Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Nature ya Wanawake ni Kutaka the Strongest Man,Hilo Halina UBishi.Ila Sasa Hiyo Definition ya Strength Ndio inaleta walakini.Wanawake by majority wana tabia ya Kudemand kile ambacho wanahisi Mwanaume hawezi Kumpatia.Mf.If u are well financially but Have to work Hard to Provide basi watataka Uwape Muda zaidi wao.Na ukiwapa Muda zaidi ila Pesa kidogo watataka Pesa.

Ndio maana wataalamu wa kucheza na Wanawake Huwa wanatumia Ile Kanuni ya "Keep them wanting More" in everything.Hakikisha Mwanamke wako Daima kuna kitua anakihitaji kutoka kwako Kuanzia Pesa,Mapenzi,Muda,Amni,Furaha,Upendo,Ulinzi,Ubabe,Uchokozi,Utata,Ukorofi,Uzembe,Usafi,Uchafu,Uaminifu,Uhuni,Ukaribu n.k.

Yaani Hakikisha Kila wakati mwanamke wako akitazama Orodha ya mahitaji yake kutoka Kwako iwe ndefu isiyo isha.Kwani Akifika Hatua akiwa hana Mahitaji kutoka kwako yawe ya kifedha Kihisia Basi Msimu unaanza kubadilika iwe una Pesa NYingi kiasi gani,Una sex nzuri kiasi gani,unajali kiasi gani.Utampa Ela ya kwenda Kununua Nyama Ila atampenda Muuza Bucha anayemkatia Sehemu nzuri.Utamnulia Gari na Kumpa Hela ya Mafuta ila atakusaliti na mtu anayemnunulia Mafuta.Utamlipia Ada apate elimu atakusaliti na mwanafunzi anayesoma naye darasani anayemsaidia TEST,Utamtafutia Kazi nzuri yenye mshahara mzuri atakusaliti na Co-worker ili tu ajisikie Mjanja.

Haya maneno huwa nawashauri marafiki zangu.Uzoefu wangua unaonesha kwamba Women Enjoy the attention and what a man can do to keep them engaged is to make them want more.Ukimnunulia Mkeo Gari Asikae na Funguo Yeye,Ukimpa Hela ya nyama Akija nayo mwambie nyama sio nzuri ule chakula kikavu,Ukimpa Hela ya Saloni Sometimes akirudi mwambie hujapenda Ule mtindo wake wa urembo mpe ela nyingine akabdilishe mtindo.

In short Kutafuta kumtuliza Mwanamke ni Full time JOB na kama unahitaji kufurahia Mapenzi Basi the only thing you can is love one woman in a milion ways or love A milion Women in a single way. The Choice is yours ila Mwisho wa shiko She will still want more and you will still want more

Either
Mpelekee moto tu hayo mengine mnajidanganya.
 
Dah,mmezidi na nyie na kuzisema hizi ndoa.Yani mkae uchumba siku zote usigundue hizo dosari ndani ya mwezi Tu unakuja kulalamika hapa umechoka.
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Anza na wewe mkuu kujitafakari, je ulivyokuwa una-mhandle alivyokuwa kwao ndiyo hivyo hivyo unafanya baada ya kumuoa?
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Unapiga mbususu vzuri?? Kuna sehemu umepwaya mkuu. Tafuta pesa, wanawake hawana kisiran.
 
Nature ya Wanawake ni Kutaka the Strongest Man,Hilo Halina UBishi.Ila Sasa Hiyo Definition ya Strength Ndio inaleta walakini.Wanawake by majority wana tabia ya Kudemand kile ambacho wanahisi Mwanaume hawezi Kumpatia.Mf.If u are well financially but Have to work Hard to Provide basi watataka Uwape Muda zaidi wao.Na ukiwapa Muda zaidi ila Pesa kidogo watataka Pesa.

Ndio maana wataalamu wa kucheza na Wanawake Huwa wanatumia Ile Kanuni ya "Keep them wanting More" in everything.Hakikisha Mwanamke wako Daima kuna kitua anakihitaji kutoka kwako Kuanzia Pesa,Mapenzi,Muda,Amni,Furaha,Upendo,Ulinzi,Ubabe,Uchokozi,Utata,Ukorofi,Uzembe,Usafi,Uchafu,Uaminifu,Uhuni,Ukaribu n.k.

Yaani Hakikisha Kila wakati mwanamke wako akitazama Orodha ya mahitaji yake kutoka Kwako iwe ndefu isiyo isha.Kwani Akifika Hatua akiwa hana Mahitaji kutoka kwako yawe ya kifedha Kihisia Basi Msimu unaanza kubadilika iwe una Pesa NYingi kiasi gani,Una sex nzuri kiasi gani,unajali kiasi gani.Utampa Ela ya kwenda Kununua Nyama Ila atampenda Muuza Bucha anayemkatia Sehemu nzuri.Utamnulia Gari na Kumpa Hela ya Mafuta ila atakusaliti na mtu anayemnunulia Mafuta.Utamlipia Ada apate elimu atakusaliti na mwanafunzi anayesoma naye darasani anayemsaidia TEST,Utamtafutia Kazi nzuri yenye mshahara mzuri atakusaliti na Co-worker ili tu ajisikie Mjanja.

Haya maneno huwa nawashauri marafiki zangu.Uzoefu wangua unaonesha kwamba Women Enjoy the attention and what a man can do to keep them engaged is to make them want more.Ukimnunulia Mkeo Gari Asikae na Funguo Yeye,Ukimpa Hela ya nyama Akija nayo mwambie nyama sio nzuri ule chakula kikavu,Ukimpa Hela ya Saloni Sometimes akirudi mwambie hujapenda Ule mtindo wake wa urembo mpe ela nyingine akabdilishe mtindo.

In short Kutafuta kumtuliza Mwanamke ni Full time JOB na kama unahitaji kufurahia Mapenzi Basi the only thing you can is love one woman in a milion ways or love A milion Women in a single way. The Choice is yours ila Mwisho wa shiko She will still want more and you will still want more

Either
Mwenye masikio asikie.
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Haya mambo madogo. Kuwa mwanaume. Ishi kwa akili.
1. Acha na usifanye vitu vinavyo mfanya awe na kisirani?
2. Acha na usifanye vitu vinavyo sababisha kununa.
3. Acha na usifanye mambo yanayosababisha migogoro.
 
hiyo kununa alikua nako sema si mtu akiwa mbali sasa saizi naona imekua too much
Hii tabia wanawake wengi sana wanayo, me mwenyewe unaweza kuamka asubuhi au umetoka kazini unashangaa wife kanuna hakuna salamu wala hakusemeshi. Sasa kwa kuwa nilishamjua na mm namkaushia tu tunaweza maliza hata siku 3 hatuongei, mood zake zikikaa sawa unashangaa huyo anaanza kukusemesha na mambo yanarudi kma kawaida. Hawa wenzetu wakipata changamoto labda kazini, kwenye biashara, au mambo yao ya kifamilia, ww mume ndiyo unakuwa punching bag as if ww ndiyo umeleta hizo shida... utanuniwa na papuchi hupati. Kazi kweli kweli
 
Duh mbona imekuwa mapema ivyo kamanda?? yani hata kuonana dada na kaka bado embu mkalishe chini umuulize tatizo ni nini ukiona bado kampumzishe kwanza kwao ili ajitafakari
 
Back
Top Bottom