Ndoa ilikufa kutokana na sababu hii

Ndoa ilikufa kutokana na sababu hii

Mkuu....
Sasa kama mavijana ya skuizi yamabatizwa kwa moto wa ndoa ni ujambazi, saitakuaje...[emoji849]
Ndugu mjumbe raia hawataki ndoa kampeni kataa ndoa inapata wanachama wapya kila kukicha sijui itakuaje mjumbe.
 
Utakuja kuambiwa dini ya uislamu inakandamiza wanawake 😂😂😂.
Ngoja waje wanaovaa uchi .!!
Mbona wanaovaa nguo za majini nao wanaachana kila siku?
Nimeshuhudia ndoa za wavaa kobazi 3 zimevunjika na wengine walikuwa wanapigana ngumi.
Itabidi ukaishi mjini wa majini kama Afghanistan.
 
Mbona wanaovaa nguo za majini nao wanaachana kila siku?
Nimeshuhudia ndoa za wavaa kobazi 3 zimevunjika na wengine walikuwa wanapigana ngumi.
Itabidi ukaishi mjini wa majini kama Afghanistan.
🤣🤣Unatumia hasirq za nn?
Majini yapi tena hayo mbona nyie hamuamini majini ..

Mengi yalimshinda akao tena 🤣🤣, mahakamani zile kesi 90% ni wakristo na ndio zinatoq ripot maana waislam wanavunja ndoa kwa mashekhe.

Hapo mtaani kwako sio kweli ni uongo ... Angalia yule muimba kwaya wetu kaolewa kama mara 3 wapi ,Nakaaya huyo kateseka mpaka kaachana na ndoa ...Lady jaydee aliachana na ndoa ....Nikutajie wangapi hapa kwetu ni wakristo watupu wametengana .🤣

.
 
🤣🤣Unatumia hasirq za nn?
Majini yapi tena hayo mbona nyie hamuamini majini ..

Mengi yalimshinda akao tena 🤣🤣, mahakamani zile kesi 90% ni wakristo na ndio zinatoq ripot maana waislam wanavunja ndoa kwa mashekhe.

Hapo mtaani kwako sio kweli ni uongo ... Angalia yule muimba kwaya wetu kaolewa kama mara 3 wapi ,Nakaaya huyo kateseka mpaka kaachana na ndoa ...Lady jaydee aliachana na ndoa ....Nikutajie wangapi hapa kwetu ni wakristo watupu wametengana .🤣
Kutokana dini ya waislamu kuwa na migogoro mingi wakaanzisha mahakama ya kadhi. Kwanini wasiwe wanamuomba Allah tu mpaka wakaanzisha mahakama ya kadhi?
Unamuona Nakaya na Jay dee tu? Wapo wengi
Mbona hapa wavaa kobazi wengi tu wanaachana licha ya kuvaa mavazi ya majini.
Diamond na Alikiba ndoa zimewashinda licha ya kuimba mapenzi na kujenga msikiti. Mpe salamu Dr. Mwaka na Manara
Zuchu anavaa nguo za nusu uchi. Naye siyo mvaa kobazi?
Shida yenu nyie wavaa kobazi huwa mnajiona nyie ni wema sana kuliko watu wengine.
Ukienda Libya, kuna misikiti mingi sana, wanavaa nguo za majini, salamu ya majini muda wote na karibia wote ni waislamu kwa 99% ila walichinjana kama kuku mpaka Gadhafi walimuua kwa kumburuza kwenye lami halafu baada ya hapo wanaingia msikitini kuswali
Mpe salamu mvaa kobazi mwenzako, mume wa zamaradi. Waislamu ndiyo wanaongoza kwa wasomi kama mume wa zamaradi. Karibu kwenye ulisi wa zamaladi😁😁
 
Sina maneno mengi sana leo ila wacha niwape ukweli kuhusu kufa kwa ndoa na sababu iliyo sababisha.
  • Pale tu walipo ruhusu mwanamke atafute pesa kwa udi na uvumba kama mwanaume ndipo ndoa ilikufa mazima.
  • Pale tu walipo ruhusu usawa wa kijinsia ndipo ndoa ilijifia.
  • Pale tu waliopo ruhusu mwanamke asome kwa level ya juu sana ndipo ndoa ilijifia.
  • Pale tu walipo ruhusu mwanaume atoke na mwanamke atoke kwenda kwenye mahangaiko na kuacha mfanyakazi ndipo ndoa ilijifia.
Mwisho: Siku hizi hakuna ndoa ila kuna maigizo ya baba na mama, mume na mke.
HII KWA WAPUMBAVU HAWATA KUELEWA;
1.WATAKUAMBIA WEWE NI MTETEZI WA MFUMO DUME(MFUMO WA KUTESA, KUNYANAYASA NA KUKANDAMIZA WANAWAKE!)
2.WANASHINDWA KUJUA MFUMO JIKE/MFUMO WA USAWA NI MFUMO ULIO UA MGAWANYO WA MAJUKUMU WA ASILI. KWAMBA MWANAUME ATAFUTE KWA JASHO NA KUTUNZA FAMILIA. MWANAMKE ALEE WATOTO NA FAMILIA
3.KWA SASA MALEZI YA WATOTO YANAFANYWA NA MTU WA TATU(NDUGU, MAJIRANI NA WASICHANA WA KAZI AU WALIMU YA DAY CARE).
4.MWANAMKE KUWA MBALI NA MALEZI YA WATOTO NA FAMILIA YAKE, NDIO SABABU KUU YA UJIO NA KUSAMBAA KWA MASHOGA. KWAMBA MASHOGA NI MATOKEO MAZURI YA HAKI SAWA, USAWA WA JINSIA NA HARAKATI ZA KUETETEA MWANAMKE.

WENYE AKILI WANAELEWA KWAMBA:
1. ADUI WA KWANZA SIO MWANAUME, WALA MFUMO DUME BALI MALEZI NA MAKUZI YA HUYO MTOTO/WATOTO.
JE MTOTO UNAYEMLEA MWENYEWE ANAWEZA KUWA MUME/BABA BORA BAADAYE? JE MTOTO ANAYELELEWA NA MISCHANA WA KAZI ANAWEZAJE KUJA KUWA MWENZA BORA KWENYE NDOA?
2.ADUI WA PILI NI KUKOSEKANA KWA UWIANO WA HIZI JINSIA. KATI YA WATU 10 WAWILI WANAUME NANE WANAWAKE! BADALA YA KUJIKITA KWENYE PROGRAM ZA KUHAMASISHA UZAZI WA WATOTO WA KIUME. WATU TUKO BIZE NA KUPINGA MFUMO DUME!
 
Ndugu mjumbe raia hawataki ndoa kampeni kataa ndoa inapata wanachama wapya kila kukicha sijui itakuaje mjumbe.
Mheshimiwa mjumbe....
Kwanza minaona bora waendelee kukataa ndoa, maana hata vumbi walilokua wanategemea halipatikani tena..🤣
 
Back
Top Bottom