Yes , I have that 33 , it's my age na sijutii but unajua shida ni hiyo , umewahi kuuliwa mchumba , umewahi kuuliwa mama mkwe ili usitolewe mahari , umewahi mchumba wako kupata ajali wakati anaenda kufuata suri ya harusi nusu afee , umewahi kupoteza mchumba wako siku karibia ya ndoa .??
Usibwabwaje mdomo wako kipuuzi na hujui shida za watu Kwa maana unawaona wenzako wanaishi single wamependa , umewahi kupata mis carriage SITA Kwa wakati mmoja ila hujui why , kama umeamua kuongea shit because umeamua tu ili upate likes sio wote wanapitia hali rahisi Kama zako umewahi pata misiba miwili au mitatu Kwa mara Moja ukazike baba , ukazike mama mkwe na ukazike mume mtarajiwa uadui utoke kwenye familia ya mume wanadai wewe ndio chanzo na hujui lolote wewe ni mpuuzi na mshenzi , kabisa