Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutomba hakuna uhusiano wowote na ndoa.KWAHIYO PUNYETO WANAZOPIGA NI AFYA KUMBE
Wewe sio mwanamahesabu mzuriFaida ni kupata tendo la ndoa bure,unapata wakati wowote ukihitaji bila kugharamia. Kupata heshima kuwa una ndoa huishi kihuni, kupata familia inayoeleweka kwa jamii
Kwanza wewe waona vyema kuwa na watoto 2 mama tofauti na bado?Wazee wamenikalisha kikao, wameniambia nifunge ndoa ..
Ila Sasa Mimi, ni team Kataa ndoa pia Mimi ni Atheist 😔 ( siamini kwenye hayo mambo ya ndoa Wala Mungu)Yani Sina mpango wa kuoa for my lifetime. Ila Sasa wazee ndio wamekomaa balaa , Yani familia imewasha moto kuhusu swala la kufunga ndoa
Nipo njiapanda, nafikiria nifunge ndoa kinafki Ili kuwalizisha
au niwakatae mazima.. Nifanye ninavyo taka Mimi.. Ila Nina watoto wawili mama tofauti,
Au Kuna faida nzuri kwenye ndoa huko ?
Nifanyaje?
Thibitisha kwanza kama Mungu yupo - KirangaNdoa ni taasisi ambayo kupitia kwayo familia imara huanzishwa na kuendelezwa. Na familia imara ndiyo msingi wa jamii imara. Ndiyo maana ndoa na familia (ya mke na mume) vinashambuliwa sana maana ukitaka kuangamiza jamii basi haribu taasisi ya ndoa na familia.
Ndoa ni ya muhimu sana ndiyo maana ikaitwa ni takatifu; maana ilianzishwa na Mungu mwenyewe! 🙏🏿
Well, I don't believe that heaven waits for only those who congregateNaam,
Kabla ya kufika mbali sana tumalize ngwe hiyo kwanza.
NDOA ni AJIRA kwa MWANAMKE..Faida ya ndoa ni kwamba mkitaka kuachana mwanamke anapata haki yake yaani kama ni mali mnawagama kama sheria za ndoa zilivyo. Yan inalinda maslai ya nyie wanandoa kisheria.
Hayo mashairi ya kiimani tu mkuu.Well, I don't believe that heaven waits for only those who congregate
I like to think of God as love
He's down below, He's up above
He's watching people everywhere
He knows who does and doesn't care - Don Williams
Watu wa imani wana amini Mungu ni mtu ana utu ndani yakeHayo mashairi ya kiimani tu mkuu.
Tatizo uthibitisho.
Kweli kabisa mkuuWewe ni tako
Mkuu ushindwe!😁Thibitisha kwanza kama Mungu yupo - Kiranga
🤣🤣🤣🤣🤣Faida ni kupigana miti huku wazazi wenu wote wanajua kuwa watoto wetu wanapigana miti
Ungewauliza wanaokulazimishaWazee wamenikalisha kikao, wameniambia nifunge ndoa ..
Ila Sasa Mimi, ni team Kataa ndoa pia Mimi ni Atheist 😔 ( siamini kwenye hayo mambo ya ndoa Wala Mungu)Yani Sina mpango wa kuoa for my lifetime. Ila Sasa wazee ndio wamekomaa balaa , Yani familia imewasha moto kuhusu swala la kufunga ndoa
Nipo njiapanda, nafikiria nifunge ndoa kinafki Ili kuwalizisha
au niwakatae mazima.. Nifanye ninavyo taka Mimi.. Ila Nina watoto wawili mama tofauti,
Au Kuna faida nzuri kwenye ndoa huko ?
Nifanyaje?
Nataka nije PM nikutongoze,Nilistuka nikasema heee huyu mtaleban The Icebreaker kawa atheist lazima atakuwa anakuja kwa Jesus Keisto.