Ndoa ni ngumu sana, asikudanganye mtu

Ndoa ni ngumu sana, asikudanganye mtu

1 Corinthians 7:27-28 New Century Version (NCV)

"If you are not married, do not try to find a wife. But if you decide to marry, you have not sinned. And if a girl who has never married decides to marry, she has not sinned. But those who marry will have trouble in this life, and I want you to be free from trouble".
 
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.

Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.

Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.

Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.

Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭

kwisha habari YAKO
 
FB_IMG_17260635781337238.jpg
 
😀😀😀😀Pole sana mkuu ila kuna tatizo ambalo wengi wetu tunalifanya halafu tunasingizia ndoa
 
Nyie vipi!

Mbona me na enjoy fresh tu yaani! Tena muda mwingine nahisi km sipo dunian ni kama Niko Pepo nyingine kabisa.

Kosea vitu vingine but usikosee kuchagua mke/mume. Ukikosea Utakoma na utajuta maisha Yako yoote.

So Be carefuly
 
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.

Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.

Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.

Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.

Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
📌📌📌
 
Kama una ushahidi kwanini usichukue hatua??
Hii kulia lia na kulaani wanawake haikusaidii kitu.

Mwenzio ashakua hatua kwa kumuheshimu kidume mwingine, wewe kama huchukui hatua unaishia kulia na kulalamika basi hapo tatizo ni wewe sio yeye.

Si ajabu yeye anasubiri wewe umwambia sasa kwisha, ila bahati mbaya wewe unalialia tu. Basi anakua hana jinsi zaidi ya kuendelea kukuchora.
Nakazia
 
Let's agree to disagree, keep aging and keep in touch bro, nimekuwa hapo, neamini sana hasa na kuheshimu, Imani, maombi na wokovu, niliyokutana nayo siwezi sahau, naamini wokovu, siamini obidience ya watu kwenye misingi ya wokovu!

I will never trust any Woman life time! I believe in forgiveness as a Biblical truth, But I trust God only for protection, never any Woman under the Sun!

Nina kijana wangu wakiume, siku anaoa sita attend, nitatuma mtu aende on behalf, I will never ever believe kwenye commitment to a Woman, life time, I don't even want my worse enermy to go through the experience have had with Women.
Nipo upande wako hakuna kuamini mwanamke bora uwe kwenye upande wa kutokuamini angalau utakuwa sehemu sahihi.
 
Swala la ndoa nadhani tuelimishane ktk pande zote

usaliti upo Kwa jinsia zote(me&ke) tatz ni kuwa sis wanaume tunaamin Tunahaki ya kuchit.

Nadhani ww unaelalmik kuchitiwa,ongea na dhamiri yko kama hujawahi chiti, acha kuwaza kama mvulana waza kama mwanaume.
Wanakuaga wakali hao wakichitiwa ukute anaechiti kaleta malaya kwenye chumba na kitanda cha mkewe..nilishuhudia jamaa kamsend off mkewe kwao akajifungue madai yake hawezi hudumia mwanamke aliyejifungu kumbe anamishe yake na mchepuko vile kaondoka tu kamleta ndani kimada kwenye kitanda cha mkewe..huyo akichitiwa na yeye ataona kaonewa
 
Mnawasakama sana wanawake,mbona nyie hamzungumzii changamoto zenu?kiufupi ndoa zina changamoto sana ila ni kujifanya mjinga mkiwa wajuaji wote hamtoboi.
Mfano unakuta we unawaza hivi mwenzio anawaza hivi.
Watu wengi ndoa zilishakufa ila wamebaki kuishi kama wazazi.
Kabisa mkuu wanawake wanaonekana wakora ila kuna wanaumee baadhi wanakero sana aisee..mtu kaoa mke anamuheshimu vizuri tu anamunzishia visa kisa ni mwanamke asiongee na asitoe kero zake..ndoa ni changamoto mno sio kidogo
Ndoa moja ilisambaratika baada ya mume kubase sana kusaidia ndugu zake na kusahau mkewe mke analalamika hajawahi mpa pesa ya matumizi yake binafsi kama mwanamke ila anagawa mitaji kwa watu baki kama pipi..kuwatoa watu kijiji na kuwapangia nyumba ni jambo la kawaida mda huo watoto hata nguo hawana kamfungilia biashara mkewe wale ndugu wa mume wanaenda kuchukua bidhaa na pesa bila ruhusa ya mke ambae ndie aliyefunguliwa duka..achilia mbali kero za hapa na pale wakashindwana
 
Kwisha mdogo wangu sio ndoa zote zina changamoto na sio kila alie single ana furahia maisha.! Changamoto zipo hata ukiwa single. Mke akichepuka na ukigundua ukweli wa kugundua sio maneno ya watu wanaotaka kuwafitinisha basi mke huo muache mara moja Acha kumletea huruma za kusamehe mana ipo siku atakuja kukupa matatizo ya moyo

Nasema mke akichepuka muache mara moja wala usimuangalie usoni wala huruma isiwepo vinginevyo utakuja kujidhuru mwenyewe

Kingine vijana acheni tamaa za kutaka wanawake wenye mionekano ya Instagram.

Unaoa vip mwanamke umempokonya boda boda eti kisa ww una vihela ukadhani atakuja kutulia kwako.

Wanawake wema bado wapo tena wengi sana
Anza upya kijana Acha kulalamika mtandaoni
 
Shukrani Kaka! Hawa viumbe? They are always looking for what is missing! It is very difficult to be a Man, haswa ukiwa mwaminifu, mtulivu na unayejali, lakini ukiwa player na muhuni mambo sio magumu!
Ulichagua mke wa namna gani?? Kumbuka si kila mwenye jinsia ya kike anx fit kuwa mke ndo maana ulitakiwa uwe makini, wengine ukisema ndoa ngumu wanakushangaa
 
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.

Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.

Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.

Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.

Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
Mi nachekaga tuuu
 
Kuna kitabu kimoja ameandika jamaa mmoja mkenya anaitwa Silas Nyanchwani.

Asee vijana nawashauri kabla ya kuoa someni kitabu cha huyu jirani yetu mkenya.

Huyu jamaa ni kichwa sana halafu anayoandika kuhusu ndoa ni ukweli 100%

Mfano kuna research inasema, ndoa yoyote iliyofungwa na wanandoa waliokutana kimjini mjini(mf chuo) au wanandoa wenye kipato sawa, uwezekano wa kuvunjika kwa ndoa hiyo ni mkubwa sana.

Jamaa kaeleza mengi sana.

Huyu hapa msikilizeni.


View: https://youtu.be/4XWp2vrmRSY?si=uHf2z3S6mpcTqFTL

Jina la kitabu ni lipi na kinapatikana wapi?
 
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.

Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.

Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.

Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.

Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] umekaa kwenye ndoa miaka mingapi mzee?
 
Back
Top Bottom