The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 880
- 1,985
- Thread starter
-
- #61
Sasa wazazi unafikiri wataelewa hii mambo ya Atheist, wazee wa miaka 50 iliyo pitaWaeleze wazee wako kuwa wewe huamini MUNGU na hutaki kuoa achana na maigizo. Kama una hoja za msingi maigizo ya nini?
WAPIGANA MITI KIHALALI MPAKA WAZAZI WANAJUA TUNAPIGANA MITIKwa hiyo kuna ulazima vijana wakioana waandaliwe tisheti maridadi zilizoandikwa migongoni "MPIGA MITI"?
Mimi nawazaga hao watoto wao Huwa wanalelewaje aiseeNdoa ni taasisi ambayo kupitia kwayo familia imara huanzishwa na kuendelezwa. Na familia imara ndiyo msingi wa jamii imara. Ndiyo maana ndoa na familia (ya mke na mume) vinashambuliwa sana maana ukitaka kuangamiza jamii basi haribu taasisi ya ndoa na familia.
Ndoa ni ya muhimu sana ndiyo maana ikaitwa ni takatifu; maana ilianzishwa na Mungu mwenyewe! 🙏🏿
Duniani Hakuna Kitu cha Bure, Chochote utakacho hitaji lazima utoe kitu.Faida ni kupata tendo la ndoa bure,unapata wakati wowote ukihitaji bila kugharamia. Kupata heshima kuwa una ndoa huishi kihuni, kupata familia inayoeleweka kwa jamii
Mshangazi mimiWewe wa kike au choko ?
Hivi huwa inatokeaje mzazi akupangie cha kufanya hapa duniani?Wazee wamenikalisha kikao, wameniambia nifunge ndoa ..
Ila Sasa Mimi, ni team Kataa ndoa pia Mimi ni Atheist 😔 ( siamini kwenye hayo mambo ya ndoa Wala Mungu)Yani Sina mpango wa kuoa for my lifetime. Ila Sasa wazee ndio wamekomaa balaa , Yani familia imewasha moto kuhusu swala la kufunga ndoa
Nipo njiapanda, nafikiria nifunge ndoa kinafki Ili kuwalizisha
au niwakatae mazima.. Nifanye ninavyo taka Mimi.. Ila Nina watoto wawili mama tofauti,
Au Kuna faida nzuri kwenye ndoa huko ?
Nifanyaje?
Ndoa ina Faida kwa Mwanamke 95%Faida ya ndoa ni kwamba mkitaka kuachana mwanamke anapata haki yake yaani kama ni mali mnawagama kama sheria za ndoa zilivyo. Yan inalinda maslai ya nyie wanandoa kisheria.
This is misleading.You are a social being and threfre a product of a society. A well think member of a society ought to abide by the societal norms, values and the like!
Labda la Familia Ila tendo la wataki wote futa hiyo aisee tuliomo ndio tunajua na kama hujajua basi subiri miaka ipite kidogo utakuja humu. Mwanamke apatapo watoto uchepusha upendo wote kwa watoto na kumuona mwanamume kama nyani tu.Faida ni kupata tendo la ndoa bure,unapata wakati wowote ukihitaji bila kugharamia. Kupata heshima kuwa una ndoa huishi kihuni, kupata familia inayoeleweka kwa jamii
Sawa na poleMimi sio mwanaume?
HahahaMImi binafsi sioni faida ya ndoa. Waambie kama wanahamu na ndoa wafunge ndoa zao tena
KWAHIYO PUNYETO WANAZOPIGA NI AFYA KUMBEKufanya tu mwanaume afe mapema. Mapadre hawaoi, wanaishi miaka mingi sana
Wazee wangu ni watu wa kanisa sana, si unajua wazee ?Hivi huwa inatokeaje mzazi akupangie cha kufanya hapa duniani?
Kwamba wewe unakuwa unaishi kama roboti tu huku ukiendeshwa na mzazi au?
Hii huwa inakuwaje?
Wanakuwa wamekuona huna akili kiasi gani hadi wakupangie cha kufanya?