PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
Tupe ushuhuda mkuu!Kaka yangu wa pili alioa bikra ,lakini alichofanywa hatakaa asahau.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe ushuhuda mkuu!Kaka yangu wa pili alioa bikra ,lakini alichofanywa hatakaa asahau.
Alikuja kutembea na mtu alokuwa anamletea mikate dukani. Ndoa ilivunjika kitambo sanaTupe ushuhuda mkuu!
Kama dini haina nafasi ktk jamii hayo ndio matokeo yake, turejee kwenye dini, waislamu tukiifata dini yetu haya mambo itakuwa historia, na hata wakristo pia wakiifata mafundisho yao haya mambo yatakwisha,Serikali haina pa kuingilia, ndoa ni hiari ya watu wawili.. nenda ustawi wa jamii au temeke .... Haina msaada wowote kwenye kutatua migogoro ya ndoa . Nilipelekwa ustawi wa jamii yaani Bure kabisaaa..😟😟
Ukweli dini siku hizi zimekuwa za kimichongo sana, mie ndoa yangu source ya kuvunjika ni pastor mwanawane 🥹🥹.. kama Pastor anakuwa sababu ya kuvunja ndoa unategemea nini.. kesi Hadi inafika mahakamani hakuna ndoa hapo, maana mahakamani haziwezi lazimsha kituKama dini haina nafasi ktk jamii hayo ndio matokeo yake, turejee kwenye dini, waislamu tukiifata dini yetu haya mambo itakuwa historia, na hata wakristo pia wakiifata mafundisho yao haya mambo yatakwisha,
NOTE; islam (usiikaribie zinaa) , christians (usizini)
Dini zenyewe watu wanazifuata kinafiki ili aonekane ni mfia dini kumbe ni mbaya kuliko asiyefata dini. Kuna watu hawajashika dini lakini wana maadili kuliko.Ukweli dini siku hizi zimekuwa za kimichongo sana, mie ndoa yangu source ya kuvunjika ni pastor mwanawane 🥹🥹.. kama Pastor anakuwa sababu ya kuvunja ndoa unategemea nini.. kesi Hadi inafika mahakamani hakuna ndoa hapo, maana mahakamani haziwezi lazimsha kitu
Huyo pastor mkuu hana elimu ya dini yake ndio maana anatoa maamuzi tofauti na maandiko ya bibilia, tufate misingi sahihi ya diniUkweli dini siku hizi zimekuwa za kimichongo sana, mie ndoa yangu source ya kuvunjika ni pastor mwanawane 🥹🥹.. kama Pastor anakuwa sababu ya kuvunja ndoa unategemea nini.. kesi Hadi inafika mahakamani hakuna ndoa hapo, maana mahakamani haziwezi lazimsha kitu
Soma vizuri nilichokiandika. Unajua ndoa ni nini? Ndoa ni ule mkataba unaosaini kuyafanya mahusiano yenu kutambukika kisheria.Sio kweli.
Kuna ndoa, wote mwanamke na mwanamume wanafanya kazi na wanarudi nyumbani wamechoka.
Mwanaume anaoga anakaa kuangalia taarifa ya habari huku akisubiri chakula, mwanamke anaingia jikoni kuhangaika kuandaa chakula.
Hapo nani anafaidika na ndoa?.
Ukikosea kuoa ukaoa slay queen ndio utapata taabu.
Duuh asee poleni vipi bro alioa tena au ni kataa ndoa?Alikuja kutembea na mtu alokuwa anamletea mikate dukani. Ndoa ilivunjika kitambo sana
Ameoa tena kitambo tuDuuh asee poleni vipi bro alioa tena au ni kataa ndoa?
Mwani wee nini kinakuzuia mumsaliti na yeye au kumnyongWanawake ndio tunatakiwa kujua kama hatuwezi ndoa tusiolewe, Kuishi na mtu msaliti mchezo nini! Unaweza kuamka ukamnyonga usiku 😂😂😂
Oooh; imedumu miaka mingapi mwamba?Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.
Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.
Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.
Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.
Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.
Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
😂😂 Toka muone!Mwani wee nini kinakuzuia mumsaliti na yeye au kumnyong
Ah wee mcheat tuu acha kukaa kiboya...mume akicheat wewe mke nae cheat ngoma draw.😂😂 Toka muone!
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.
Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.
Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.
Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.
Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.
Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
Boss na wewe ulipelekwa huko😂😂😩Serikali haina pa kuingilia, ndoa ni hiari ya watu wawili.. nenda ustawi wa jamii au temeke .... Haina msaada wowote kwenye kutatua migogoro ya ndoa . Nilipelekwa ustawi wa jamii yaani Bure kabisaaa..😟😟
Ngoja nilie tena,huu ni ukweli mchungu,niliujua baada ya kuingia ndoani,Ilinichukua muda kufanya deep thinking, na kuona jinsi nitakavyoweza kuishi bila ku data! Na, kupiga mtoto wa mtu,Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.
Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.
Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.
Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.
Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.
Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
Mkuu nilipelekwa na mahakamani juu, Sina hamu na ndoa.. 🤣🤣🤣Boss na wewe ulipelekwa huko😂😂😩