Ndoa ni ngumu sana, asikudanganye mtu

Ndoa ni ngumu sana, asikudanganye mtu

Hao vibungo mnawaokotaga wapi??
Ndio shida ya kuoa kwa kutazama trako mnasahau tabia…Na hapo kinachokuuma ile “Imechomoka halafu anairudishia” 😹😹😹

Mpe talaka uje unioe nikuonjeshe pepo ya dunia 😜
Pia namna au style kinavyohondomorwa kisusio na muhuni tu "Good Guy" si "Nice Guy" akisifia na akipiga piga mawowowo kwa maneno ya dhihaka "mtukane Mumeo, Ke naye kwa mihemuko ya kimahaba anamtukana "Lile ngosha lishamba sana halijui kumkuna kiufundi na kiba100 chake kama Mchepuko wake" 😁

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.

Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.

Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.

Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.

Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
Unalia nini sasa mwanaumee eeeh??

mkiambiwa kataa ndoa ni utapeli hamtaki

KAZA
 
Nilikuwa najaribu kupata attention yako kisaikolojia kumbe ni kweli kabisa 75% Ke huwa ni viumbe vinavyojijengeaga vinyongo rohoni bila hata sababu za misingi, nilishatoka huko kitambo sana, just relax na enjoy your life moment Mpendwa maana huwezijua huenda ni classmates wangu, tunaishi kitaa kimoja au tunafanya kazi pamoja 😅

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Hiyo tabia uliyonisingizia nayo si nzuri na wala siwezi kuifurahia, nina tabia zangu mbaya ambazo ukiniadress nazo nitafurahia.

Kama hiyo ya kinyongo ni tabia yangu kabisa. 😀

Wasaalamu classmate, workmate, tribemate, streetmate.
 
Hiyo tabia uliyonisingizia nayo si nzuri na wala siwezi kuifurahia, nina tabia zangu mbaya ambazo ukiniadress nazo nitafurahia.

Kama hiyo ya kinyongo ni tabia yangu kabisa. 😀

Wasaalamu classmate, workmate, tribemate, streetmate.
Naomba unisamehe maana sikuwa na dhamira jinsi unayonidhania, hata hivyo nashukuru umestaarabika maana kitendo cha kuninukuu na kunijibu tayari kinaonesha jinsi gani ulivyo.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Can you imagine mali utowe wewe
Mpambanaji na wariziki awe wewe
Alafu atokee boya fulani from no where tu awe anajipigia na wakati mwingine Lina mpaka mkeo sheria kama yeye ndo mume vile na uku mkeo anakuwa anakudharau na kumsikiliza mtu mwingine ambaye hapambanii maisha yake
Hiyo sio shida na raha Tena hiyo ni shida tu na kuzikana kabla ya kufa
Mwanangu usiwe nice man kwa mwanamke utalizwa Sanaa..
Mwanangu Linda Sana afya yako ya akili mwanamke utaachana nae lakini wewe ukiwa mgonjwa wa akili Mambo yako yatafeli..
Fanya ufanyalo kuwa na backup na ikiwezekana ajue kuwa nawe una mtu...
 
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.

Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.

Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.

Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.

Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
Punguza kelele, kabla hujaingia huko jitafakari mienendo yako, lakini pia mtafakari mtu wako
 
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.

Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.

Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.

Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.

Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.

Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
Ndoa ni ngumu ukioa pagumu...
 
Mkuu wewe acha tu ndo maana tunakufa mapema sababu ya maumivu hata pakusema hakuna unaugulia ndani kwa ndani yaani acha tu ni mateso makali sana, unajikuta unapoteza amani na furaha ya maisha kisa ndoa mauaji hayataisha kwenye ndoa tena tunapoelekea ndo yatazidi.
Ndoa ni ngumu sana hasa ukipata mwenza akili kisoda aiseee kila rangi utaijua.kuna jamaa alisema humu jf wanawake wengi ni vichaa ila ukichaa wake huwezi ujua mpaka ukae nae.
Wanaume tunapigika kimawazo mpaka tunakufa na sehem ya kwenda kutoa hasira na majuto huna unabaki kuungua ndani kwa ndani mamaaee ndoa 🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Uu
 
Hao vibungo mnawaokotaga wapi??
Ndio shida ya kuoa kwa kutazama trako mnasahau tabia…Na hapo kinachokuuma ile “Imechomoka halafu anairudishia” 😹😹😹

Mpe talaka uje unioe nikuonjeshe pepo ya dunia 😜
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 watu wamekuwa na ubinafsi sana, kwani ikichomoka afu mkeo/demu wako akairudishia kuna shida gan? Haya mambo mnayakuza sana kwenye akili zenu ndo maana yanawatesa
 
Back
Top Bottom