Ndoa ina faida gani ?

Ndoa ina faida gani ?

Fainali uzeeni ,halafu raha ya maisha ni misukosuko ya hapa na pale kupata experience ya maisha mengine,kuwa na kampuni unayoongoza hata kama uko ulipo unaongozwa sasa wewe utakuwa mwanaume wa namna gani hata kuoa utaki ,wewe sio mwanaume ni something else jichunguze .Raha ya kuwa mwanaume ni kukabiliana na kila kitu regardless what?
Nakazia hapa
 
Ndoa ni taasisi ambayo kupitia kwayo familia imara huanzishwa na kuendelezwa. Na familia imara ndiyo msingi wa jamii imara. Ndiyo maana ndoa na familia (ya mke na mume) vinashambuliwa sana maana ukitaka kuangamiza jamii basi haribu taasisi ya ndoa na familia.

Ndoa ni ya muhimu sana ndiyo maana ikaitwa ni takatifu; maana ilianzishwa na Mungu mwenyewe! 🙏🏿
We mzee kwa karne hii kuharakia kuoa ya nini alafu una koswa amani mimi nimerequest ndoa kwa Mabinti zaidi ya watano Ila wote ni under 25 wanasema ety mpaka watimize malengo yao kwanza
 
Wazee wamenikalisha kikao, wameniambia nifunge ndoa ..

Ila Sasa Mimi, ni team Kataa ndoa pia Mimi ni Atheist 😔 ( siamini kwenye hayo mambo ya ndoa Wala Mungu)Yani Sina mpango wa kuoa for my lifetime. Ila Sasa wazee ndio wamekomaa balaa , Yani familia imewasha moto kuhusu swala la kufunga ndoa

Nipo njiapanda, nafikiria nifunge ndoa kinafki Ili kuwalizisha
au niwakatae mazima.. Nifanye ninavyo taka Mimi.. Ila Nina watoto wawili mama tofauti,

Au Kuna faida nzuri kwenye ndoa huko ?

Nifanyaje?
Hali ya kutokuwa na upendo.
Watu wangekuwa na upendo maisha yangekuwa rahisi sana na wala system isingeweza tu bully kirahisi namna hii.

Hebu fikiria
"watu wanakuchangia up to 15 million ili uingie kwenye mkataba ambao wao wenyewe wanataka kuuvunja leo na wanakuja kusherehekea ukiwa unausign huo mkataba. Hakuna upendo brother ni unafiki na uzandiki.
 
Fainali uzeeni ,halafu raha ya maisha ni misukosuko ya hapa na pale kupata experience ya maisha mengine,kuwa na kampuni unayoongoza hata kama uko ulipo unaongozwa sasa wewe utakuwa mwanaume wa namna gani hata kuoa utaki ,wewe sio mwanaume ni something else jichunguze .Raha ya kuwa mwanaume ni kukabiliana na kila kitu regardless what?
Nimeipenda hii
 
Wazee wamenikalisha kikao, wameniambia nifunge ndoa ..

Ila Sasa Mimi, ni team Kataa ndoa pia Mimi ni Atheist 😔 ( siamini kwenye hayo mambo ya ndoa Wala Mungu)Yani Sina mpango wa kuoa for my lifetime. Ila Sasa wazee ndio wamekomaa balaa , Yani familia imewasha moto kuhusu swala la kufunga ndoa

Nipo njiapanda, nafikiria nifunge ndoa kinafki Ili kuwalizisha
au niwakatae mazima.. Nifanye ninavyo taka Mimi.. Ila Nina watoto wawili mama tofauti,

Au Kuna faida nzuri kwenye ndoa huko ?

Nifanyaje?
tafuta watatu mpaka wa saba lea wtoto , sio hawa watu wazima walioshindikana
 
Wazee wangu ni watu wa kanisa sana, si unajua wazee ?

Sasa mm hizo mambo za kanisani, sijui mungu , siamini na sipo kwenye hayo mambo. Kwahyo wao wanaona ndoa ni swala la kimungu , alafu ndio siamini maswala ya mungu.

Sio kwamba wananipangia , ila imekuwa kero ,
Pole sana
 
Wazee wamenikalisha kikao, wameniambia nifunge ndoa ..

Ila Sasa Mimi, ni team Kataa ndoa pia Mimi ni Atheist 😔 ( siamini kwenye hayo mambo ya ndoa Wala Mungu)Yani Sina mpango wa kuoa for my lifetime. Ila Sasa wazee ndio wamekomaa balaa , Yani familia imewasha moto kuhusu swala la kufunga ndoa

Nipo njiapanda, nafikiria nifunge ndoa kinafki Ili kuwalizisha
au niwakatae mazima.. Nifanye ninavyo taka Mimi.. Ila Nina watoto wawili mama tofauti,

Au Kuna faida nzuri kwenye ndoa huko ?

Nifanyaje?
Endelea kusimamia msimamo wako na uendelee kupiga punyeto na uhuni mpaka Ufe.
Maisha ni kuchagua
 
Back
Top Bottom