Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro
Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee
Hao ndivyo walivyo mkuu ulipo kuwa single ilikuwa unaingia na Viatu kwako na mda wowote unao utaka unaingiashachoka.Nimeukumbuka uhuruwangu
Welcome to the shit showJaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro
Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Maisha ya ndoa ni uvimilivu kwn mmekutana wote mkiwa wakubwa na kila mtu alikuwa na malezi kutoka kwao na sasa mnaanza familia yenu, hivyo kwanza kabisa mshirikishe Mungu alinde ndoa yenu aepushe roho ya Kiburi, manung'uniko na dharau kwa kila mmoja. Maana ndoa bila kumtanguliza Mungu brother ataacha lkn kuacha sio chanzo cha kumaliza matatizo.Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro
Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Mkuu kama umemchoka nipasie nimalizie nae maisha hao wenye visilani,kununa,kuzalisha migogoro ndio type zanguJaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro
Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Komaa nae hukulazimishwaJaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro
Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Umeliwawanawake wanachangamoto sijui nioe mwingine