Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee

shachoka.Nimeukumbuka uhuruwangu
Hao ndivyo walivyo mkuu ulipo kuwa single ilikuwa unaingia na Viatu kwako na mda wowote unao utaka unaingia

Ume mkaribisha mwenyewe sasa hivi Viatu una vulia mlangoni

Kufika home mwisho saa 12 jioni af Hera una tafuta wewe 🤣🤣🤣
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Welcome to the shit show
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Maisha ya ndoa ni uvimilivu kwn mmekutana wote mkiwa wakubwa na kila mtu alikuwa na malezi kutoka kwao na sasa mnaanza familia yenu, hivyo kwanza kabisa mshirikishe Mungu alinde ndoa yenu aepushe roho ya Kiburi, manung'uniko na dharau kwa kila mmoja. Maana ndoa bila kumtanguliza Mungu brother ataacha lkn kuacha sio chanzo cha kumaliza matatizo.
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Mkuu kama umemchoka nipasie nimalizie nae maisha hao wenye visilani,kununa,kuzalisha migogoro ndio type zangu
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Komaa nae hukulazimishwa
 
Back
Top Bottom