Ndoa ni ngumu sana, asikudanganye mtu

Ndoa ni ngumu sana, asikudanganye mtu

And your experience is based on What? Very stupid comment, hata mke wangu ni mwema sana mbele zawatu na nikizungumza ujinga wake Hakuna atakayeamini!

Kama mimi na wewe tutafikia conclusion kwamba mke ni Msaliti, huo uzuri wa wanawake wewe unautoa wapi?
Unasema nina kunukuu “hata mke wangu(mke wako wewe) ni mwema sana mbele zawatu na nikizungumza ujinga wake Hakuna atakayeamini!”

Uzoefu wangu na hitimisho langu ni kwamba kama mke wako ni msaliti si kweli kwamba wanawake wote katika jamii zetu ni wasaliti

Bado kuna wanawake kibao waliolelewa vyema na ni wanawake bora sana na sio wasaliti kama unavyotaka (ku generalize bila kutoa takwimu za huo utafiti wako) usiwachanganye wanawake bora na hilo SALIA ambalo bado unaliita mke wako (SALIA lako).

it behooveth thee to comprehend the import of mine words by virtue of thy sagacity, not folly. Pole sana kwa sababu inaonyesha unapitia changamoto ile ile!
 
Unasema nina kunukuu “hata mke wangu(mke wako wewe) ni mwema sana mbele zawatu na nikizungumza ujinga wake Hakuna atakayeamini!”

Uzoefu wangu na hitimisho langu ni kwamba kama mke wako ni msaliti si kweli kwamba wanawake wote katika jamii zetu ni wasaliti

Bado kuna wanawake kibao waliolelewa vyema na ni wanawake bora sana na sio wasaliti kama unavyotaka (ku generalize bila kutoa takwimu za huo utafiti wako) usiwachanganye wanawake bora na hilo SALIA ambalo bado unaliita mke wako (SALIA lako).

it behooveth thee to comprehend the import of mine words by virtue of thy sagacity, not folly. Pole sana kwa sababu inaonyesha unapitia changamoto ile ile!

Unajua kusoma na kuelewa nachosema:

Facts:

#1. Conclusion is drawn on experience or knowledge - experience overrule knowledge/ nafikiri unaelewa.

#2. Nimekupa offer ya Mimi na wewe kutembea kwenye surveillance ya mkeo kwa gharama zangu.

#3. If I and you can conclude kwamba mkeo anakusaliti, then conclusion yako is based on what? Knowledge?
 
Unajua kusoma na kuelewa nachosema:

Facts:

#1. Conclusion is drawn on experience or knowledge - experience overrule knowledge/ nafikiri unaelewa.

#2. Nimekupa offer ya Mimi na wewe kutembea kwenye surveillance ya mkeo kwa gharama zangu.

#3. If I and you can conclude kwamba mkeo anakusaliti, then conclusion yako is based on what? Knowledge?
The verdict is reached on the basis of wisdom or learning and practical wisdom prevails over mere knowledge.

Be it known that in my judgment not all women are deceitful, but rather some women who have not been well-raised.
 
The verdict is reached on the basis of wisdom or learning and practical wisdom prevails over mere knowledge.

Be it known that in my judgment not all women are deceitful, but rather some women who have not been well-raised.

Let's agree to disagree, keep aging and keep in touch bro, nimekuwa hapo, neamini sana hasa na kuheshimu, Imani, maombi na wokovu, niliyokutana nayo siwezi sahau, naamini wokovu, siamini obidience ya watu kwenye misingi ya wokovu!

I will never trust any Woman life time! I believe in forgiveness as a Biblical truth, But I trust God only for protection, never any Woman under the Sun!

Nina kijana wangu wakiume, siku anaoa sita attend, nitatuma mtu aende on behalf, I will never ever believe kwenye commitment to a Woman, life time, I don't even want my worse enermy to go through the experience have had with Women.
 
