Ndoa ni maandalizi ya tangu usichana wako

Ndoa ni maandalizi ya tangu usichana wako

Yes , I have that 33 , it's my age na sijutii but unajua shida ni hiyo , umewahi kuuliwa mchumba , umewahi kuuliwa mama mkwe ili usitolewe mahari , umewahi mchumba wako kupata ajali wakati anaenda kufuata suri ya harusi nusu afee , umewahi kupoteza mchumba wako siku karibia ya ndoa .??
Usibwabwaje mdomo wako kipuuzi na hujui shida za watu Kwa maana unawaona wenzako wanaishi single wamependa , umewahi kupata mis carriage SITA Kwa wakati mmoja ila hujui why , kama umeamua kuongea shit because umeamua tu ili upate likes sio wote wanapitia hali rahisi Kama zako umewahi pata misiba miwili au mitatu Kwa mara Moja ukazike baba , ukazike mama mkwe na ukazike mume mtarajiwa uadui utoke kwenye familia ya mume wanadai wewe ndio chanzo na hujui lolote wewe ni mpuuzi na mshenzi , kabisa
 
Yes , I have that 33 , it's my age na sijutii but unajua shida ni hiyo , umewahi kuuliwa mchumba , umewahi kuuliwa mama mkwe ili usitolewe mahari , umewahi mchumba wako kupata ajali wakati anaenda kufuata suri ya harusi nusu afee , umewahi kupoteza mchumba wako siku karibia ya ndoa .??
Usibwabwaje mdomo wako kipuuzi na hujui shida za watu Kwa maana unawaona wenzako wanaishi single wamependa , umewahi kupata mis carriage SITA Kwa wakati mmoja ila hujui why , kama umeamua kuongea shit because umeamua tu ili upate likes sio wote wanapitia hali rahisi Kama zako umewahi pata misiba miwili au mitatu Kwa mara Moja ukazike baba , ukazike mama mkwe na ukazike mume mtarajiwa uadui utoke kwenye familia ya mume wanadai wewe ndio chanzo na hujui lolote wewe ni mpuuzi na mshenzi , kabisa
Punguza jazba, mtoa mada ameongelea kwa upana/ujumla (general) hakuwa mahsusi (specific) kwa kesi kama hii. Hivyo amegusia walio wengi ambao hucheza na mapenzi kwa makusudi na kuringia usichana wao.
Pole sana kama umepitia yote hayo🙏
 
Akothee, The President of single mother na mama wa watoto watano kila mmoja na baba yake juzi kati hapa kaolewa.
Mwanamke akitaka kuolewa anaolewa haijalishi Yupo kwenye hali gani ni vile tu anavyojiweka kwa mwanaume.

Miss you too babe...unapotea sana jamani.
Akothee kaolewa sababu ya ukwasi alionao, kuna mjuba pale anataka kutembelea ganda la ndizi. Na unaweza kuta jamaa aliyemuoa akimzalisha na kupata akitakacho nae anapita hivi...

Ni moyo mpana sana kuoa mwanamke ana watoto watano, mbaya zaidi kila mtoto ana baba yake.
 
Akothee kaolewa sababu ya ukwasi alionao, kuna mjuba pale anataka kutembelea ganda la ndizi. Na unaweza kuta jamaa aliyemuoa akimzalisha na kupata akitakacho nae anapita hivi...

Ni moyo mpana sana kuoa mwanamke ana watoto watano, mbaya zaidi kila mtoto ana baba yake.
Kumbe tukiwa na pesa haina tatizo sio. Basi sawaa
 
Ndoa ni majaaliwa, na kikubwa zaidi ni kujiandaa tangu ukiwa msichana kuwa mke wa fulani.

Kipindi cha usichana ni kipindi cha kuonesha tabia njema sana kama kweli unataka kuwa mke wa mtu.

Sio kwenye mapombe umo, kwenye madisko umo, kwenye ma Beach party umo, kwenye kuchoropoa mimba na kudanga umo, halafu utegemee in future utaolewa kirahisi.

Hawa waoaji, wanazunguka kupata file lako kabla.

Ndoa ni maandalizi ya tangu usichana wako, sio unafika miaka 30 umetumika weeee, umezalishwa huko, halafu ndio uanze kutafuta mume.

Msichana tunza usichana wako, tabia yako njema ndio ufunguo wa ndoa yako
Madam shemeji yetu alikukuta na usichana wako au ndio motivation speaker...
 
