Ndoa na mahusiano ya kimapenzi siyo mambo ya lazima kutekelezwa

Ndoa na mahusiano ya kimapenzi siyo mambo ya lazima kutekelezwa

Mkuu mbona nimetoa maelezo ya kutosha ambayo hata mtoto wa darasa la 2 atayaelewa?
Ww una sema mahitaji muhimu kwa binadamu ni malazi,mavazi,na chakula lakini unacho takiwa kujua ni kuwa duniani hujaja kula, kulala,na kuvaa tu.
Ila umekuja kufanyajeee?? Unaelewa maana ya mahitaji ya msingi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom