Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Kwakweli mimi siwezi kukataa ndoa,, labda dronedrake anaweza akakubaliana na weweKataa ndoa....🤗
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli mimi siwezi kukataa ndoa,, labda dronedrake anaweza akakubaliana na weweKataa ndoa....🤗
hahahaha, noma sanaKwakweli mimi siwezi kukataa ndoa,, labda dronedrake anaweza akakubaliana na wewe
Kuna mambo hayawezi kubadilika, mtoto wa kike wa sasa si kama wa zamani.Duh! Aisee 🤔
Mumbe we si mwanandoa [emoji41]Kataa ndoa....[emoji847]
Mkuu....Mumbe we si mwanandoa [emoji41]
Mkuu....
Sasa kama mavijana ya skuizi yamabatizwa kwa moto wa ndoa ni ujambazi, saitakuaje...🙄
Utapeli wa kiwango kikubwa.Nasikia wanasema ndoa ni Utapeli .
Ndugu mjumbe raia hawataki ndoa kampeni kataa ndoa inapata wanachama wapya kila kukicha sijui itakuaje mjumbe.Mkuu....
Sasa kama mavijana ya skuizi yamabatizwa kwa moto wa ndoa ni ujambazi, saitakuaje...[emoji849]
Mbona wanaovaa nguo za majini nao wanaachana kila siku?Utakuja kuambiwa dini ya uislamu inakandamiza wanawake 😂😂😂.
Ngoja waje wanaovaa uchi .!!
🤣🤣Unatumia hasirq za nn?Mbona wanaovaa nguo za majini nao wanaachana kila siku?
Nimeshuhudia ndoa za wavaa kobazi 3 zimevunjika na wengine walikuwa wanapigana ngumi.
Itabidi ukaishi mjini wa majini kama Afghanistan.
Kutokana dini ya waislamu kuwa na migogoro mingi wakaanzisha mahakama ya kadhi. Kwanini wasiwe wanamuomba Allah tu mpaka wakaanzisha mahakama ya kadhi?🤣🤣Unatumia hasirq za nn?
Majini yapi tena hayo mbona nyie hamuamini majini ..
Mengi yalimshinda akao tena 🤣🤣, mahakamani zile kesi 90% ni wakristo na ndio zinatoq ripot maana waislam wanavunja ndoa kwa mashekhe.
Hapo mtaani kwako sio kweli ni uongo ... Angalia yule muimba kwaya wetu kaolewa kama mara 3 wapi ,Nakaaya huyo kateseka mpaka kaachana na ndoa ...Lady jaydee aliachana na ndoa ....Nikutajie wangapi hapa kwetu ni wakristo watupu wametengana .🤣
Acha uhuni 😂😂 wambie ukweli/uhalisiaMm skuizi madogo wakinijia niwape ushauri wa Ndoa nawaambia tu "marriage is beautiful thing",Ili waingie wapigwe na vitu vizito waache kiherehere.
HII KWA WAPUMBAVU HAWATA KUELEWA;Sina maneno mengi sana leo ila wacha niwape ukweli kuhusu kufa kwa ndoa na sababu iliyo sababisha.
Mwisho: Siku hizi hakuna ndoa ila kuna maigizo ya baba na mama, mume na mke.
- Pale tu walipo ruhusu mwanamke atafute pesa kwa udi na uvumba kama mwanaume ndipo ndoa ilikufa mazima.
- Pale tu walipo ruhusu usawa wa kijinsia ndipo ndoa ilijifia.
- Pale tu waliopo ruhusu mwanamke asome kwa level ya juu sana ndipo ndoa ilijifia.
- Pale tu walipo ruhusu mwanaume atoke na mwanamke atoke kwenda kwenye mahangaiko na kuacha mfanyakazi ndipo ndoa ilijifia.
Mheshimiwa mjumbe....Ndugu mjumbe raia hawataki ndoa kampeni kataa ndoa inapata wanachama wapya kila kukicha sijui itakuaje mjumbe.