Ndoa ina raha yake bwana asikwambie mtu, japo maudhi yapo ila sio mengi kama mazuri

No marriage is perfect, those celebrating 30,40,50 years of togetherness, they are celebrating forgiveness, tolerance, ignoring the husband's stupidity, overlooking the wife's misbehavior, etc. *Money does not determine a better marriage but character and loyalty do. β™₯οΈπŸ‘Œ
 
Uzi tayari
Uzi huu umekaa kimtego-mtego kweli. Unatuonesha Upande mmoja wa maisha ndoani ili waboboezi wakuambie yale ya Upande wa pili. Bro; ndoa haina Formula(Kanuni) Wapo wanandoa walioumizwa mno na wenza wao hata umauti ukawashukia.
Neno raha linategemea yule anayelitumia anakusudia ujumbe gani.
e.g. Kama wewe ni mtu wa kupenda kuninihino sana, maisha ya ndoa yanaweza kuwa ni msaada kwako ili uepuke uwezekano wa kukanyaga miwaya au maswala ya ugoni. Kwa hiyo, hilo laweza kuwa ni raha kwako.
 
But with red lines.(limits).
 
Kuna mwamba mmoja akiusoma huu muandiko atahisi kama kachelewa sana kuvuta jiko. Na mie namshauri hivi bora aendelee kuchelewa
 
Pointi hapo ni moja, kama unapenda watoto, ndoa ndio mahala pake.

Sisi ambao tuna mtoto mmoja tu na yuko Marekani, na hatuna mpango wa kuwa na mtoto mwingine, ndoa ni scam tu.
 
Binadamu tunatofautiana.

Kuna mtu vijimambo vya kwenye ndoa vinampa furaha, mimi vinanikera tu.

Mara uulizwe unachati na nani, eti kufika nyumbani mwisho saa mbili, mara uambiwe leo hakuna kwenda kuangalia mpira..

Mara mtu kanuna siku nzima eti shoga ake sijui kamwambiaje... mi najionea kero tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…