Ndoa ina raha yake bwana asikwambie mtu, japo maudhi yapo ila sio mengi kama mazuri

Ndoa ina raha yake bwana asikwambie mtu, japo maudhi yapo ila sio mengi kama mazuri

Wasikutishe, mie niko mwaka wa 3 ndoani na njionea raha tu..
Kukoseana kupo, ila raha ni nyingi na kubwa kubwa kuliko hivi vidogo vidogo, ambavyo ni kama hakuna tu.

Enjoy maisha usifikirie negative, we nenda na positive mind tu, ikitokea negative baridi, unajivua gamba maisha yataendelea, ila ukiwa na mawazo megative kichwani utashimdwa kuzila raha zako vizuri.
Naam , negative zipo na nimeshazipitia ila ni chachee sanaaa hazibadishi chochote kwenye kuendelea kufurahi ndoa yangu/yetu.
 
Uzi tayari
Faida ni nyingi Kuliko hasara.

Imagine nikisharudi Home nimechoka na kazi, nimerudi na Posho kadhaa kutoka kwa boss.

Narudi nyumbani nakutana na haya;
1. Mke mzuri, mcheshi
2. Watoto wangu watatu wazuriz
, wasafi. Wanan'gaa
3. Nyumba ina ng'aa ndani na nje
4. Kitanda kimetandikwa kama cha Mfalme fulani hivi wa Uarabuni.
5. Narudi nikiwa na furaha sana, siri mtaani kwani chakula bora kinanisubiri nyumbani
6. Watoto wangu wanaonipenda wananigombania kila mmoja anataka nimpakate yeye

7. Baada ya kula naingia JFs
8. Napiga viwili vya heshima napumzika
9. Siku inaendelea kuzunga, life goes on.

Ndoa ina raha kubwa sana.
 
Wasikutishe, mie niko mwaka wa 3 ndoani na njionea raha tu..
Kukoseana kupo, ila raha ni nyingi na kubwa kubwa kuliko hivi vidogo vidogo, ambavyo ni kama hakuna tu.

Enjoy maisha usifikirie negative, we nenda na positive mind tu, ikitokea negative baridi, unajivua gamba maisha yataendelea, ila ukiwa na mawazo megative kichwani utashimdwa kuzila raha zako vizuri.
Siku zote nawashangaa wanaolalamika kuhusu ndoa.

Ndoa kwanza sio gharama labsa utake mwenyewe.

Hioz laki laki unazohonga mpe mkeo kama zawadi tu uone moto wake.

Hivyo vizawadi unavyopelekea michepuko tena yenye wanaume wengine kibao mpelekee Mkeo uone moto wake.
 
Faida ni nyingi Kuliko hasara.

Imagine nikisharudi Home nimechoka na kazi, nimerudi na Posho kadhaa kutoka kwa boss.

Narudi nyumnani nakutana na haya;
1. Mke mzuri, mcheshi
2. Watoto wangu watatu wazuriz wasafi. Wanan'gaa
3. Nyumba ina ng'aa ndani na nje
4. Kitanda kimetandikwa kama cha Mfalme fulani hivi wa Uarabuni.
5. Narudi nikiwa na furaha sana, siri mtaani kwani chakula bora kunanisubiri nyumbani
6. Watoto wangu wanaonipenda wananigombania kila mmoja anataka nimpakate yeye

7. Baada ya kula naingia JFs
8. Napiga viwili vya heshima napumzika
9. Siku inaendelea kuzunga, life goes on.

Ndoa ina raha kubwa sana.
Umemaliza Kila kitu yani
 
Uzi tayari
Ndoa mpya hii 😂 😂 😂 😂
Nipo kwenye basi sasa hivi. Mdada mzuri natural kakimbia mume wake kisa alikuwa anatuma sms Hajibu anapiga simu hapokei. Wakati huo alikuwa yupo mbali na yeye. Na kamwacha ana mtoto mmoja na ana mimba. Baadaye mdada akasema tuachane kila mmoja aendelee na maisha yake. Binti akaondoka na mimba yake. Akajifungua akarudi. Akaanza kuomba msamaha jamaa kagoma kata kata. Kaomba mshenga, wazazi wa mshikaji lakini kagoma. Baada ya hapo dada kaamua kuondoka hata anakokwenda hajui. Ila kamwachia watoto wawili. Mmoja ana miaka 3 na mwingine ana mwaka 1. Analia basi zima. Ikambidi nianze kujua kuna shida.

But kwa kiasi kikubwa naona ni utoto unavunja hii ndoa. Lakini ndoa zinahitaji uvumilivu. Sasa kajua mmewe ana mwanamke mwingine. Ila anatoka na ataishia kudate na mme wa mtu.

Wanadamu wanadamu tujifunze hakuna kitu kipya duniani. Hakuna mtu mkamilifu. Mnatakiwa kuvumiliana. Watoto mnawaleta duniani wanapata shida kisa uadui wenu baada ya ndoa.


Tuache kusikiliza familia zetu sana tunazotoka ndo chanzo cha mifarakano. Ukiwa na upendo zaidi nyumbani kuliko familia unayojenga huwezi jenga nyumba yako. Nyumba unayoipenda sana ilijengwa na baba na mama yako. Je jiulize wewe watoto wako utawarithisha nini? Tujifunze kitu hapa siyo mwandishi mzuri ila naamini nitataeleweka.
 
Wasikutishe, mie niko mwaka wa 3 ndoani na njionea raha tu..
Kukoseana kupo, ila raha ni nyingi na kubwa kubwa kuliko hivi vidogo vidogo, ambavyo ni kama hakuna tu.

Enjoy maisha usifikirie negative, we nenda na positive mind tu, ikitokea negative baridi, unajivua gamba maisha yataendelea, ila ukiwa na mawazo megative kichwani utashimdwa kuzila raha zako vizuri.
Huu ndio ukweli ila wahuni wa Jf ukiona comment zao unabaki unashangaa wanavyo lishana matango pori kuhusu ndoa.
 
Ndoa mpya hii 😂 😂 😂 😂
Nipo kwenye basi sasa hivi. Mdada mzuri natural kakimbia mume wake kisa alikuwa anatuma sms Hajibu anapiga simu hapokei. Wakati huo alikuwa yupo mbali na yeye. Na kamwacha ana mtoto mmoja na ana mimba. Baadaye mdada akasema tuachane kila mmoja aendelee na maisha yake. Binti akaondoka na mimba yake. Akajifungua akarudi. Akaanza kuomba msamaha jamaa kagoma kata kata. Kaomba mshenga, wazazi wa mshikaji lakini kagoma. Baada ya hapo dada kaamua kuondoka hata anakokwenda hajui. Ila kamwachia watoto wawili. Mmoja ana miaka 3 na mwingine ana mwaka 1. Analia basi zima. Ikambidi nianze kujua kuna shida.

But kwa kiasi kikubwa naona ni utoto unavunja hii ndoa. Lakini ndoa zinahitaji uvumilivu. Sasa kajua mmewe ana mwanamke mwingine. Ila anatoka na ataishia kudate na mme wa mtu.

Wanadamu wanadamu tujifunze hakuna kitu kipya duniani. Hakuna mtu mkamilifu. Mnatakiwa kuvumiliana. Watoto mnawaleta duniani wanapata shida kisa uadui wenu baada ya ndoa.


Tuache kusikiliza familia zetu sana tunazotoka ndo chanzo cha mifarakano. Ukiwa na upendo zaidi nyumbani kuliko familia unayojenga huwezi jenga nyumba yako. Nyumba unayoipenda sana ilijengwa na baba na mama yako. Je jiulize wewe watoto wako utawarithisha nini? Tujifunze kitu hapa siyo mwandishi mzuri ila naamini nitataeleweka.
Mwanamke mjinga ataivunja ndoa yake kwa mikono yake
Mapenzi kwenye ndoa hudumu kwa kipindi kiufupi sana vitu vinavyofanya ndoa iendelee kuwa stable ni huruma na uvumilivu
Kama Wanandoa wote watakosa hivo vitu viwili basi ndoa itakuwa ya karaha na inawezekana isidumu
Ila Mmoja wao akiwa navyo hivo vitu ndo itakuwa ya Raha sana
 
Back
Top Bottom