Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Sijui kama huwa wanafanya hivyo. Wewe uliwaona wapi wakipiga punyeto?KWAHIYO PUNYETO WANAZOPIGA NI AFYA KUMBE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kama huwa wanafanya hivyo. Wewe uliwaona wapi wakipiga punyeto?KWAHIYO PUNYETO WANAZOPIGA NI AFYA KUMBE
SASA BUJI BUJI,HILO NALO NI LA KUULIZA??MWANAUME RIJALI KABISA NA HANA MKE UNADHANI ANAZITOAJI ZILE MAMBO KAMA SIYO PUNYETO??Sijui kama huwa wanafanya hivyo. Wewe uliwaona wapi wakipiga punyeto?
Wewe ni takoFaida ni kupigana miti huku wazazi wenu wote wanajua kuwa watoto wetu wanapigana miti
Nakazia hapaFainali uzeeni ,halafu raha ya maisha ni misukosuko ya hapa na pale kupata experience ya maisha mengine,kuwa na kampuni unayoongoza hata kama uko ulipo unaongozwa sasa wewe utakuwa mwanaume wa namna gani hata kuoa utaki ,wewe sio mwanaume ni something else jichunguze .Raha ya kuwa mwanaume ni kukabiliana na kila kitu regardless what?
We mzee kwa karne hii kuharakia kuoa ya nini alafu una koswa amani mimi nimerequest ndoa kwa Mabinti zaidi ya watano Ila wote ni under 25 wanasema ety mpaka watimize malengo yao kwanzaNdoa ni taasisi ambayo kupitia kwayo familia imara huanzishwa na kuendelezwa. Na familia imara ndiyo msingi wa jamii imara. Ndiyo maana ndoa na familia (ya mke na mume) vinashambuliwa sana maana ukitaka kuangamiza jamii basi haribu taasisi ya ndoa na familia.
Ndoa ni ya muhimu sana ndiyo maana ikaitwa ni takatifu; maana ilianzishwa na Mungu mwenyewe! 🙏🏿
Wanawake wenyewe hawako tayari kuolewaUmeandika kama kijana, nasubiri ukiwa mwanaume ndio utamjua umuhimu wa ndoa.
Ebu imagine Donatila msichana wa miaka 22 anajiona bado mdogo eti anasema hataki kupangiwa muda wa kuamka kwo bora abaki magheto ajirushe akichoka ndo asake mmeUmeandika kama kijana, nasubiri ukiwa mwanaume ndio utamjua umuhimu wa ndoa.
Hali ya kutokuwa na upendo.Wazee wamenikalisha kikao, wameniambia nifunge ndoa ..
Ila Sasa Mimi, ni team Kataa ndoa pia Mimi ni Atheist 😔 ( siamini kwenye hayo mambo ya ndoa Wala Mungu)Yani Sina mpango wa kuoa for my lifetime. Ila Sasa wazee ndio wamekomaa balaa , Yani familia imewasha moto kuhusu swala la kufunga ndoa
Nipo njiapanda, nafikiria nifunge ndoa kinafki Ili kuwalizisha
au niwakatae mazima.. Nifanye ninavyo taka Mimi.. Ila Nina watoto wawili mama tofauti,
Au Kuna faida nzuri kwenye ndoa huko ?
Nifanyaje?
Nimeipenda hiiFainali uzeeni ,halafu raha ya maisha ni misukosuko ya hapa na pale kupata experience ya maisha mengine,kuwa na kampuni unayoongoza hata kama uko ulipo unaongozwa sasa wewe utakuwa mwanaume wa namna gani hata kuoa utaki ,wewe sio mwanaume ni something else jichunguze .Raha ya kuwa mwanaume ni kukabiliana na kila kitu regardless what?
tafuta watatu mpaka wa saba lea wtoto , sio hawa watu wazima walioshindikanaWazee wamenikalisha kikao, wameniambia nifunge ndoa ..
Ila Sasa Mimi, ni team Kataa ndoa pia Mimi ni Atheist 😔 ( siamini kwenye hayo mambo ya ndoa Wala Mungu)Yani Sina mpango wa kuoa for my lifetime. Ila Sasa wazee ndio wamekomaa balaa , Yani familia imewasha moto kuhusu swala la kufunga ndoa
Nipo njiapanda, nafikiria nifunge ndoa kinafki Ili kuwalizisha
au niwakatae mazima.. Nifanye ninavyo taka Mimi.. Ila Nina watoto wawili mama tofauti,
Au Kuna faida nzuri kwenye ndoa huko ?
Nifanyaje?
Pole sanaWazee wangu ni watu wa kanisa sana, si unajua wazee ?
Sasa mm hizo mambo za kanisani, sijui mungu , siamini na sipo kwenye hayo mambo. Kwahyo wao wanaona ndoa ni swala la kimungu , alafu ndio siamini maswala ya mungu.
Sio kwamba wananipangia , ila imekuwa kero ,
Uwezo mdogo wa kufikiri. Badala ya mtu kuleta hoja fikirishi utasikia majibu kama ayo.Hamnaga fact zaidi ya matusi
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Endelea kusimamia msimamo wako na uendelee kupiga punyeto na uhuni mpaka Ufe.Wazee wamenikalisha kikao, wameniambia nifunge ndoa ..
Ila Sasa Mimi, ni team Kataa ndoa pia Mimi ni Atheist 😔 ( siamini kwenye hayo mambo ya ndoa Wala Mungu)Yani Sina mpango wa kuoa for my lifetime. Ila Sasa wazee ndio wamekomaa balaa , Yani familia imewasha moto kuhusu swala la kufunga ndoa
Nipo njiapanda, nafikiria nifunge ndoa kinafki Ili kuwalizisha
au niwakatae mazima.. Nifanye ninavyo taka Mimi.. Ila Nina watoto wawili mama tofauti,
Au Kuna faida nzuri kwenye ndoa huko ?
Nifanyaje?