Ndoa na mahusiano ya kimapenzi siyo mambo ya lazima kutekelezwa

Ndoa na mahusiano ya kimapenzi siyo mambo ya lazima kutekelezwa

Hayo mateso kama yapi ? Na huo upweke mkubwa una dhani kila mtu unaweza kumkumba ambaye ndoa na mahusiano ya kimapenzi sio mahitaji ya msingi kwake ?

Umuhimu wa ndoa na mahusiano ya kimapenzi kwa mtu ambaye sio mahitaji yake ya msingi ni upi ?

Ni umri gani huo ?

Umri gani huo ?

Kwani usipo jenga mahusiano ya kimapenzi na mwanamke yoyote ni lipi hitaji la msingi wewe kama mtu una kosa ?
Mkuu mbona nimetoa maelezo ya kutosha ambayo hata mtoto wa darasa la 2 atayaelewa?
Ww una sema mahitaji muhimu kwa binadamu ni malazi,mavazi,na chakula lakini unacho takiwa kujua ni kuwa duniani hujaja kula, kulala,na kuvaa tu.
 
Umeeleweka vyema, ila jibu haya kwanza

Kwa nini kuna watu hawaelewi kama wanahitaji mahusiano au laa(sitaki nataka).. Hoja yako ni Sawa kama kila mmoja angebaki upande mmoja.

Pili, Inalazimika kwa sababu ya msukumo wa kimwili(maumbile)

Mwisho, hayo mahitaji kama chakula malazi na mavazi, yanawahusu binadamu, je hao binadamu wanatakiwa wawe zao la mahusiano bora au uzinzi? Au watokane na kitu gani?
Watu ni uzao wa luxury needs mfano ngono haijalishi imetendeka katika kifungo cha ndoa au laa.
 
Mkuu mbona nimetoa maelezo ya kutosha ambayo hata mtoto wa darasa la 2 atayaelewa?
Ww una sema mahitaji muhimu kwa binadamu ni malazi,mavazi,na chakula lakini unacho takiwa kujua ni kuwa duniani hujaja kula, kulala,na kuvaa tu.
Kwa hiyo umekuja kufanya nini naomba uni julishe ?
 
Mleta mada yuko sahh sana., binafsi huwa najihs uncomfortable mwanamke akianza kunizoea zoea na kuanza kunionyesha feelngz za mapenz., af ngono/ndoa si hitaji la kibiologia kama ulivyo huitaji wa chakula...
Sifahamu kuhusu jinsia ya kike, ila kwa wanaume (waliopevuka) hitaji la ngono ni namba 1, mahitaji mengine yote yanasubiri😁
 
Karibuni nyote wanachama wa jukwaa hili.

Kuna mambo makuu mawili ambayo ningependa kuzungumza pamoja nanyi wanachama wa jukwaa hili yahusuyo Ndoa & Mahusiano ya kimapenzi.

Jambo la msingi hasa ambalo ningependa kuligusia ni kuhusu ukosefu wa fikra mpya na zilizo bora ndani ya jamii kupelekea kutasfiri ndoa na mahusiano ya kimapenzi katika njia isiyo sahihi.

Ukosefu wa fikra bora umepelekea kuathiri jamii kwa kiwango kikubwa mpaka kushindwa kutambua yapi hasa ni mahitaji ya lazima ya mtu hapa duniani na yapi hasa sio mahitaji ya msingi ya mtu hapa duniani?

Jamii kwa kiwango kikubwa imeathirika haijalishi ni jamii ya watu wa somi au laa, kwa asilimia kubwa jamii imeshindwa kutofautisha kama ndoa na mahusiano ya kimapenzi ni mahitaji ya msingi ya watu hapa duniani?

Imefika hatua jamii imeweka ndoa na mahusiano ya kimapenzi kama ni mahitaji ya msingi ya watu hapa duniani jambo ambalo si tafsiri sahihi.

Jamii kwa kiwango kikubwa imekwisha amishana kuwa iwe kijana au mtu mzima ni lazima awe na mwenza wake [ mpenzi wake/ mahusiano ya kimapenzi ] au mke/mme [ ndoa ].

