ZEE LA UONGO
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,314
- 3,944
Alafu zile mambo hazina tofauti sanaaa, basi uharibifu tuHatari kubwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu zile mambo hazina tofauti sanaaa, basi uharibifu tuHatari kubwa!
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri
Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee
Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili
Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi
Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake
Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili
Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
😃😃😃😃 kazi kweli kweli
Kama una ushahidi kwanini usichukue hatua??Can you imagine mali utowe wewe
Mpambanaji na wariziki awe wewe
Alafu atokee boya fulani from no where tu awe anajipigia na wakati mwingine Lina mpaka mkeo sheria kama yeye ndo mume vile na uku mkeo anakuwa anakudharau na kumsikiliza mtu mwingine ambaye hapambanii maisha yake
Hiyo sio shida na raha Tena hiyo ni shida tu na kuzikana kabla ya kufa
Na hata ikitokea bado haiondoi ukweli kwamba kwenye jamii zetu bado kuna wanawake bora na kwamba bado kuna ndoa imara na bora zaidi zisizopitia hizo changamoto.Nataka mtu Kama wewe unayeamini mke wako this much, Nipe fursa kwa gharama zangu tushirikiane mchunguza, utakuta analiwa tu
Wajinga pekee ndio watakubaliana na wewe.Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.
Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.
Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.
Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.
Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.
Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
hii nzuriYaani mtu mzima kutwa unachunguliwa na watu tofauti tofauti.
Na hata ikitokea bado haiondoi ukweli kwamba kwenye jamii zetu bado kuna wanawake bora na kwamba bado kuna ndoa imara na bora zaidi zisizopitia hizo changamoto.
Ninatafunwa na kauli hiyoUtasikia naogopa kuachana nae kwasababu ya watoto
Kuna mapimbi huamini kuoa Ke Bikra ni suluhisho la kutosalitwa milele katika ndoa, ongea pole pole wasikusikie 🤭Nilikua na mwanamke wa udogo wangu mpaka namuoa, Kuna mwaka nilisafiri, niliporudi siku nasex nae akaniambia" ila nawe huko chini kikubwa" ...nikajua oooh,ashaona zingine huyu.
Isitoshe hata sasa kuna Wahuni wanajipimia tu oili kiulaaaini na Kwa Mumeo unamkazia fuvu, ila sababu ni motivation speaker na keyboard warrior kwa fake ID ni vigumu kujulikana hapa JF.We na mwenzio kesi yenu ni tofauti.
Kwangu mimi ni sawa tu kama mtu ndoa si jambo lake. Ila sio kuoa na kuolewa na kuendekeza ujinga ujinga. Watu hawachoki kutomb*? Yaani mtu mzima kutwa unachunguliwa na watu tofauti tofauti.
Mimi nitakuwa wa mwisho kuelewa baadhi ya mambo.
Una kitu personal na mimi? This is second time nimenotice.Isitoshe hata sasa kuna Wahuni wanajipimia tu oili kiulaaaini na Kwa Mumeo unamkazia fuvu, ila sababu ni motivation speaker na keyboard warrior kwa fake ID ni vigumu kujulikana hapa JF.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Ushaya tyevenga tayari karibu ktk chama cha kataa ndoa ni utapeli 😂😂Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.
Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.
Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.
Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.
Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.
Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
😹😹 kumekucha mateUna kitu personal na mimi? This is second time nimenotice.
Ningesema na mimi nafanya umalaya ungeridhika? Haya nafanya karibu…..
Nilikuwa najaribu kupata attention yako kisaikolojia kumbe ni kweli kabisa 75% Ke huwa ni viumbe vinavyojijengeaga vinyongo rohoni bila hata sababu za misingi, nilishatoka huko kitambo sana, just relax na enjoy your life moment Mpendwa maana huwezijua huenda ni classmates wangu, tunaishi kitaa kimoja au tunafanya kazi pamoja 😅Una kitu personal na mimi? This is second time nimenotice.
Ningesema na mimi nafanya umalaya ungeridhika? Haya nafanya karibu…..