufanye kazi kweli

Istoshe wazee wetu walijua haya mambo yapo lkn walijitahidi kadri ya uwezo wao kuepusha ndoa kuvunjika,wazee wakirudi nyumbani kutoka safari,basi hawaendi makwao moja kwa moja ila watatuma mtoto wa jirani apeleke koti nyumbani ikiwa na ishara kwamba amerudi,hivyo kama hapo kwake kuna sintofaahamu yoyote basi asiikute,naam ndio maana waliishi kwa amani na starehe

Sisi karne hii hizi simu ndio mvunjaji wa kwanza wa ndoa zetu,siku hizi tunafumaniana kupitia meseji,halafu cha ajabu eti meseji ndio inavunja ndoa,hivi tupo serious kweli? Yaan umetumia gharama kubwa kuoa,kumchagua mchumba,kumhudumia halafu siku moja tu inaingia meseji halafu ndoa inakuwa hakuna tena,ni aibu kubwa

Hivi kama tukiacha kuchunguzana katika simu unafikiri ndoa hazitadumu? Kwa maono yangu kuna sababu nyingi sana za watu kuchepuka,ukosefu wa mapenzi,kutopeana mda kumfanya mwenzio kuwa mpweke na hakuna kitu kibaya kama kuwa mpweke katika ndoa,kutokuwepo kwa maelewano na ugomvi kila mara,kutopeana haki ya tendo la ndoa na mambo kadha wa kadha

Kwahiyo tusijidanganye kuchepuka kutakuwepo tu iwe umeoa bikra au sio bikra,na bikra mzuri ni yule ambaye amejitunza mpaka ndoa,kama ulimtoa bikra kabla ya ndoa wala usijisifu kwakuwa sio mcha mungu,ni mcha mungu pekee ndio ana nafasi kubwa ya kutochepuka kwakuwa ana hofu ya Mungu,lakini bikra yake sio dhamana ya uaminifu wake,ingawa kidogo ana uhafadhali

Ukitaka kudumu katika ndoa mheshimiane yaani msitengenezeane mazingira ya kuwa na mashaka,muaminiane hiyo ndio silaha kubwa sana,mkiaminiana hata kuwekeana soft ware za kuchunguzana hamtafanya,ila mkitaka kuachana fasta endekezini kupekuana simu zenu na kuwekeana hizo soft ware zenu nipo pale nawazoom mtaendelea kulialia mpaka kiama

Ni hayo tu!
Kwa karne ya sasa, Kosa mwanamme atakalo lifanya ni kutokumchunguza mkewe.

Tyrese angekuwa na spy app, asingelizwa kiasi kile.

Wanaobambikizwa watoto, wasingelea watoto wasio wao mpaka wanakua wakubwa.

Wanaume wengi wanauliwa na wake zao kwa sababu wanawaamini sana na hawataki kuwachunguza.

Mwanamke anapaswa kuwa purity na genuine 100% ili awe mwandani wako.

Siyo mke ambaye ukiondoka anakuita fala, akikaa na marafiki/ma ex zake wa kiume anasema yako yote.

Kijana acha uzembe, kama una uwezo mchunguze huyo unayemuita mke wako uone kama sio adui wako namba 1.

Mazungumzo 80% ya mwanamke yapo kwenye simu, fanya chini juu dukua simu yake ujue anawasilianaje.

Jiulize, Nchi ina jeshi kubwa ila ni kwa nini kuna usalama wa taifa?
 
Ukimchunguza mtu uwe una uhakika unataka kumuacha sio kumchunguza alafu ukipata ulichokitafuta unaanza kulalamika
Boss umeongea point muhimu sana tena sana,na hilo wachunguzaji wengi hawajiandaa kwa hilo,unapoamua kumfuatilia mtu ina maana ukimkuta na.mapungufu unamalizana naye mazima kinyume na hapo ni majuto na mateso tu
Wasione watu ambao hawachunguzi wenza wao ni wajinga hawataki kujua mambo ambayo yatawaumiza na angali wanashindwa kufanya maamuzi magumu
 
Thamani ya mwanaume na thamani ya mwanamke inapimwa kwa vigezo tofauti. Thamani ya mwanaume ni mali na thamani ya mwanamke ni mwili wake.

Tangu enzi na enzi suala la body counts sio ishu kwa mwanaume lakini upande wa mwanamke ni tatizo kubwa sana kwenye mchakato wa kuolewa. Hivyo hivyo suala la umasikini sio ishu kwa mwanamke lakini upande wa mwanaume ni jambo linalozingatiwa sana linapokuja suala la kuoa.

Kimila na kidini mwanamke ambae sio bikira wakati hajaolewa anatambulika kama malaya. Katika dini imeamliwa mwanamke uyo apigwe mawe mpaka kufa na kimila mwanamke uyo haolewi na anatengwa na jamii.

Tatizo tupo katika kizazi cha vijana masimp kama wewe ambao mmezidiwa akili na wanawake. Mmekubali kuzishusha standards zenu mbele ya wanawake.
Ungebold haya maandishi mkuu.
 
Upo sahih mkuu, mi hujiuliza kama bikra ndo hudumisha mahusiano why wanawake hawadumu na wanaowatoa bikra?
Kiukweli kabisa ubikra hausiani kabisa na kudumu kwa ndoa hizi ni kasumba ambazo tumejiwekea

Kama unavyosema ingekuwa bikra ni dili basi hakika tungeona tofauti kubwa kati ya ndoa zenye bikra na wasio na bikra,lkn wote wanateseka tu
 
Mnataka kufanya mambo yawe magumu tu lakini ni suala ambalo lipo wazi kabisa. Tuachane na mambo ya kiimani hata kisaikolojia mchakato wa kutengeneza chemistry na mwanamke ambae kichwani ana flashback ya wanaume waliomtomba hauwezi kulinganisha na mwanamke ambae wewe ndie wa kwanza, na hapo inapokosekana iyo chemistry ndipo instict ya kucheat inapoanzia.
Binafsi napinga kuwa chemistry kwamba inasababishwa na ubikra hapana,chemistry ni zile hisia ambazo unazipata ama kwa urembo wa binti au ni namna gani mnashea mambo yenu pamoja kwa maana mnaendana

Tena naweza sema chemistry si uzur bali ni tabia na jinsi mnavyoelewana,unajua mwonekano ni first impression na haizidi miezi mitatu yani hapo unakuwa umemzoea mtu wako,we hukuwahi ona mtu ana dem mkali lkn bado anazuzuka na pisi nyingine? Yule ashamzoea hana jipya tena

Sasa chenye kudumu kwenye mapenzi ni tabia na mwenendo mwema,kama dem anakuheshimu,anakusikiliza anakujali na kuappreciate hata vitu vidogo umavyomfanyia lazima bond au chemistry itakuwepo tu

Kwahiyo bikra haina dili hapo zaidi ya kujiliwaza tu umempata dem ambaye hajaguswa
 
Kinachofanya ndoa ivunjike ni uaminifu,na tabia za mwanamke katika ndoa yenyewe basi, hayo ya bikra hayahusiani kabisa wazee walioa bikra lakin tabia za wake zao ziliwashinda wakawapa talaka.

Ndio maana wakaimba uzuri wa mwanamke sio urembooo ni tabiaaa, hawakuimba uzuri wa mwanamke ni bikiraaaa kwa sababu zamani suala la bikira lilikuwa sio issue mabikira walikuwepo wa kumwaga shida iko kwenye tabia, utaona mwanamke bikra lakini ni mchawi, mchafu, ana matusi hiyo ndoa itadumu???
Asante sana boss
 
Ni sahihi, lakini katika mazingira haya ambayo wanaona ndoa sio issue unafikiri kutakuwa na motivation gani ya kuwafanya waitunze bikira kwa ajili ya kuolewa?
Na wanasahau kila siku vijana wa hovyo wanapiga kampeni ya kataa ndoa
 
Nadhani umeandika mada hii bila kuelewa msingi wa hoja ya bikira. Umekuja na uamuzi ambao wala sio suluhu ya kuvunjika kwa ndoa zaidi ya nadharia.

MASWALI KWAKO:
1. Kati ya mwanamke bikra na yule anayefyatuliwa hovyo ni yupi ambaye ebeba sifa ya kuhimili vishawishi?

2. Unadhani kati ya mwanamke bikra na huyo unayemlilia wewe anayefukunyuliwa kila kukicha nibyupi ambaye anakutengenezea mazingira ya KUHESHIMIANA NA KUTOTILIANA SHAKA? Yaani uoe mwanamke aliyekuwa na maboyfriend wake (ma-ex) halafu akutengenezee mazingira ya kumwamini? Unaelewa maana yake? Ajitahidi kuficha usijue kama jamaa wanapasha kiporo!! Hata wewe mwenyewe huwezi kamwe kuwa na imani naye pale hao jamaawawapo naye kwenye mazingira ya pamoja.

