Ndoa ni ngumu sana, asikudanganye mtu

Ndoa ni ngumu sana, asikudanganye mtu

Serikali haina pa kuingilia, ndoa ni hiari ya watu wawili.. nenda ustawi wa jamii au temeke .... Haina msaada wowote kwenye kutatua migogoro ya ndoa . Nilipelekwa ustawi wa jamii yaani Bure kabisaaa..😟😟
Kama dini haina nafasi ktk jamii hayo ndio matokeo yake, turejee kwenye dini, waislamu tukiifata dini yetu haya mambo itakuwa historia, na hata wakristo pia wakiifata mafundisho yao haya mambo yatakwisha,
NOTE; islam (usiikaribie zinaa) , christians (usizini)
 
Kama dini haina nafasi ktk jamii hayo ndio matokeo yake, turejee kwenye dini, waislamu tukiifata dini yetu haya mambo itakuwa historia, na hata wakristo pia wakiifata mafundisho yao haya mambo yatakwisha,
NOTE; islam (usiikaribie zinaa) , christians (usizini)
Ukweli dini siku hizi zimekuwa za kimichongo sana, mie ndoa yangu source ya kuvunjika ni pastor mwanawane 🥹🥹.. kama Pastor anakuwa sababu ya kuvunja ndoa unategemea nini.. kesi Hadi inafika mahakamani hakuna ndoa hapo, maana mahakamani haziwezi lazimsha kitu
 
Ukweli dini siku hizi zimekuwa za kimichongo sana, mie ndoa yangu source ya kuvunjika ni pastor mwanawane 🥹🥹.. kama Pastor anakuwa sababu ya kuvunja ndoa unategemea nini.. kesi Hadi inafika mahakamani hakuna ndoa hapo, maana mahakamani haziwezi lazimsha kitu
Dini zenyewe watu wanazifuata kinafiki ili aonekane ni mfia dini kumbe ni mbaya kuliko asiyefata dini. Kuna watu hawajashika dini lakini wana maadili kuliko.
 
Ukweli dini siku hizi zimekuwa za kimichongo sana, mie ndoa yangu source ya kuvunjika ni pastor mwanawane 🥹🥹.. kama Pastor anakuwa sababu ya kuvunja ndoa unategemea nini.. kesi Hadi inafika mahakamani hakuna ndoa hapo, maana mahakamani haziwezi lazimsha kitu
Huyo pastor mkuu hana elimu ya dini yake ndio maana anatoa maamuzi tofauti na maandiko ya bibilia, tufate misingi sahihi ya dini
 
Sio kweli.
Kuna ndoa, wote mwanamke na mwanamume wanafanya kazi na wanarudi nyumbani wamechoka.
Mwanaume anaoga anakaa kuangalia taarifa ya habari huku akisubiri chakula, mwanamke anaingia jikoni kuhangaika kuandaa chakula.
Hapo nani anafaidika na ndoa?.
Ukikosea kuoa ukaoa slay queen ndio utapata taabu.
Soma vizuri nilichokiandika. Unajua ndoa ni nini? Ndoa ni ule mkataba unaosaini kuyafanya mahusiano yenu kutambukika kisheria.

Kwa kiasi kikubwa ule mkataba umemtafsiri mke kama mama wa nyimbani na mwanaume ndie mtafutaji.

Endapo mwanamke asipotimiza majukumu yake kama mama wa nyumbani hashurutishwi na sheria lakini kama mwanaume asipotimiza wajibu wake wa kuhudumia mke basi sheria itamshurutisha.

Mkeo asipokupikia chakula ukienda ustawi wa jamii watakwambia mkiongee nyumbani lakini wewe usipomuhudumia mkeo akienda ustaei wa jamii kesi inapelekwa mahakamani na utashurutishwa kutoa huduma.

Mkitalakiana mwanamke anapewa fidia ya majukumu aliyoyafanya kipindi cha ndoa lakini mwanaume hapati fidia ya huduma alizompa mke
 
Anaandika Denis Mpagaze 👇👇
Screenshot_20240925-152414.jpg
 
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.

Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.

Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.

Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.

Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
Oooh; imedumu miaka mingapi mwamba?
 
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.

Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.

Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.

Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.

Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭

Pole sana kwisha
 
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.

Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.

Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.

Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.

Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
Ngoja nilie tena,huu ni ukweli mchungu,niliujua baada ya kuingia ndoani,Ilinichukua muda kufanya deep thinking, na kuona jinsi nitakavyoweza kuishi bila ku data! Na, kupiga mtoto wa mtu,
Nikasoma sehemu, ili Uwe huru, usitegemee chochote kutoka kwa yoyote,msaada, heshima, nk, just "get urself out of equation"
Ninyimwe, nope we, kwangu poa tu, maana niliona hawa viumbe huwezi lazimisha, ama utimue, haraka, upige, au uvumilie,
 
Aisee wenye mpango wa muachana na waume zao mnitonye basi. Single boy nipo hapa nasaka mke
 
Back
Top Bottom