Huu uzi uridishiwe kichwa chake, kukibadilisha ni kutoutendea haki. Lazima watu wakaripiwe kwa maneno makali
 
Jambo usilolijua daima litakusumbua, achana kabisa na To yeye, huijui story stay kimya.

Sio kila singo maza hajawahi kuolewa.
Ukiolewa ukiachika,wewe ni single mother au usipoolewa kabisa,ila ukawa na mtoto kwa njia unazozijua wewe,unakua reffered as single mother. Hao ndiyo hasa walengwa.
 
Mma ngonangika mkuu, ila huu uzi ni kama hakuna kukosea no second chance
Nadhani waliokosea wapo kabla ya Hawa single mothers kuwepo,wale ndiyo wangetumika kama mfano,ila sasa watu hawajifunzi kutoka kwa watangulizi wao,hivyo hii hali ya single mothers itazidi kutamalaki endapo,familia hazitalea watoto inavyotakiwa,ukichanganya na maisha yanavyotupeleka lesi,wazazi muda wa kumsimamia watoto vyema,unakosekana.
 
"Sio kwenye mapombe umo, kwenye madisko umo, kwenye ma Beach party umo, kwenye kuchoropoa mimba na kudanga umo.".


Mkuu, huku si ndio kuna mapatna. Au nimezingu?
 
Yes , I have that 33 , it's my age na sijutii but unajua shida ni hiyo , umewahi kuuliwa mchumba , umewahi kuuliwa mama mkwe ili usitolewe mahari , umewahi mchumba wako kupata ajali wakati anaenda kufuata suri ya harusi nusu afee , umewahi kupoteza mchumba wako siku karibia ya ndoa .??
Usibwabwaje mdomo wako kipuuzi na hujui shida za watu Kwa maana unawaona wenzako wanaishi single wamependa , umewahi kupata mis carriage SITA Kwa wakati mmoja ila hujui why , kama umeamua kuongea shit because umeamua tu ili upate likes sio wote wanapitia hali rahisi Kama zako umewahi pata misiba miwili au mitatu Kwa mara Moja ukazike baba , ukazike mama mkwe na ukazike mume mtarajiwa uadui utoke kwenye familia ya mume wanadai wewe ndio chanzo na hujui lolote wewe ni mpuuzi na mshenzi , kabisa
Inaonekana umepitia masahibu makubwa kwenye maisha yako
 
Yes , I have that 33 , it's my age na sijutii but unajua shida ni hiyo , umewahi kuuliwa mchumba , umewahi kuuliwa mama mkwe ili usitolewe mahari , umewahi mchumba wako kupata ajali wakati anaenda kufuata suri ya harusi nusu afee , umewahi kupoteza mchumba wako siku karibia ya ndoa .??
Usibwabwaje mdomo wako kipuuzi na hujui shida za watu Kwa maana unawaona wenzako wanaishi single wamependa , umewahi kupata mis carriage SITA Kwa wakati mmoja ila hujui why , kama umeamua kuongea shit because umeamua tu ili upate likes sio wote wanapitia hali rahisi Kama zako umewahi pata misiba miwili au mitatu Kwa mara Moja ukazike baba , ukazike mama mkwe na ukazike mume mtarajiwa uadui utoke kwenye familia ya mume wanadai wewe ndio chanzo na hujui lolote wewe ni mpuuzi na mshenzi , kabisa
Rudi msalabani
 
Hivi wanaume wañaopelekea wanawake kuwa single mothers wao huwa wanalaumiwa na nani? Kwanini kashfa na kebehi ziishie kwa mdada?
Huu mchezo umekaa kisiasa Sana kiukweli.

Mwanamke umri ukienda Huwezo wake wa Akili katika kuchakata mambo unapungua kwa kiasi kikubwa.


Mtafte mtoto wa miaka nane wa kike Mwambie atembee nusu uchi abinuwe makalio Juu uone Kama anaweza kukubali , lakini tafuta Mwanamke wa 25 yrs anakuwa Kama kadata kila kitu ni ndio tu Hana reasoning anazaa na hajui Nani kampa Mimba .


Niseme tu mtoto wa kiume anabidi kuwa smart ili amponeshe mtoto wa kike.
 
Hivi wanaume wañaopelekea wanawake kuwa single mothers wao huwa wanalaumiwa na nani? Kwanini kashfa na kebehi ziishie kwa mdada?
Inashangaza, ni kama vile kwao it's ok ila mdada ndiye kakosea, tena wengine ndiyo wamewaacha hao wadada na watoto kwa makusudi kabisa,siyo fair kabisa
 
Back
Top Bottom