Kwa asilimia kubwa fikra za wanajamii zimeathirika na kushindwa kung'amua kuwa ndoa na mahusiano ya kimapenzi si mahitaji ya msingi kwa mtu hivyo si lazima mtu awe nayo. Kwa kuwa haya leti athari zozote zile asipo kuwa nayo tofauti na mahitaji hasa ya msingi mtu anayo stahili kupata kama vile makazi/malazi, mavazi na chakula.

Elimu yetu kwa kiwango kikubwa imeshindwa kukomboa fikra mbovu hizi za wana jamii na mawazo yao hasi kuhusu mahitaji ya msingi ya mtu mpaka kufika hatua ya kuweka ndoa na mahusiano ya kimapenzi kama ni mahitaji ya msingi ambayo ni lazima ya tekelezwe.

Jamii kwa kiwango kikubwa imeshindwa kung'amua kuwa kuna aina mbalimbali za watu wenye tabia tofauti tofauti walio wazunguka katika maisha yao mfano:
i. Alpha
ii. Beta
iii. Sigma

Hapa jamii imeshindwa kung'amua kuwa utofauti huu wa aina za watu una zalisha makundi tofauti tofauti ya watu yenye fikra, tabia na malengo tofauti tofauti kitu ambacho jamii zingine katika hayo makundi matatu, ndoa na mahusiano ya kimapenzi si mambo ya maana kwao ni miongoni mwa mambo ya hovyo yasiyo na maana kwao.

Wanafizikia/Wana sayansi Isaac Newton, Nicola Tesla na mimi mleta mada ni miongoni mwa watu tunao wakilisha kundi la watu tunao tafsiri ndoa na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke sio mahitaji ya msingi kwetu na wala sio mambo ya lazima kutimiza maana ni miongoni mwa mambo ya hovyo yanayo ondoa umakini katika mambo ya msingi katika maisha yetu na yana changia kwa kiwango kikubwa upotevu wa muda katika vitu visivyo vya msingi na visivyo na maana.

Elimu kuhusu mahitaji ya msingi kwa mtu mashuleni inapaswa kutiliwa mkazo haswa ili kuondoa hizi kasumba mbaya ndani ya jamii za kulazimisha na kutafsiri ndoa na mahusiano ya kimapenzi kama mahitaji ya msingi kwa mtu huu ni upotoshaji usio paswa kuvumilika.View attachment 2453199View attachment 2453200View attachment 2453201
Unajaribu kujiconsole tu
 
Karibuni nyote wanachama wa jukwaa hili.

Kuna mambo makuu mawili ambayo ningependa kuzungumza pamoja nanyi wanachama wa jukwaa hili yahusuyo Ndoa & Mahusiano ya kimapenzi.

Jambo la msingi hasa ambalo ningependa kuligusia ni kuhusu ukosefu wa fikra mpya na zilizo bora ndani ya jamii kupelekea kutasfiri ndoa na mahusiano ya kimapenzi katika njia isiyo sahihi.

Ukosefu wa fikra bora umepelekea kuathiri jamii kwa kiwango kikubwa mpaka kushindwa kutambua yapi hasa ni mahitaji ya lazima ya mtu hapa duniani na yapi hasa sio mahitaji ya msingi ya mtu hapa duniani?

Jamii kwa kiwango kikubwa imeathirika haijalishi ni jamii ya watu wa somi au laa, kwa asilimia kubwa jamii imeshindwa kutofautisha kama ndoa na mahusiano ya kimapenzi ni mahitaji ya msingi ya watu hapa duniani?

Imefika hatua jamii imeweka ndoa na mahusiano ya kimapenzi kama ni mahitaji ya msingi ya watu hapa duniani jambo ambalo si tafsiri sahihi.

Jamii kwa kiwango kikubwa imekwisha amishana kuwa iwe kijana au mtu mzima ni lazima awe na mwenza wake [ mpenzi wake/ mahusiano ya kimapenzi ] au mke/mme [ ndoa ].

