Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Friedrich Nietzsche

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
2,095
Reaction score
3,649
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1.kisiran
2.kununa
3.Kuzalisha migogoro
haya yote alivokua kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Uchumba ulikaa muda gani?
Msingi wa mahusiano yenu ukoje?
Hukuona hizo tabia kabla ya kuoana?
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1.kisiran
2.kununa
3.Kuzalisha migogoro
haya yote alivokua kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Na hapo usipokaza akikuwin tu umekwisha jiandae kuendeshwa maisha yako yote
 
Back
Top Bottom