Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa mwana unatupiga kweupee.Unae muoa usizae nae, na utae zaa nae usimuoe.. equation balanced
Pole sana kwa yaliyokukuta, tulio single tuendelee kujifukizaUkioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.
Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.
Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.
Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.
Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.
Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Moja kati ya quotation za kijinga na kipuuzi nimewahi ziona toka nimeijua JamiiForums 2009Unae muoa usizae nae, na utae zaa nae usimuoe.. equation balanced
Hivi ukigoma kwenda ustawi kunaweza leta shida?Serikali haina pa kuingilia, ndoa ni hiari ya watu wawili.. nenda ustawi wa jamii au temeke .... Haina msaada wowote kwenye kutatua migogoro ya ndoa . Nilipelekwa ustawi wa jamii yaani Bure kabisaaa..😟😟
Sijui mkuu, ila nataka kugoma kwenda mahakami. Nilipewa wito kihuni kwa njia ya simu.Hivi ukigoma kwenda ustawi kunaweza leta shida?
Akili kubwa ndio unaelewa hapo mkuu 😅😅😅... Equation balancedMoja kati ya quotation za kijinga na kipuuzi nimewahi ziona toka nimeijua JamiiForums 2009
Shida ipo maana nimeongea na mwanasheria wangu kaniambia Kuna za uso hapo🤣🤣🤣🤣 Ndio kwani kuna shido?
kama ndo unawaza hivyo, ID yako ibadilishe na kuwa ZEE LA HOVYOAkili kubwa ndio unaelewa hapo mkuu 😅😅😅... Equation balanced
Serikali nayo ni watu ambao wameoa na kuolewa,ngoma droo!Swala la ndoa serikali iingilie kati.
Point makini ,baadhi wajinga yakiwashinda wanapotosha vijana eti Pesa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie
Aisee