Kwa asilimia kubwa fikra za wanajamii zimeathirika na kushindwa kung'amua kuwa ndoa na mahusiano ya kimapenzi si mahitaji ya msingi kwa mtu hivyo si lazima mtu awe nayo. Kwa kuwa haya leti athari zozote zile asipo kuwa nayo tofauti na mahitaji hasa ya msingi mtu anayo stahili kupata kama vile makazi/malazi, mavazi na chakula.

Elimu yetu kwa kiwango kikubwa imeshindwa kukomboa fikra mbovu hizi za wana jamii na mawazo yao hasi kuhusu mahitaji ya msingi ya mtu mpaka kufika hatua ya kuweka ndoa na mahusiano ya kimapenzi kama ni mahitaji ya msingi ambayo ni lazima ya tekelezwe.

Jamii kwa kiwango kikubwa imeshindwa kung'amua kuwa kuna aina mbalimbali za watu wenye tabia tofauti tofauti walio wazunguka katika maisha yao mfano:
i. Alpha
ii. Beta
iii. Sigma

Hapa jamii imeshindwa kung'amua kuwa utofauti huu wa aina za watu una zalisha makundi tofauti tofauti ya watu yenye fikra, tabia na malengo tofauti tofauti kitu ambacho jamii zingine katika hayo makundi matatu, ndoa na mahusiano ya kimapenzi si mambo ya maana kwao ni miongoni mwa mambo ya hovyo yasiyo na maana kwao.

Wanafizikia/Wana sayansi Isaac Newton, Nicola Tesla na mimi mleta mada ni miongoni mwa watu tunao wakilisha kundi la watu tunao tafsiri ndoa na mahusiano ya kimapenzi na mwanamke sio mahitaji ya msingi kwetu na wala sio mambo ya lazima kutimiza maana ni miongoni mwa mambo ya hovyo yanayo ondoa umakini katika mambo ya msingi katika maisha yetu na yana changia kwa kiwango kikubwa upotevu wa muda katika vitu visivyo vya msingi na visivyo na maana.

Elimu kuhusu mahitaji ya msingi kwa mtu mashuleni inapaswa kutiliwa mkazo haswa ili kuondoa hizi kasumba mbaya ndani ya jamii za kulazimisha na kutafsiri ndoa na mahusiano ya kimapenzi kama mahitaji ya msingi kwa mtu huu ni upotoshaji usio paswa kuvumilika.View attachment 2453199View attachment 2453200View attachment 2453201
Kasome Maslow's hierarchy of human needs
 
Sio hitaji la lazima kutekeleza, lipo kundi la watu katika jamii lisilo tilia maanani swala hili.
Hakuna ulazima wa kupendwa.
mahitaji ya sex
Lipo kundi katika jamii lisilo tilia maanani swala hili, hivyo ulazima lina kosa.
kuhitaji kuheshimiwa
Kuheshimiwa ni maamuzi ya mtu wala si swala la ulazima kama hitaji la msingi mtu ana hitaji kutekelezewa.
kuhitaji uongozi
Kwa minajiri ipi ?
 
Mleta mada yuko sahh sana., binafsi huwa najihs uncomfortable mwanamke akianza kunizoea zoea na kuanza kunionyesha feelngz za mapenz., af ngono/ndoa si hitaji la kibiologia kama ulivyo huitaji wa chakula...
Ume eleweka vyema kabisa ndugu.
 
Mkuu kila kitu huwa na umuhimimu kutokana na wakati uliopo, mfano simu, magari,ndege,mabarabara,umeme sidhani kama binadamu asipo kuwa nayo atakufa, lakini kutokana na ulimwengu ulivyo kwa sasa hivyo vitu ni muhimu kwa binadamu na asipo kuwa navyo ataishi maisha magumu sana.

Kwa hiyo kuna umri fulani ukifika kutafuta mwenza wa kufunga naye ndoa inakuwa muhimu maana mwenyezi mungu mpaka aje kumuumba mwanamke na mwanaume alikuwa na maana yake tofauti na hapo basi angeumba wanawake tu au wanaume tu.
Mkuu kuoa ni muhimu maana kuna umri fulani ukifikisha usipo kuwa na familia utaishi maisha ya mateso na upweke mkubwa hata kama una pesa kama mchanga.
Ni muhimu sio lazima.
Jua kutofautisha hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom