Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
- Thread starter
- #21
hapana muhaNi mnyaturu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana muhaNi mnyaturu?
duuhPiga chini......
Mbona hayo yote ni kawaida subiri phase two ndo utajue wanawake ni nini, rafiki yangu hu ni mwezi wa pili analala kwenye gari lake ila ndoa yake in miaka 4, hapo kwako hiyo inaitwa cooling break mechi bado kabisa.......Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1.kisiran
2.kununa
3.Kuzalisha migogoro
haya yote alivokua kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Yan akuwa ivo bila kumuuzi?wanawake wanachangamoto sijui nioe mwingine
hata tako hanaWe si uliangalia tako, pambana.
ha ha ha haMbona hayo yote ni kawaida subiri phase two ndo utajue ni nini, rafiki yangu hu ni nwezi wa pili analala kwenye gari lake ila ndoa yaje in muaka 4, hapo kwako hiyo inaitwa cooling break mechi bado kabisa.
Piga chini akanunie kwao.....duuh
hiyo kununa alikua nako sema si mtu akiwa mbali sasa saizi naona imekua too muchWakati wa uchumba kama ulikuwa makini ungeyatambua yote hayo.
nawaza iloPiga chini akanunie kwao.....
Unachelewa bro, jitahidi breakfast kesho ainywee kwao.....nawaza ilo
Oa tu.. ila usitusumbue na kadi za michango..wanawake wanachangamoto sijui nioe mwingine
Bro unanipotezaUnachelewa bro, jitahidi breakfast kesho ainywee kwao.....
Bado kipindi Cha 1 mziki unakuja.jamaa ako shida nini mpaka alale kwa gari?Mbona hayo yote ni kawaida subiri phase two ndo utajue wanawake ni nini, rafiki yangu hu ni mwezi wa pili analala kwenye gari lake ila ndoa yake in mwaka 4, hapo kwako hiyo inaitwa cooling break mechi bado kabisa.......
Mi naoa siyo harusiOa tu.. ila usitusumbue na kadi za michango..
Huwa mnasumbua watu alafu ndoa zenyew hamdumu. Wiki moja kila mtu na 50 zake.