Mnawasakama sana wanawake,mbona nyie hamzungumzii changamoto zenu?kiufupi ndoa zina changamoto sana ila ni kujifanya mjinga mkiwa wajuaji wote hamtoboi.
Mfano unakuta we unawaza hivi mwenzio anawaza hivi.
Watu wengi ndoa zilishakufa ila wamebaki kuishi kama wazazi.
 
Boda boda na dereva bajaji washafanyaa yao.
Poleeee bwasheeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Let's agree to disagree, keep aging and keep in touch bro, nimekuwa hapo, neamini sana hasa na kuheshimu, Imani, maombi na wokovu, niliyokutana nayo siwezi sahau, naamini wokovu, siamini obidience ya watu kwenye misingi ya wokovu!

I will never trust any Woman life time! I believe in forgiveness as a Biblical truth, But I trust God only for protection, never any Woman under the Sun!

Nina kijana wangu wakiume, siku anaoa sita attend, nitatuma mtu aende on behalf, I will never ever believe kwenye commitment to a Woman, life time, I don't even want my worse enermy to go through the experience have had with Women.
Mmmh
 
Mwanangu usiwe nice man kwa mwanamke utalizwa Sanaa..
Mwanangu Linda Sana afya yako ya akili mwanamke utaachana nae lakini wewe ukiwa mgonjwa wa akili Mambo yako yatafeli..
Fanya ufanyalo kuwa na backup na ikiwezekana ajue kuwa nawe una mtu...
Hili ndo suluhishooo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii mav mv nakupa wew tu yule bwege haonji wala hagusi hii ,NDOA KAZI KWELI KWELI😅😅😅
 
Nilikuwa nawaona kundi la kataa ndoa kama vichaa ila kwa sasa wanawake wa bongo wamekuwa kama pilipili kwenye ndoa.
Dawa yake tuwakaushie tusiwaoe na walioolewa wakizingua piga chini ili waonje ugumu wa kupambana na life huku mtaani.
Let's agree to disagree, keep aging and keep in touch bro, nimekuwa hapo, neamini sana hasa na kuheshimu, Imani, maombi na wokovu, niliyokutana nayo siwezi sahau, naamini wokovu, siamini obidience ya watu kwenye misingi ya wokovu!

I will never trust any Woman life time! I believe in forgiveness as a Biblical truth, But I trust God only for protection, never any Woman under the Sun!

Nina kijana wangu wakiume, siku anaoa sita attend, nitatuma mtu aende on behalf, I will never ever believe kwenye commitment to a Woman, life time, I don't even want my worse enermy to go through the experience have had with Women.
I understand your reservations and concerns, and I appreciate your honesty in sharing your feelings. It's important to remember that every individual is unique and should not be judged based on the actions of others.

While it's natural to feel guarded after past experiences, it's also important to remain open to the possibility of positive relationships in the future. Trust is something that can be rebuilt over time with the right person.

I encourage you to continue following Biblical principles of forgiveness and to keep an open heart towards building healthy and trusting connections.

Remember, while it's wise to be cautious, it's also essential to approach each new relationship with an open mind and a willingness to give others a chance to prove themselves.

uttoh2002 wewe ni ndugu yangu, tuko pamoja!
 
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.

Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.

Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.

Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.

Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭


We mwenyewe umechukua katika kitabu kitakatifu cha MUNGU kwamba amesema Tuishi nao kwa AKILI

harafu Mwisho umeshauri vijana watafute Pesa, ina maana kuishi na Mwanamke kwa mantiki yako kunahitaji Pesa na Sio Akili 🙆🏻‍♂️

MKUU Kama una WAZO NDANI yako kwamba kuishi na MKE kunahitaji Pesa unajidanganya, utakuwa na hizo Pesa na bado mwanamke atakushinda tu 👉wangapi wanapesa na WANAWAKE wamewashinda

👉 MUNGU aliumuumba MKE kwa MWANAUME mwenye akili na Sio mwenye Pesa
 
Back
Top Bottom