Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,095
- 3,649
bora waje aiseeWaje watu wa kataa?
etii eehhVumilia mkitoboa tu 24 months baas
daahKula Chuma.
wanawake wanachangamoto sijui nioe mwingineHizi ni point 3 kbs kwa jamaa zangu wa kataaa ndoa
Uchumba ulikaa muda gani?Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1.kisiran
2.kununa
3.Kuzalisha migogoro
haya yote alivokua kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Ni mnyaturu?wanawake wanachangamoto sijui nioe mwingine
Na hapo usipokaza akikuwin tu umekwisha jiandae kuendeshwa maisha yako yoteJaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1.kisiran
2.kununa
3.Kuzalisha migogoro
haya yote alivokua kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
🤣🤣🤣sawasawawanawake wanachangamoto sijui nioe mwingine
KwannNi mnyaturu?
Apo utayavuruga kbs hawa watu ni wa kupiga mbupu tu so kuoa mzeewanawake wanachangamoto sijui nioe mwingine