Kwa karne ya sasa, Kosa mwanamme atakalo lifanya ni kutokumchunguza mkewe.
Tyrese angekuwa na spy app, asingelizwa kiasi kile.
Wanaobambikizwa watoto, wasingelea watoto wasio wao mpaka wanakua wakubwa.
Wanaume wengi wanauliwa na wake zao kwa sababu wanawaamini sana na hawataki kuwachunguza.
Mwanamke anapaswa kuwa purity na genuine 100% ili awe mwandani wako.
Siyo mke ambaye ukiondoka anakuita fala, akikaa na marafiki/ma ex zake wa kiume anasema yako yote.
Kijana acha uzembe, kama una uwezo mchunguze huyo unayemuita mke wako uone kama sio adui wako namba 1.
Mazungumzo 80% ya mwanamke yapo kwenye simu, fanya chini juu dukua simu yake ujue anawasilianaje.
Jiulize, Nchi ina jeshi kubwa ila ni kwa nini kuna usalama wa taifa?