Jaribu kufungua uelewa wako:
1. Katika zama hizi za uzinzi mkubwa, binti kudumu na bikra yake mpaka kuolewa ni sifa kuu. Siku ukielewa hilo utafuta huu uzi wako.

2. Mke aliyeolewa bikira kubadilika ni jambo la kawaida kulingana na mazingira yake. Uoemke bikra halafu umpe mtaji wa kwenda China kufuata high copy, unatarajia nini? Mke ana mashosti makahaba nawe hujali, unatakaje? Mke kila ukirudi ni masimago, manyanyaso, vipigo unadhani atakupenda?

3. Mke kudumu kwenye ndoa sio tu kuwa na bikira bali hiyo ni dalili kubwa. Kama wewe mwenyewe huna sifa za mume bora utawezaje kuishi na mkeo kwa amani?

4. HESHIMA ya mke kwa mumewe ni KUTOCHAPWA NJE!! Sasa wewe unaanza na mwanamke ambaye wahuni mtaani wakikuona naye wanajigamba wamechapa sana tu, wanajua uwezo wake kitandani. Afu unajidai mnaheshimiana? Lakini heshima ya mume kwa mkewe ni kumpa matunzo anayostahili. Na huo ndio upendo wa kweli.
Sasa andiko lako naona kwa asilimia kubwa limeunga mkono kwamba bikira sio kila kitu katika ndoa kwa maana inahitajika uaminifu,maelewano na uvumilivu

Hayo ndio maswala ambayo mimi nimeyazungumzia na kukataa eti ukioa bikra ndio umeyapatia

Nakubaliana na wewe kwa asilimia fulani kwamba bikra anaweza kukuaminisha kuwa anastahili kuaminiwa au atakupa utulivu lkn ni kwa asilimia chache kutokana na mazingira tulinayo sasa hivi

Kuna namna moja tu ambayo naweza sema uislamu umefanikiwa kama ukifuatwa inavyotakiwa,katika uislamu mwanamke hatakiwi kwenda mahali popote bila maharimu wake,ina maanisha mtu wa karibu wa familia yake,iwe safar ndogo ndogo au safar ndefu,hapa kwa asilimia kubwa utakuwa umemdhibiti mke,lkn nje ya hapo omba tu awe mcha mungu
 
Upumbavu mtupu.
Ushauri mwingi unaohisu hao mabikra.
Mara mwanamke uliyemtoa bikra hawezi kukusahau popote ulipo hata kama ameolewa na mwanaume mwingine.

Ni ujinga mtupu!
Kwani wewe mwanaume umemsahau mwanamke wako wa kwanza katika maisha yako kujamiana naye?

Kwa umri wetu hiyo kitu ilikuwa sio sifa kama sasa.
Mabikra walikuwa wanatolewa huko mashambani au huko mitoni kama utani.
Na hauwezi kuoa wote uliowatoa.
Lakini pia waliotolewa hiyo bikla wakiolewa na mabwana wengine walikuwa wanatulia na ndoa zao.
Tena hakuna hoja ya kipumbavu kama hiyo ya kusema mwanamke uliyemtoa bikra eti hawezi kukusahau kamwe so what?

Mimi mwenyewe mpaka leo namkumbuka my first love aliyenifanya nihisi maji yanatoka mgongoni kwa mara ya kwanza na yanashuka chini mpaka nikamwaga so what,kila mtu a aendelea na maisha yake

Yaani hoja za kipuuzi kweli
 
Alhamdulillah, dada zangu wote walishaolewa, wa mwisho aliolewa 2004 na mimi mwenyewe nilioa 2014. Do you have anything in addition?

Huyo dogo ana ujinga fulani wa kuona yeye hana jukumu la kujitunza na kukemea uzinzi na kwamba kuwachezea Wanawake ambao sio bikra ni sawa.

Sasa anashindwa kujua ya kuwa Dunia ina nidhamu yake, Dunia haipendi wajinga na wazembe ukiwa mjinga utalipwa ujinga. Huyo dogo asahau kupata mwanamke mwema sababu yeye si mwema. Huwezi kupata kizuri hali ya kuwa wewe sio mzuri na huna sifa njema.

Niliwahi kumwambia ili harakati zake ziwe Zina maana muda ambao anawaambia wenzake wasiwahudumie Wanawake ambao si mabikra na kuwaita Malaya nguvu hiyo hiyo angeitumia kuwaambia wenzake wasiwachezee Wanawake hao.

Sasa huyo dogo hajui hata uhalisia ni nini.
 
Back
Top Bottom